Unawajua watu weusi (waafrica) ndani ya bible?

Unawajua watu weusi (waafrica) ndani ya bible?

Kitu kikubwa cha kufahamu hapa ni kuwa ukirsto ulio ingia kwetu ni ukirsto wa kizungu na umeletwa na ukoloni pamoja. Huu sio ukristo halisi na wa asili wa kiafrika - Ukristo wa asili wa kiafirka upo kwenye nchi kama Ethiopia tangu karne nyingi kwenda nyuma hadi Enzi ya nabii Solomon

Rais wetu kipenzi anakubaliana na wewe kwa hilo,
 
Waafrica hawakutoka Mashariki ya kati, watu wa mashariki ya kati wametokea Africa.

Hata Wamisri wametoka huku kwetu kusini kwao.

Jaribu kumsoma Cheik Anta Diop, sio kila siku biblia tu.

kiranga nilikutegemea, karibu!!

but wapi nimesema waafrika tumetoka middle east?????
 
Mkuu katika maandiko uliyonukuu sijaona mahali panaposema watu hao niwa africa...naomba ufafanuzi wako zaidi
 
your bluffing again, I find no lucrative reasons to pursue this argument as you have chosen to restrict yourself within limited sphere of your mind. Encouraging your floating perspectives to be a concrete source for universal knowledge

Yeah, If you could refute my evidence, I wouldn't keep clubbing you with them. ....but you can't!

CHRISTIANITY IS NOT A RELIGION. Refute it if you can.
 
Waafrica hawakutoka Mashariki ya kati, watu wa mashariki ya kati wametokea Africa.

Hata Wamisri wametoka huku kwetu kusini kwao.

Jaribu kumsoma Cheik Anta Diop, sio kila siku biblia tu.
Kwani Wamisri sio Waafrika? Very poor reasoning.
 
SONGOKA I think you are trying to have a conversation with a moron!

You are wasting your time buddy.
If someone has been worshipping a statue all his life, do you think he/she is capable of answering that question?

I doubt it very much!

A moron is the one who says Christianity is a Religion. If you are too stupid to get the crystal clear logic, that's your fault - not mine.
 
Mkuu katika maandiko uliyonukuu sijaona mahali panaposema watu hao niwa africa...naomba ufafanuzi wako zaidi

read between the line, mbona nimetoa maelezo ya kutosha. Hope your a GT
 
asili ya watu yaweza tofautiana katika mitazamo ya jamii tofauti kutokana na nadharia inayotumiwa na jamii hiyo. Nadharia ya neno "wazungu" imetumika "kimtizamo" zaidi, iki reflect rangi na si tabaka la kigiografia.

ndo maana nimeanza na neno "kumekuwa na mtizamo".

Huo mtazamo wa watu weupe wa kwenye Bibia umetoka wapi?

Je Biblia inazungumza rangi ya watu hao?
 
Refer to post number 56.

Religion is the set of beliefs, feelings, dogmas and practices that define the relations between human being and sacred or divinity

Swali; is Christian not fitting the above def???????
 
Ukisoma vizuri chimbuko la hao baadhi ya hao Waisrael (Wayahudi) unapata picha kuwa kuna uwezekano baadhi yao walikuwa na muonekano wa Kiafrika haswa wa watu wa Misri (sio hawa waarabu wa kimisri ya sasa)...

Mathalani katika Biblia kuna nyakati ambapo Nabii Musa, Mtume Paulo wamefananishwa na Wamisri pamoja na kuwa wao walikuwa ni Wayahudi kwa baba na mama.
Hii inaweza kukupa ujumbe kuwa kuna uwezekano baadhi ya Wayahudi walikuwa wanafanana na Wamisri kuanzia utosini hadi unyayoni.

Kabisa mkuu ....

Kwanza inaonekana kabisa kulikuwa na tofauti kati ya Waisraeli kwa maana ya Wayahudi na Wayunani,Wayahudi walifanana na Wamisri na ndio maana hata walionekana kama wao,lakini hata Yusuph,mtoto wa Jacob nae pia alikuwa anafanana na Wamisri

Sasa ndio nilikuwa najiuliza huu mtazamo kuwa Wayahudi walikuwa ni weupe unaanzia wapi?

Lakini pia watu wanadai kuwa baba wa watu weusi ni Ham kwasababu tu alikuwa na mtoto alieitwa Kushi,lakini ukitazama Kibiblia utaona kuwa Ibrahimu hakutokana na uzao wa Hamu bali alitokana na Shemu,sasa kama ni hivyo,je ni kweli kwamba Hamu alikuwa mweusi?

Nauliza hivyo kwasababu ushahidi unaonesha Wausraeli [Musa,Yusuph,Paulo n.k] walikuwa weusi,je weusi wao waliutolea wapi kama shemu hakuwa mweusi?

Lakini pia ukisoma kuanzia Mwanzo 9 hadi 20 utaona kwamba hakuna mahali ambapo maandiko yanaelezea wale watoto na uzao wao walikuwa wanatofautiana rangi kabisa,kwa maana hii naweza kusema inawezekana watoto wa Nuhu wote walikuwa weusi na hizi rangi zilikuja kutokea baadae au baba wa watu weusi sio Hamu ni Shemu kutokana na ushahidi hu hapo juu!
 
Pauline doctrine(Ushirikina wa Paulo na wafuasi wake) ni Trinity, God incarnate, Jesus came straight from heaven. Jesus is a word from/of God, therefore Jesus is God.
More slop. No substance.
 
Kabisa mkuu ....

Kwanza inaonekana kabisa kulikuwa na tofauti kati ya Waisraeli kwa maana ya Wayahudi na Wayunani,Wayahudi walifanana na Wamisri na ndio maana hata walionekana kama wao,lakini hata Yusuph,mtoto wa Jacob nae pia alikuwa anafanana na Wamisri

Sasa ndio nilikuwa najiuliza huu mtazamo kuwa Wayahudi walikuwa ni weupe unaanzia wapi?

Lakini pia watu wanadai kuwa baba wa watu weusi ni Ham kwasababu tu alikuwa na mtoto alieitwa Kushi,lakini ukitazama Kibiblia utaona kuwa Ibrahimu hakutokana na uzao wa Hamu bali alitokana na Shemu,sasa kama ni hivyo,je ni kweli kwamba Hamu alikuwa mweusi?

Nauliza hivyo kwasababu ushahidi unaonesha Wausraeli [Musa,Yusuph,Paulo n.k] walikuwa weusi,je weusi wao waliutolea wapi kama shemu hakuwa mweusi?

Lakini pia ukisoma kuanzia Mwanzo 9 hadi 20 utaona kwamba hakuna mahali ambapo maandiko yanaelezea wale watoto na uzao wao walikuwa wanatofautiana rangi kabisa,kwa maana hii naweza kusema inawezekana watoto wa Nuhu wote walikuwa weusi na hizi rangi zilikuja kutokea baadae au baba wa watu weusi sio Hamu ni Shemu kutokana na ushahidi hu hapo juu!

mkuu pitia tena, your missing some facts
 
Back
Top Bottom