Unavutiwa na video za directors gani wa muziki hapa Afrika?

Unavutiwa na video za directors gani wa muziki hapa Afrika?

NEZZOH MONTANA, RICKY BEKKO, DARLINGTON, DANIEL ARE, HANSCANA, SESAN, ISAAC YOWMAN, SASHA VYBZ OFCOURSE and CLARENCE PETERS of Capital Dreams Pictures
 
Hivi alie shoot video ya wimbo wa Mejja uitwao Niko Poa,ni nani maana INA comedy sana
 
Kwa africa MR MOE MUSSA aisee huyo pimbi ni shidah!

Marekani kuna pimbi mwengine anaitwa ALEX NAZARI aisee huyo boya ni hatari.
 
Mimi ni mmoja kati ya watu wanaovutiwa sana na video nzuri za muziki hasa hapa bongo na Africa kwa ujumla. Video zilizopangiliwa kuanzia story au ubora wa picha nk.

Kwangu hawa ni director's wazuri ambao huwa napenda video zao; Clarence Peters. Ni director mkubwa Nigeria ambaye huwa mara nyingi hakosei ktk suala la video bora. Godfather huyu naye sioni kazi zake sikuhizi labda kwasababu hafanyi na wasanii wa Tanzania sana Kama Diamond ambaye alimtumia sana, so far huyu ni director mzuri.

Wengine ni Traveller wa kwetu studio, Sesan, Justin Campos, Hascana na Kenny. Dizaini kama hawana utofauti mkubwa sana kwangu nawaweka levo moja.

Wewe unavutiwa na director's gani?
HANSCANA anakuja vizuri.
 
Meji alabi

Clarence

DAPS ingawa kazi zake kafanya mamtoni....BAD AND BOUJEE KAITENDEA HAKI.....
 
1:Kuna Mnyamwezi anaitwa Colin Tilley ni hatari huyu mdudu..ka'shoot Coming home ya P Diddy,Body on Me ya Breeze ft Rita Orah,All right na These Walls za Kendrick Lamar,nk.
2😀aps
3😀irector X
4:Na Machalii wa Puorto Rico ambao waga hawaandikagi majina yao kwenye video walizo'shoot
5:Mr.Moe Mussa
6😀irector Nisher
 
kuna Direkta anaitwa Ez Brown huyo ndo anaweza kukalisha madairekta wote bongo hapa, fuatilia kazi zake, anakuja kwa kasi sana.
 
Back
Top Bottom