Unawajua watu weusi (waafrica) ndani ya bible?

Unawajua watu weusi (waafrica) ndani ya bible?

kiranga, kabla ya noah pia kulikuwa na waafrica, possibly mke wa noah alikuwa mwafrica[/QUOTE

naomba ufafanuzi. Nakubali kabla ya Nuhu kulikuwa na waafrika. sasa baada ya gharika ambayo kimantiki inaonyesha iliangamiza dunia nzima ina maana walimwengu woooote kuanzia waafrika weusi, jamii ya kichina china (mongolic), wahindi, wazungu..... ni kizazi cha nuhu maana dunia mpya ilianzia hapo!!??? hii imekaaje? Historia ya uchagani ninakotoka inaonyesha wakati wachaga wanaingia kutoka huko walikotoka wabantu wengine waliwakuta wenyeji wa ule mlima. wale wenyeji walikuwa weusi sana na wafupi sana (wakoningwa/mbilikimo). sasa hivi hakuna hata mmoja, ina maana waliwaua au walitoweka kutokana na mazingira kubanwa. Tukienda kwenye jamii za kihindi na wenyeji wa asili wa marekani na italia tunaona kuna watu weusi lakini si waafrika wala hawajawahi kukutana. inaashiria watu weusi walikuwepo kwenye kila eneo la kijiografia - manake ni kuwa hata wachina weusi kwa asili walikuwepo. Hata watoto wa isaka hawakufanana rangi. mmoja nadhani esau alikuwa mwekundu na mwenye nywele nyingi zaidi. nisichokijua ni kwa nini watu wenye rangi nyeusi walichukiwa na wenzao weupe kiasi cha kuangamizwa na kumalizwa kabisa katika baadhi ya maeneo, na kwingine kubaki wachache na mpaka leo wanabaguliwa. kwa hiyo siamini kuwa kigezo cha uafrika ni rangi sema tu afrika ilikuwa na weusi wengi. mabara mengine yamefanikiwa kuangamiza watu wao wenye rangi nyeusi.
 
Jesus had no religion, inter-alia, God does not need religion but relationship with Him. God is our Father and H e needs that relationship of a Father/Child and not Allahic slavery relationship. Muhammad was a SLAVE of Allah.

Jesus is GOD.

Link If Jesus was a Jew, why are we Catholic? | Catholic Answers

Unaweza kuueleza umma na kondoo wa bwana , vipi Mungu anaumba?

Link The Story of Jesus and Mary in the Holy Quran (part 1 of 3): Mary - The Religion of Islam

Link The Christmas Story of the Birth of Jesus

Hii maana yake ni nini? Fafanua.
The angel explained that the child within Mary was conceived by the Holy Spirit,
 
Eeeeh!!!!
Vilevile angalia lugha walioongea wa yahudi.Lugha hii iko kwenye kundi la Semitic languages.Chanzo cha Semitic languages ni Ethiopia.kwa hiyo wayahudi wamwanzoni walikuwa waafrika.
 
Jesus had no religion, inter-alia, God does not need religion but relationship with Him. God is our Father and H e needs that relationship of a Father/Child and not Allahic slavery relationship. Muhammad was a SLAVE of Allah.

Jesus is GOD.

Holy Spirit alikwenda kufanya nini kwenye viungo vya uzazi vya Bikira Maria?

Je Yesu alizaliwa na Binadamu Mwanamke? Miezi Mingapi "Jesus is God" alikaa kwenye tumbo la Mary? Je "Jesus is God" alipata wapi virutubisho vya kuujenga mwili wake alipokuwa katika tumbo la Mama yake?
Je Maria alihisi uchungu wakati wa kumzaa "Jesus is God"?

Je Mungu anazaliwa?

Je Mungu anahitaji chakula?

link Surat Al-'Ikhlas - The Noble Qur'an - ?????? ??????
 
and u are struggling too much to reach ur christianity orga*m, it looks like u dont have a jesus spot.
Why should I care about talking with you further? You are another ignorant dishonest oafish retard non theist who isn't interested in learning but practicing omofylofilos.

You are dumb and mindless.
 
Holy Spirit alikwenda kufanya nini kwenye viungo vya uzazi vya Bikira Maria?

Je Yesu alizaliwa na Binadamu Mwanamke? Miezi Mingapi "Jesus is God" alikaa kwenye tumbo la Mary? Je "Jesus is God" alipata wapi virutubisho vya kuujenga mwili wake alipokuwa katika tumbo la Mama yake?
Je Maria alihisi uchungu wakati wa kumzaa "Jesus is God"?

Je Mungu anazaliwa?

Je Mungu anahitaji chakula?

link Surat Al-'Ikhlas - The Noble Qur'an - ?????? ??????

You can't refute my arguments I have argued.
You have been provided and outline of massive evidences. You can't defeat any of them. You ignore them.
 
Why should I care about talking with you further? You are another ignorant dishonest oafish retard non theist who isn't interested in learning but practicing omofylofilos.

You are dumb and mindless.

My previous comment is still valid to ur responses.u can borrow my glasses and read, Douche!
 
Vilevile angalia lugha walioongea wa yahudi.Lugha hii iko kwenye kundi la Semitic languages.Chanzo cha Semitic languages ni Ethiopia.kwa hiyo wayahudi wamwanzoni walikuwa waafrika.

umeongea vizuri mkuu. pia ikumbukwe kwamba mnara wa baberi ndio chanzo cha lugha nyingi duniani ni mnara huo di ulikuwa huku huku Africa. ooh! mama Aftica najisifu kuzaliwa Africa.
 
My previous comment is still valid to ur responses.u can borrow my glasses and read, Douche!
Your diabolical claim is not falsifiable in any way because it isn't testable. You are making too much noise God Hater.
 

You can't refute my arguments I have argued.
You have been provided and outline of massive evidences. You can't defeat any of them. You ignore them.
Kama huu uhuni uufanyao ndio kujibu maswali.Inaonekana hata mtihani wa Paulo uliambulia Zero.
Sio ajabu alishajua kuwa wewe ni mgalatia usiye na.........
Hao kondoo wa bwana unaowachunga wana hali gani kama mchungaji yuko mtupu hivi?

Moja na moja na moja ni ngapi?
 
Unalazimisha mambo.

1. Yesu ni Kiswahili
2. Jesus ni Kiingereza
3. Yeshua ni Kiiebrania
4. Yasua ni Kiarabu

SASA HILI LA Eesa ni la wapi kama si la Kimuhammad? Sasa Umuhammadi tokea lini ulikuwa ni Lugha?

You have limitations but the good thing is you don't recognize them, even nontheist like me sees them. In the movie The Passion of the Christ, the word Eesa was used at least once. That's Aramaic word, the language Jesus spoke, describes exactly what you have mentioned above. Do you tell me that Mel Gibson got it from Muslim sources?
 
Kumekuwepo na mitazamo kwamba biblia inazungumzia wazungu na sisi waafrica we had nothing to do with the bible na wokovu wa wanadamu (for believers), wala bible haitutaji.

Leo nakuletea watu weusi ( waafrica) wanaotajwa ndani ya bible, na walioshiriki kujenga historia ya Israel, ukristo na umuhimu wao

1. Cush- huyu ndo chimbuko hasa la waafrica, ni mtoto wa ham, na mjukuu wa noah. Inaaminika huyu ndo babaya waafrica wote. Ethiopia wanaamini kuwa wao ni direct descendant wa cush. (Genesis 10:8; 1 Chr. 1:10)

2. Zipporah, huyu alikuwa mke wa moses,ikumbukwe kuwa baada ya moses kumuoa watu walilalamika sana mpaka Mungu akataka kuwaadhibu, kisa tu alikuwa mwafrica. Moses wote tunajua umuhimu wake katika historiaya dunia hii. (Numbers12:1)

3. Shulammite, huyu alikuwa mke wa solomoni, na inaaminika wimbo ulio bora aliandikiwa yeye. Anasifika kwa uzuri wake na ngozi yeke nyeusi nyororo. Binti huyu katuwakilisha vizuri sana waafrika mpaka kaandikiwa wimbo mzuri namna ile. (Song of Solomon 1:5),

4. Queen of sheba, huyu ni malkia aliyemtembelea Solomon ili kuhakiki hekima yake. Malkia huyu alikuwa tajiri na mwenye ukwasi wa ajabu. Katika safari yake alibeba mabag ya manukato,dhahabu, uvumba, na vito mbalimbali. Hii inatudhihirishia kuwa Africa tulikuwa vizuri kitambo sana mafisadi tu ndo wametulostisha. Ukoo wa haile selasie wanaamini kuwa wao ni wajukuu wa mfalme solomoni baada ya kuzaa na bibi yaoqueen of sheba(1 Kings 10:1)

5. Ethiopian eunuch Acts8:37, huyu alikuwa ni mlinzi wa malkia wa Ethiopia ambaye ametajwa kuwa maraika walimtuma filipo amtokee jangwani ili amfafanulie kitabu cha isaya alichokuwa akisoma wakati akisafiri kutoka Israel. Hii inatwambia kuwa kumbe hata kabla ya wamisionary maandiko yalikuwepo Africa na tulikuwa tukiyasoma vizuri tu

6. Simeon a.k.a Niger ( Acts13:1), huyu alikuwa mwafrika tena mweusi kiasi cha watu kuacha kumuita simon tu ila wakampa a.k.a ya simon "niger". Kwa wanaofahamu simeon ni kati ya watu wa kwanza kabisa kusambaza injili kwa mataifa na kuwa mkuu wa makanisa baada ya Yesu kufa. Kumbe hata sisi waafrica ni kati ya watu walioeneza wakovu sambamba na kina Paulo,silas, na wengineo.
Historia haijatuacha nyuma waafrica, tulikuwepo toka enzi za noah na tutaendelea kuwepo. Na dunia hii tumeshiriki katika kila hatua ya ujenzi na ubomozi. VIVA Afrika.

And what does it make you feel? The ancient people didn't recognize the world the way we do today. So this association of Africans with the Bible is pure madness.

In ancient time Ethiopia and Yemen were within one kingdom. So if somebody refered Cush, he could as well meant Yemeni. What would you feel if somebody told you that the Queen of Sheeba was probably Yemenite?
 
Why should I care about talking with you further? You are another ignorant dishonest oafish retard non theist who isn't interested in learning but practicing omofylofilos.

You are dumb and mindless.

Kaka naheshimu sana michango yako,unaonekana kujua mengi sana na wengi huwa tunafaidika na unayoyajua.

Ila ombi langu ni hili,punguza matusi ama kushambulia watu pseeeee. Nadhani hayo ndio mafundisho ya Yesu unayejitamba kumfuata.
 
Back
Top Bottom