Unawajua watu weusi (waafrica) ndani ya bible?

Unawajua watu weusi (waafrica) ndani ya bible?

Mungu ni wa wote wenye mwili kwanini asitujue wakaiti ametuumba?
yeye ameweka tu rangi kuwa hawa bara hili wawe rangi nyeupe na hawa wa bara lile wawe rangi nyeusi ni mapamobo yake tu hayo
Asante sana SONGOKA umeeleza vizuri sana kumbe nasi Mungu anatujua
 
And what does it make you feel? The ancient people didn't recognize the world the way we do today. So this association of Africans with the Bible is pure madness.

In ancient time Ethiopia and Yemen were within one kingdom. So if somebody refered Cush, he could as well meant Yemeni. What would you feel if somebody told you that the Queen of Sheeba was probably Yemenite?
Sio kweli usidanganye. Katika Dunia ya kale watu weusi waliitwa waethiopia kwa hiyo Hilo neno lilikuwa haliashirii geographia tu, liliashiria pia ra rangi.
 
Mungu ni wa wote wenye mwili kwanini asitujue wakaiti ametuumba?
yeye ameweka tu rangi kuwa hawa bara hili wawe rangi nyeupe na hawa wa bara lile wawe rangi nyeusi ni mapamobo yake tu hayo

Nikweli ladyfurahia unayo yasema lakini ulimwengu wa kizungu umetuona watu tusio na maana nasi wengi wetu tuliamini hivyo na kudhania hata mungu anatuchukulia hivyo kumbe sivyo
 
Last edited by a moderator:
Sio kweli usidanganye. Katika Dunia ya kale watu weusi waliitwa waethiopia kwa hiyo Hilo neno lilikuwa haliashirii geographia tu, liliashiria pia ra rangi.

You are correct; however, the people who used the word Ethiopia were Greeks, not the onse who wrote the Bible. As a matter of fact, the Greek identified our area Azania. So why do you associate yourself with Ethiopia, when your area has its own name?

The middle easterners weren't foreigners to various parts of Africa and black people have lived in the middle east for centuries. For example, the area of the kingdom of Seba was located in both Yemeni and Ethiopia. So the burned skin people who are referred in the Bible might as well be the natives of modern Ethiopia or Yemeni.

My point is there's no northern European in the Bible. However, they took Christianity as their religion and modified it to meet their needs. You too can do same.
 
Last time I checked you said Jesus is Allah.
For that confession of yours ,it means Jesus created nothing. Now you are saying the truth. Jesus never created a thing.
Jesus was created as was his mother and all other messengers of God before him.
Takbiir!

link ISLAM: The Religion of All Prophets - GainPeace
Do you believe that Jesus is Allah? It seem you are full of it, you man.
 
Do you believe that Jesus is Allah? It seem you are full of it, you man.

Pale kwenye Ka-blog iko hiyo na hapa JF unairudia rudia. Je unaikana sasa?

Is Jesus Allah according to Quran?
Ishmael,I challenge you to answer this question.

Are you not full of it?
Do you just write things to fool those kondoo wa bwana?
 
Pale kwenye Ka-blog iko hiyo na hapa JF unairudia rudia. Je unaikana sasa?

Is Jesus Allah according to Quran?
Ishmael,I challenge you to answer this question.

Are you not full of it?
Do you just write things to fool those kondoo wa bwana?
Jesus is ALLAH.
 
Yesu alisema hivi "mimi ndio njia ya kweli na uzima hakuna awezae kwenda kwa baba bila kupitia kwangu".Kwa mujibu wa kamusi ya kiswahili DINI maana yake ni NJIA ya kupita binadamu kwenda kwa BABA yaani MUNGU.Kwa hiyo UKRISTO ni DINI ni NJIA ya kwenda kwa MUNGU BABA iliyoletwa na KRISTO.U- KRISTO.aliitwa YESU KRISTO,YESU KRISTU, JESUS CHRIST.Kwa hiyo Ukristo ni dini.
 
uzungu na uafrika chimbuko lake haswaa ni tabaka la kijiografia. Kutokana na tofauti za hali ya hewa, mwili wa mwanadamu ulijiadapt ili kukabiliana na hali ya hewa. Ndio maana mimi naamini Yesu alikuwa mweusi na sio mzungu kwa sababu asili yake na wazazi wake ni sehemu yenye jua kali
asili ya watu yaweza tofautiana katika mitazamo ya jamii tofauti kutokana na nadharia inayotumiwa na jamii hiyo. Nadharia ya neno "wazungu" imetumika "kimtizamo" zaidi, iki reflect rangi na si tabaka la kigiografia.

ndo maana nimeanza na neno "kumekuwa na mtizamo".
 
Jesus is ALLAH.
Last time I checked you said Jesus is Allah.
For that confession of yours ,it means Jesus created nothing. Now you are saying the truth. Jesus never created a thing.
Jesus was created as was his mother and all other messengers of God before him.
Takbiir!

link ISLAM: The Religion of All Prophets - GainPeace
 
Last time I checked you said Jesus is Allah.
For that confession of yours ,it means Jesus created nothing. Now you are saying the truth. Jesus never created a thing.
Jesus was created as was his mother and all other messengers of God before him.
Takbiir!

link ISLAM: The Religion of All Prophets - GainPeace
Birth pangs, it is allah of Islam who never created anything, in contrast, Jesus created Muhammad and your Allah.

[h=3]Can there be a son without a consort?[/h]The Qur'an is very emphatic in its rejection of the central Christian belief that Jesus is the Son of God. One of the main arguments of the Qur'an against the concept of God having a son is expressed in this passage:
And they make the jinn associates with Allah, while He created them, and they falsely attribute to Him sons and daughters without knowledge; glory be to Him, and highly exalted is He above what they ascribe (to Him). Wonderful Originator of the heavens and the earth! How could He have a son when He has no consort, and He (Himself) created everything, and He is the Knower of all things. S. 6:100-101 Shakir
Clearly, the author of the Qur'an expects the listener to respond to his rhetorical question, How could He have a son when He has no consort?, with the acknowledgement that this is impossible. In other words, the Qur'an claims that it is impossible for Allah to have a son without having a consort and - this is certainly implied - having sex with this consort to produce the son. The Qur'an expects this question, How could He have a son when He has no consort?, to silence those who believe in a son or sons and daughters of God because they will not be able to answer it.
Interestingly, the Quran itself provides the answer to its supposedly unanswerable question. In Sura 19, Mary asks basically the same question when an angel comes to her and announces:
He said: I am only a messenger of thy Lord, that I may bestow on thee a faultless son. She said: How can I have a son when no mortal hath touched me, neither have I been unchaste? He said: So (it will be). Thy Lord saith: It is easy for Me. And (it will be) that We may make of him a revelation for mankind and a mercy from Us, and it is a thing ordained. Sura 19:19-21 Pickthall
In other words, Mary asks: How can I have a son when I had no consort? Her question, "How can this be?", receives Allah's answer: This is easy for me! (19:21)
 
nimependa uchambuzi wako.. Naomba kukuuliza hivi tunda la katikati alilokula adamu ni lipi, maana huku mitaani kuna maneno mengi .
 
asili ya watu yaweza tofautiana katika mitazamo ya jamii tofauti kutokana na nadharia inayotumiwa na jamii hiyo. Nadharia ya neno "wazungu" imetumika "kimtizamo" zaidi, iki reflect rangi na si tabaka la kigiografia.

ndo maana nimeanza na neno "kumekuwa na mtizamo".



Mashariki ya kati hakukuwa na wazungu enzi hizo. Wote, hadi Yesu, walikuwa ni waarabu.
 
Kisichokuwapo kinathibitishwaje kwamba hakipo?

Unafahamu kanuni za kuthibitisha?

Unaweza kuthibitisha kwamba nyumbani kwako hakuna panga la shaba linaloelea hewani bila kuonekana?

Kiranga heavy......!
 
SONGOKA

Waafrica hawakutoka Mashariki ya kati, watu wa mashariki ya kati wametokea Africa.

Hata Wamisri wametoka huku kwetu kusini kwao.

Jaribu kumsoma Cheik Anta Diop, sio kila siku biblia tu.

Mmh..! Ndo maana wakasema fuvu la binadam wa kwanza limepatikana africa.? Na yesu alikuwaje.?
 
Last edited by a moderator:
Nahitaji kumjua Chancellor of Nicea na bishop 300 waliokuwa wanadadisi asili ya yesu na jinsi walivyopanga tarehe na siku ya kusheherekea pasaka naomba nifahamu haya
 
inawezekana,tabia ya wazungu ni kujikweza kuaminisha kwamba wao ndio zaidi ya wanadam wengine,kiasi hata sisi waafrika kuafiki kila atendalo au kutamka mzungu. Mtoa post umetukumbusha umuhimu wa kufuatilia historia ya waafrika kwa kusoma maandiko mbalimbali
 
Back
Top Bottom