Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Onyango Otieno, mwanaharakati mwenye umri wa miaka 35 kutoka Kenya, anasema kwamba wanaume wameshawishika na jamii kuamini kuwa nafasi yao ni juu ya wanawake, lakini kuongezeka kwa ufeministi kumewaacha wanaume wengi wakihisi wamedhoofika au nafasi yao kuchukuliwa na wanawake.
Anaeleza “Wanaume wengi hawakufundishwa wala kuelimishwa jinsi ya kuishi pamoja na wanawake wakiwa binadamu kama sawa,”
"Dunia imebadilika kwa njia nyingi sana. Wanaume hawajabadilika,"
Malezi kwenye Familia yako yalikufanya uone Ukatili dhidi ya Wanawake ni jambo la kawaida au yalikusaidia Mtetezi wa Haki za Wanawake na Wasichana?
Anaeleza “Wanaume wengi hawakufundishwa wala kuelimishwa jinsi ya kuishi pamoja na wanawake wakiwa binadamu kama sawa,”
"Dunia imebadilika kwa njia nyingi sana. Wanaume hawajabadilika,"
Malezi kwenye Familia yako yalikufanya uone Ukatili dhidi ya Wanawake ni jambo la kawaida au yalikusaidia Mtetezi wa Haki za Wanawake na Wasichana?