Unawajua watu weusi (waafrica) ndani ya bible?

Unawajua watu weusi (waafrica) ndani ya bible?

Hivi origin ya race ya watu weusi no ipi? Au bado watu wana ile dhana ya kusema sisi matokeo ya laana ya ham kutoka kwa babaye?
 
kwa kifupi tu ! waafrica sisi hasili yetu ni Adam,na sio sisi tu ,ni binaadam wote hao unaowaona hapa ulimweunguni hasili yao africa. ispokuwa basi ,wengine wamebadirika badirika rangi kwa sababu ya hali mbaya ya hewa kipindi hicho wakati shetani alipowangia na kuanza kutambaa na kutafuta makazi sehem tofauti ulimwenguni . serikali za kizungu zinaficha ukweli,lkn watu mitaani huku ulaya wanatambua ilo!! mi nipo ujerumani na naongea sana na baadhi ya watu ambao Mungu amewabariki na wanasema ukweli, lkn kimataifa serikali zinaficha! we fikilia kwanza ,ujuwe wazungu wanachuki nasi mpaka mambo mengine wanatufanyia lkn yanawakomoa wenyewe, kwa mfano, michael jackson amekubali kubadilishwa rangi na illuminaty ili kwa siri sana awatamburishe watu weusi kuwa, watu weupe wote walikuwa weusi zamani. lkn sisi watu weusi tumeshindwa kulifumbua ilo fumbo la michael jackson alilowafumbia wazungu. mi nipo ulaya huku naona, wazungu ni washenzi kweli tena sio masihala ,wanashirikiana na waharabu kuaribu vizazi vya Mungu ukweli. wanasema wanakuja huko kusaidia Africa, wakati huku huku ulaya kuna waafrica wengi hawana kitu na wengine wengi wanalala nje ktk baridi,mvua n.k. cha ajabu ata umaskini pia upo kwao ndugu zao pia mitaani. sasa basi uwa najiuliza, kwann hawa wazungu km kweli wanataka kusaidia africa kwa roho safi,kwann wasitusaidie sisi huku? afu sisi tutarudi nyumbani wenyewe kila wkt kuja kusaidia watu wetu sio au sio bwana, lkn wapi!! msiwajari hawa wzngu, kwani ni wadudu na wanapigana jihadi ya kuangamiza viumbe vya Mungu, lkn siku yao ipo jikoni!!
 
kwa kifupi tu ! waafrica sisi hasili yetu ni Adam,na sio sisi tu ,ni binaadam wote hao unaowaona hapa ulimweunguni hasili yao africa. ispokuwa basi ,wengine wamebadirika badirika rangi kwa sababu ya hali mbaya ya hewa kipindi hicho wakati shetani alipowangia na kuanza kutambaa na kutafuta makazi sehem tofauti ulimwenguni . serikali za kizungu zinaficha ukweli,lkn watu mitaani huku ulaya wanatambua ilo!! mi nipo ujerumani na naongea sana na baadhi ya watu ambao Mungu amewabariki na wanasema ukweli, lkn kimataifa serikali zinaficha! we fikilia kwanza ,ujuwe wazungu wanachuki nasi mpaka mambo mengine wanatufanyia lkn yanawakomoa wenyewe, kwa mfano, michael jackson amekubali kubadilishwa rangi na illuminaty ili kwa siri sana awatamburishe watu weusi kuwa, watu weupe wote walikuwa weusi zamani. lkn sisi watu weusi tumeshindwa kulifumbua ilo fumbo la michael jackson alilowafumbia wazungu. mi nipo ulaya huku naona, wazungu ni washenzi kweli tena sio masihala ,wanashirikiana na waharabu kuaribu vizazi vya Mungu ukweli. wanasema wanakuja huko kusaidia Africa, wakati huku huku ulaya kuna waafrica wengi hawana kitu na wengine wengi wanalala nje ktk baridi,mvua n.k. cha ajabu ata umaskini pia upo kwao ndugu zao pia mitaani. sasa basi uwa najiuliza, kwann hawa wazungu km kweli wanataka kusaidia africa kwa roho safi,kwann wasitusaidie sisi huku? afu sisi tutarudi nyumbani wenyewe kila wkt kuja kusaidia watu wetu sio au sio bwana, lkn wapi!! msiwajari hawa wzngu, kwani ni wadudu na wanapigana jihadi ya kuangamiza viumbe vya Mungu, lkn siku yao ipo jikoni!!
Umesomeka mkuu vilivyo
 
uzungu na uafrika chimbuko lake haswaa ni tabaka la kijiografia. Kutokana na tofauti za hali ya hewa, mwili wa mwanadamu ulijiadapt ili kukabiliana na hali ya hewa. Ndio maana mimi naamini Yesu alikuwa mweusi na sio mzungu kwa sababu asili yake na wazazi wake ni sehemu yenye jua kali

Wazungu ni albino... ni binadam wenye defects za ajabu na hawana uwezo wa kuishi latika nchi za kitropiki...
 
Waisrael halisi ni weusi kaka hawa wengine wote bi maigizo tu nitaweka thread hapo japo ufunguke macho.
wanafaham vema sana kuwa hawa waisraeli wa sasa ni feki na watu wslioandikiwa/andika biblia ni weusi angalia hii.
 

Attachments

  • Two_popes.jpg
    Two_popes.jpg
    78.4 KB · Views: 322
umeongea vizuri mkuu. pia ikumbukwe kwamba mnara wa baberi ndio chanzo cha lugha nyingi duniani ni mnara huo di ulikuwa huku huku Africa. ooh! mama Aftica najisifu kuzaliwa Africa.

mwe!! babeli kwa kizungu ni babylon kaka. haiko afrika bali mashariki ya kati
 
nimependa uchambuzi wako.. Naomba kukuuliza hivi tunda la katikati alilokula adamu ni lipi, maana huku mitaani kuna maneno mengi .

hahahaaaa,,,,sijaulizwa mimi lakini hata mimi niliwahi kujiuliza hilo swali. Maana kama tunda lenyewe ni hili walisemalo wanamtaa yaani kugegedana basi hakuna mantiki ya Mungu kumuumba mtu mke na mtu mume. Biblia inaonyesha wazi tunda hili ni "ujuzi wa mema na mabaya". Tafsiri yake ambayo ni yangu ni kuwa adam na hawa walikuwa na akili za wanyama na walitembea uchi kama wafanyavyo wanyama bila kujali. Walipokula lile tunda wakafunguka akili na wakagundua wako uchi, na wakajua kuwa uchi ni aibu wakajifunika kwa majani. Pia kumbuka shetani alimwambia hawa ukweli kuwa endapo wangekula lile tunda wangekuwa kama Mungu kwa maana ya kujua jema na baya (reasoning). Na Mungu alipoona adam na hawa wameshapata kiwango fulani cha uungu alifanya mashauriano na halmashauri yake (inasemekana ni Yesu na Roho Mtakatifu) kuwa hawa watu weshaakuwa na akili kama zetu, sasa tusipowatimua hapa wataenda kula tunda la uzima ambalo litawafanya waishi milele kama sisi. Hivyo adam na mamaa wakatimuliwa na mti wa uzima ukawekewa ulinzi mkali.
 
Pale kwenye Ka-blog iko hiyo na hapa JF unairudia rudia. Je unaikana sasa?

Is Jesus Allah according to Quran?
Ishmael,I challenge you to answer this question.

Are you not full of it?
Do you just write things to fool those kondoo wa bwana?
Jesus is God, the one you call him Allah, in contrast, Allah of the Quran is not God of the Bible.
 
Jesus is God, the one you call him Allah, in contrast, Allah of the Quran is not God of the Bible.
NI kweli Mungu wa kwenye Quran si Yesu.
Vile vile Mungu wa kwenye Agano la kale si Yesu.
Pia Mungu wa kwenye Agano jipya si Yesu lakini kuna baadhi ya ngano za Paulo zinazosema kuwa Yesu ni Mungu. Yesu menyewe hajawahi sema popote kuwa ni Mungu. Na anaonekana na matendo yake ni ya binadamu aliyetumwa na Mungu.(Allah).

John 12:49 For I did not speak on my own, but the Father who sent me commanded me to say all that I have spoken.

Matthew 26:39 Going a little farther, he fell with his face to the ground and prayed, "My Father, if it is possible, may this cup be taken from me. Yet not as I will, but as you will."

Matthew 27:46 About three in the afternoon Jesus cried out in a loud voice, "Eli, Eli, lema sabachthani?" (which means "My God, my God, why have you forsaken me?").

Mungu wa Yesu ni nani hapo kwenye Matthew 27:46

Link http://www.quranitukufu.net/Biblia/index.htm
 
It means Jesus is the Son of God. Do you know why?
Jesus is not a son a God. Mungu amemuumba Yesu. Mungu anapoumba husema tu "Be and it is". Na katika hali hiyo ndio ameumbwa Yesu. Yesu katika usahihi wake ni mtoto wa Bikira Maria/mu na ni mjumbe/ mtumwa/ mtume wa Allah.

Mungu anasema wazi hapa. link Surat Al-'Ikhlas - The Noble Qur'an - ?????? ??????

Na kama unasisitiza kuwa wapo watoto wa Mungu kwenye biblia basi haina maana hiyo unayotaka kuwaaminisha kondoo za bwana. Watoto wa Mungu ina maana ya watu wachaMungu ( Walio karibu na Mungu). Ni wazi Paulo haingii katika kundi la watoto wa Mungu.



 
Last edited by a moderator:
Jesus is not a son a God. Mungu amemuumba Yesu. Mungu anapoumba husema tu "Be and it is". Na katika hali hiyo ndio ameumbwa Yesu. Yesu katika usahihi wake ni mtoto wa Bikira Maria/mu na ni mjumbe/ mtumwa/ mtume wa Allah.

Mungu anasema wazi hapa. link Surat Al-'Ikhlas - The Noble Qur'an - ?????? ??????

Na kama unasisitiza kuwa wapo watoto wa Mungu kwenye biblia basi haina maana hiyo unayotaka kuwaaminisha kondoo za bwana. Watoto wa Mungu ina maana ya watu wachaMungu ( Walio karibu na Mungu). Ni wazi Paulo haingii katika kundi la watoto wa Mungu.
So, Allah said be and Isa bin Mariam was? Am I correct?
 
NI kweli Mungu wa kwenye Quran si Yesu.
Vile vile Mungu wa kwenye Agano la kale si Yesu.
Pia Mungu wa kwenye Agano jipya si Yesu lakini kuna baadhi ya ngano za Paulo zinazosema kuwa Yesu ni Mungu. Yesu menyewe hajawahi sema popote kuwa ni Mungu. Na anaonekana na matendo yake ni ya binadamu aliyetumwa na Mungu.(Allah).

John 12:49 For I did not speak on my own, but the Father who sent me commanded me to say all that I have spoken.

Matthew 26:39 Going a little farther, he fell with his face to the ground and prayed, "My Father, if it is possible, may this cup be taken from me. Yet not as I will, but as you will."

Matthew 27:46 About three in the afternoon Jesus cried out in a loud voice, "Eli, Eli, lema sabachthani?" (which means "My God, my God, why have you forsaken me?").

Mungu wa Yesu ni nani hapo kwenye Matthew 27:46

Link http://www.quranitukufu.net/Biblia/index.htm
Because Allah of the Quran is not God and never said he was God.
 
So, Allah said be and Isa bin Mariam was? Am I correct?
Unataka kujifanya kama Paulo cunning all the way.
Hujui vipi Mungu anaumba leo?

Wewe Ishamel ni kiumbe cha Mungu?
Kama jibu ni ndio , vipi Mungu amekuumba?

This story of Isa bin maryam is well know to you but if you plan mischief then read here.

And @ the one who guarded her chastity, so We blew into her [garment] through Our angel [Gabriel], and We made her and her son a sign for the worlds.
Utamu wote utaupata hapa:

link The Story of Jesus and Mary in the Holy Quran (part 1 of 3): Mary - The Religion of Islam


Luke 1:28 The angel went to her and said, "Greetings, you who are highly favored! The Lord is with you."
Luke 1:29 Mary was greatly troubled at his words and wondered what kind of greeting this might be.
Luke 1:30 But the angel said to her, "Do not be afraid, Mary; you have found favor with God.
Luke 1:31 You will conceive and give birth to a son, and you are to call him Jesus.
Luke 1:32 He will be great and will be called the Son of the Most High. The Lord God will give him the throne of his father David,
Luke 1:33 and he will reign over Jacob's descendants forever; his kingdom will never end."
Luke 1:34 "How will this be," Mary asked the angel, "since I am a virgin?"
Luke 1:35 The angel answered, "The Holy Spirit will come on you, and the power of the Most High will overshadow you. So the holy one to be born will be called the Son of God.
Luke 1:37 For no word from God will ever fail."
Luke 1:38 "I am the Lord's servant," Mary answered. "May your word to me be fulfilled." Then the angel left her.
Matthew 1:18 This is how the birth of Jesus the Messiah came about: His mother Mary was pledged to be married to Joseph, but before they came together, she was found to be pregnant through the Holy Spirit.
Matthew 1:19 Because Joseph her husband was faithful to the law, and yet did not want to expose her to public disgrace, he had in mind to divorce her quietly.
Matthew 1:20 But after he had considered this, an angel of the Lord appeared to him in a dream and said, "Joseph son of David, do not be afraid to take Mary home as your wife, because what is conceived in her is from the Holy Spirit.
Matthew 1:21 She will give birth to a son, and you are to give him the name Jesus, because he will save his people from their sins."
Matthew 1:22 All this took place to fulfill what the Lord had said through the prophet:
 
Because Allah of the Quran is not God and never said he was God.
Unataka turudie kila siku kitu hicho hicho?

Nini maana ya Allah? Maana yake ni the only true God.

Allah ni Mungu wa Abraham, Moses, Jesus, Muhammad na sote sisi ni waja wa Allah.

Sasa kama hili linakupa shida, niambie Mungu wa Mama yake Yesu ni nani?
Mungu wa Abraham na Moses na Yesu ni yupi?

Kwa nini unakumbatia kufuru Ishmael?
 
Back
Top Bottom