Waafrica hawakutoka Mashariki ya kati, watu wa mashariki ya kati wametokea Africa.
Hata Wamisri wametoka huku kwetu kusini kwao.
Jaribu kumsoma Cheik Anta Diop, sio kila siku biblia tu.
Tatizo wabongo wengi wakisoma biblia basi ndio wanafikiri wamemaster historia.Ni wachache sana wanamfahamu cheick anta diop