SONGOKA
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 1,841
- 1,843
Kumekuwepo na mitazamo kwamba biblia inazungumzia wazungu na sisi waafrica we had nothing to do with the bible na wokovu wa wanadamu (for believers), wala bible haitutaji.
Leo nakuletea watu weusi ( waafrica) wanaotajwa ndani ya bible, na walioshiriki kujenga historia ya Israel, ukristo na umuhimu wao
1. Cush- huyu ndo chimbuko hasa la waafrica, ni mtoto wa ham, na mjukuu wa noah. Inaaminika huyu ndo babaya waafrica wote. Ethiopia wanaamini kuwa wao ni direct descendant wa cush. (Genesis 10:8; 1 Chr. 1:10)
2. Zipporah, huyu alikuwa mke wa moses,ikumbukwe kuwa baada ya moses kumuoa watu walilalamika sana mpaka Mungu akataka kuwaadhibu, kisa tu alikuwa mwafrica. Moses wote tunajua umuhimu wake katika historiaya dunia hii. (Numbers12:1)
3. Shulammite, huyu alikuwa mke wa solomoni, na inaaminika wimbo ulio bora aliandikiwa yeye. Anasifika kwa uzuri wake na ngozi yeke nyeusi nyororo. Binti huyu katuwakilisha vizuri sana waafrika mpaka kaandikiwa wimbo mzuri namna ile. (Song of Solomon 1:5),
4. Queen of sheba, huyu ni malkia aliyemtembelea Solomon ili kuhakiki hekima yake. Malkia huyu alikuwa tajiri na mwenye ukwasi wa ajabu. Katika safari yake alibeba mabag ya manukato,dhahabu, uvumba, na vito mbalimbali. Hii inatudhihirishia kuwa Africa tulikuwa vizuri kitambo sana mafisadi tu ndo wametulostisha. Ukoo wa haile selasie wanaamini kuwa wao ni wajukuu wa mfalme solomoni baada ya kuzaa na bibi yaoqueen of sheba(1 Kings 10:1)
5. Ethiopian eunuch Acts8:37, huyu alikuwa ni mlinzi wa malkia wa Ethiopia ambaye ametajwa kuwa maraika walimtuma filipo amtokee jangwani ili amfafanulie kitabu cha isaya alichokuwa akisoma wakati akisafiri kutoka Israel. Hii inatwambia kuwa kumbe hata kabla ya wamisionary maandiko yalikuwepo Africa na tulikuwa tukiyasoma vizuri tu
6. Simeon a.k.a Niger ( Acts13:1), huyu alikuwa mwafrika tena mweusi kiasi cha watu kuacha kumuita simon tu ila wakampa a.k.a ya simon "niger". Kwa wanaofahamu simeon ni kati ya watu wa kwanza kabisa kusambaza injili kwa mataifa na kuwa mkuu wa makanisa baada ya Yesu kufa. Kumbe hata sisi waafrica ni kati ya watu walioeneza wakovu sambamba na kina Paulo,silas, na wengineo.
Historia haijatuacha nyuma waafrica, tulikuwepo toka enzi za noah na tutaendelea kuwepo. Na dunia hii tumeshiriki katika kila hatua ya ujenzi na ubomozi. VIVA Afrika.
Leo nakuletea watu weusi ( waafrica) wanaotajwa ndani ya bible, na walioshiriki kujenga historia ya Israel, ukristo na umuhimu wao
1. Cush- huyu ndo chimbuko hasa la waafrica, ni mtoto wa ham, na mjukuu wa noah. Inaaminika huyu ndo babaya waafrica wote. Ethiopia wanaamini kuwa wao ni direct descendant wa cush. (Genesis 10:8; 1 Chr. 1:10)
2. Zipporah, huyu alikuwa mke wa moses,ikumbukwe kuwa baada ya moses kumuoa watu walilalamika sana mpaka Mungu akataka kuwaadhibu, kisa tu alikuwa mwafrica. Moses wote tunajua umuhimu wake katika historiaya dunia hii. (Numbers12:1)
3. Shulammite, huyu alikuwa mke wa solomoni, na inaaminika wimbo ulio bora aliandikiwa yeye. Anasifika kwa uzuri wake na ngozi yeke nyeusi nyororo. Binti huyu katuwakilisha vizuri sana waafrika mpaka kaandikiwa wimbo mzuri namna ile. (Song of Solomon 1:5),
4. Queen of sheba, huyu ni malkia aliyemtembelea Solomon ili kuhakiki hekima yake. Malkia huyu alikuwa tajiri na mwenye ukwasi wa ajabu. Katika safari yake alibeba mabag ya manukato,dhahabu, uvumba, na vito mbalimbali. Hii inatudhihirishia kuwa Africa tulikuwa vizuri kitambo sana mafisadi tu ndo wametulostisha. Ukoo wa haile selasie wanaamini kuwa wao ni wajukuu wa mfalme solomoni baada ya kuzaa na bibi yaoqueen of sheba(1 Kings 10:1)
5. Ethiopian eunuch Acts8:37, huyu alikuwa ni mlinzi wa malkia wa Ethiopia ambaye ametajwa kuwa maraika walimtuma filipo amtokee jangwani ili amfafanulie kitabu cha isaya alichokuwa akisoma wakati akisafiri kutoka Israel. Hii inatwambia kuwa kumbe hata kabla ya wamisionary maandiko yalikuwepo Africa na tulikuwa tukiyasoma vizuri tu
6. Simeon a.k.a Niger ( Acts13:1), huyu alikuwa mwafrika tena mweusi kiasi cha watu kuacha kumuita simon tu ila wakampa a.k.a ya simon "niger". Kwa wanaofahamu simeon ni kati ya watu wa kwanza kabisa kusambaza injili kwa mataifa na kuwa mkuu wa makanisa baada ya Yesu kufa. Kumbe hata sisi waafrica ni kati ya watu walioeneza wakovu sambamba na kina Paulo,silas, na wengineo.
Historia haijatuacha nyuma waafrica, tulikuwepo toka enzi za noah na tutaendelea kuwepo. Na dunia hii tumeshiriki katika kila hatua ya ujenzi na ubomozi. VIVA Afrika.