Unawajua watu weusi (waafrica) ndani ya bible?

Unawajua watu weusi (waafrica) ndani ya bible?


Chimbuko la Uislam
Ili kuweza kufahamu chimbuko halisi la Uislam inafaa kuyafahamu mazingira ya Uarabuni kabla ya Uislam, mtu aliyeitwa Muhammad na historia ya mwanzo ya Uislam. Elimu kale (akiolojia), Kurani na Hadithi vina mengi ya kusimlia ambayo watu wengi wanaweza kuwa hawajui.
Maka kabla ya Muhammad
...Continue Reading

Nini kinakufanya uogope kujibu hizo maswali zilizoenda shule?

Rudi hapa na jibu maswali bana. Huwezi kukimbia. Hizi maswali zimekukamata pabaya. Usiogope kukosa sadaka.

Link https://www.jamiiforums.com/jamii-i...i-waafrica-ndani-ya-bible-8.html#post12844991
 
Weye si umedai leo kuwa Allah alisema Be pregnant and Mary was pregnant. Vipi tena anatuma watu?



Gabriel wa Biblia sio Jibril ambaye ni allah incarnate.


Wewe kumbe hufahamu maana ya kutumwa.





The Muslim scripture further says that Allah breathed his Spirit into Mary, evidently with the intention of causing her to get pregnant:
And she who guarded her virginity, so We breathed into her of Our spirit (roohina) and appointed her and her son to be a sign unto all beings. S. 21:91
And Mary, Imran's daughter, who guarded her virginity, so We breathed into her of Our Spirit (roohina), and she confirmed the Words of her Lord and His Books, and became one of the obedient. S. 66:12
The Quran provides further substantiation that Allah's intention behind breathing out his Spirit into her was to cause the virginal conception of Jesus:
And mention in the Book Mary when she withdrew from her people to an eastern place, and she took a veil apart from them; then We sent unto her Our Spirit (roohana) that presented himself to her a man without fault. She said, 'I take refuge in the All-merciful from thee! If thou fearest God' … He said, ‘I am but a messenger come from thy Lord, to give thee a boy most pure. She said, ‘How shall I have a son whom no mortal has touched, neither have I been unchaste?' He said, 'Even so thy Lord has said: "Easy is that for Me; and that We may appoint him a sign unto men and a mercy from Us; it is a thing decreed."' S. 19:16-21
Here, the Spirit appears as a man in order to inform Mary that he has come to give her a pure, faultless son.
It seems pretty certain that Muhammad misunderstood or confused the Biblical story which speaks of God sending forth his angels to announce the virginal conception and birth of the Lord Jesus by the Holy Spirit:
"This is how the birth of Jesus Christ came about: His mother Mary was pledged to be married to Joseph, but before they came together, she was found to be with child through the Holy Spirit. Because Joseph her husband was a righteous man and did not want to expose her to public disgrace, he had in mind to divorce her quietly. But after he had considered this, an angel of the Lord appeared to him in a dream and said, ‘Joseph son of David, do not be afraid to take Mary home as your wife, because what is conceived in her is from the Holy Spirit. She will give birth to a son, and you are to give him the name Jesus, because he will save his people from their sins.'" Matthew 1:18-21
And:
"In the sixth month, God sent the angel Gabriel to Nazareth, a town in Galilee, to a virgin pledged to be married to a man named Joseph, a descendant of David. The virgin's name was Mary. The angel went to her and said, ‘Greetings, you who are highly favored! The Lord is with you.' Mary was greatly troubled at his words and wondered what kind of greeting this might be. But the angel said to her, ‘Do not be afraid, Mary, you have found favor with God. You will be with child and give birth to a son, and you are to give him the name Jesus. He will be great and will be called the Son of the Most High. The Lord God will give him the throne of his father David, and he will reign over the house of Jacob forever; his kingdom will never end.' ‘How will this be,' Mary asked the angel, ‘since I am a virgin?' The angel answered, 'The Holy Spirit will come upon you, and the power of the Most High will overshadow you. So the holy one to be born will be called the Son of God.'" Luke 1:26-35
Muhammad may have mixed up the details and thought that it was the Holy Spirit who both came to Mary and caused her to supernaturally conceive. Whatever the case, it is clear that Muhammad believed that Allah's Spirit has the power to create and is the agent or breath of life, the one through whom Allah imparts life to his creatures.

Hii longo longo yako peleka kwa misukule ya Paulo.

Unapenda haya mambo Ezekiel 23:20 There she lusted after her lovers, whose genitals were like those of donkeys and whose emission was like that of horses. kwa hiyo si ajabu unataka kuleta kufuru za Paulo kuwa Mungu hakuweza kumuumba Yesu mpaka amfanyie kumtembelea Maria.

Ewe Ishmael unaelewa wazi kuwa Muungu anapoumba hutoa amri tu.

Genesis 1:3 And God said, "Let there be light," and there was light.
 
[videohc5KZ8[/video]
Chimbuko la Uislam
Ili kuweza kufahamu chimbuko halisi la Uislam inafaa kuyafahamu mazingira ya Uarabuni kabla ya Uislam, mtu aliyeitwa Muhammad na historia ya mwanzo ya Uislam. Elimu kale (akiolojia), Kurani na Hadithi vina mengi ya kusimlia ambayo watu wengi wanaweza kuwa hawajui.
Maka kabla ya Muhammad
...Continue Reading
 
Hii longo longo yako peleka kwa misukule ya Paulo.

Unapenda haya mambo Ezekiel 23:20 There she lusted after her lovers, whose genitals were like those of donkeys and whose emission was like that of horses. kwa hiyo si ajabu unataka kuleta kufuru za Paulo kuwa Mungu hakuweza kumuumba Yesu mpaka amfanyie kumtembelea Maria.

Ewe Ishmael unaelewa wazi kuwa Muungu anapoumba hutoa amri tu.

Genesis 1:3 And God said, "Let there be light," and there was light.
Kumbe ayat za Quran ni za misukule. Poleni sana. Pata utamu wa habari HAPA

Kwa nini imani ya Kikristo ni bora zaidi ya Kiislamu?
******************************************************************

1. Utangulizi
...Continue Reading ........ HAPA
 
[/FONT][/COLOR][/FONT][/COLOR]
[/LIST]
[/FONT][/COLOR]
Nini kinakufanya uogope kujibu hizo maswali zilizoenda shule?

Rudi hapa na jibu maswali bana. Huwezi kukimbia. Hizi maswali zimekukamata pabaya. Usiogope kukosa sadaka.

Link https://www.jamiiforums.com/jamii-i...i-waafrica-ndani-ya-bible-8.html#post12844991

Allah is a white supremacist; He does not like black faces; He likes white faces

Here are a few verses from the Qur'an which unabashedly declares that black faces are the most despicable to Allah.Disbelievers' faces will be black on the judgment day and they will receive God's penalty...3:106

White faces on the judgment day will receive God's mercy...3:107

Allah will reward the doers of good with paradise and much more, their faces will be radiant‑stained; they will never be humiliated. The unbelievers' faces will be turned dark…10:26‑27

Commenting on the above verses ibn Kathir writes:There will be no blackness or darkness on their faces. The faces of the non-believers will be stained with dust, blackness and darkness. On the Resurrection Day Allah will remove His veil and then show His face to the dwellers of Paradise. He will make the believers' faces white but the unbelievers' faces will be dark.The sinners will be gathered together with blind (blue) eyes and black faces on the day the trumpet is sounded (the Noble Quran)...20:102

Unbeliever's faces will be turned black on the judgment day…39:60

The reason of Allah's great disdain for black faces (black complexion) and His unbound love for the white faces (white complexion) is quite easy to fathom. Muhammad complexion was white. We gather this information from his biography.
 
Umetaka ayat, imekufikia sasa umebakia aaah ahhaah, aaah

link Surat Al-'An`am [6:5] - The Noble Qur'an - ?????? ??????
Is Allah called "Father"?

In contrast, Jesus taught His disciples to pray to God as Father.
Matthew 6:9 teaches, "Our Father in heaven, hallowed be your name." Jesus also called God "your Father who is in heaven" (Matthew 5:16). The Gospel of Matthew refers to God as Father 43 different times, clearly communicating His role as One who is a Father to His spiritual sons and daughters.



 
Sikujua kuwa yule aliyetumwa kupeleka ujumbe kwa Bikira Maria kuwa atapata mimba na kuzaa mtoto wa kiume alikuwa ndio Mungu.
Kwa hiyo , Ishmael una miungu nne?

God sent the angel Gabriel to Nazareth, a city in Galilee. 27 The angel went to a virgin promised in marriage to a descendant of David named Joseph. The virgin’s name was Mary.
28 When the angel entered her home, he greeted her and said, “You are favored by the Lord! The Lord is with you.”
29 She was startled by what the angel said and tried to figure out what this greeting meant.
30 The angel told her,
“Don’t be afraid, Mary. You have found favor[a] with God.
31 You will become pregnant, give birth to a son,
and name him Jesus.

Je Angel Gabriel ni Mungu?

Hivi ni mpaka lini utaendelea kudanganya kondoo za bwana?

 
Last edited by a moderator:
Kumekuwepo na mitazamo kwamba biblia inazungumzia wazungu na sisi waafrica we had nothing to do with the bible na wokovu wa wanadamu (for believers), wala bible haitutaji.

Leo nakuletea watu weusi ( waafrica) wanaotajwa ndani ya bible, na walioshiriki kujenga historia ya Israel, ukristo na umuhimu wao

1. Cush- huyu ndo chimbuko hasa la waafrica, ni mtoto wa ham, na mjukuu wa noah. Inaaminika huyu ndo babaya waafrica wote. Ethiopia wanaamini kuwa wao ni direct descendant wa cush. (Genesis 10:8; 1 Chr. 1:10)

2. Zipporah, huyu alikuwa mke wa moses,ikumbukwe kuwa baada ya moses kumuoa watu walilalamika sana mpaka Mungu akataka kuwaadhibu, kisa tu alikuwa mwafrica. Moses wote tunajua umuhimu wake katika historiaya dunia hii. (Numbers12:1)

3. Shulammite, huyu alikuwa mke wa solomoni, na inaaminika wimbo ulio bora aliandikiwa yeye. Anasifika kwa uzuri wake na ngozi yeke nyeusi nyororo. Binti huyu katuwakilisha vizuri sana waafrika mpaka kaandikiwa wimbo mzuri namna ile. (Song of Solomon 1:5),

4. Queen of sheba, huyu ni malkia aliyemtembelea Solomon ili kuhakiki hekima yake. Malkia huyu alikuwa tajiri na mwenye ukwasi wa ajabu. Katika safari yake alibeba mabag ya manukato,dhahabu, uvumba, na vito mbalimbali. Hii inatudhihirishia kuwa Africa tulikuwa vizuri kitambo sana mafisadi tu ndo wametulostisha. Ukoo wa haile selasie wanaamini kuwa wao ni wajukuu wa mfalme solomoni baada ya kuzaa na bibi yaoqueen of sheba(1 Kings 10:1)

5. Ethiopian eunuch Acts8:37, huyu alikuwa ni mlinzi wa malkia wa Ethiopia ambaye ametajwa kuwa maraika walimtuma filipo amtokee jangwani ili amfafanulie kitabu cha isaya alichokuwa akisoma wakati akisafiri kutoka Israel. Hii inatwambia kuwa kumbe hata kabla ya wamisionary maandiko yalikuwepo Africa na tulikuwa tukiyasoma vizuri tu

6. Simeon a.k.a Niger ( Acts13:1), huyu alikuwa mwafrika tena mweusi kiasi cha watu kuacha kumuita simon tu ila wakampa a.k.a ya simon “niger”. Kwa wanaofahamu simeon ni kati ya watu wa kwanza kabisa kusambaza injili kwa mataifa na kuwa mkuu wa makanisa baada ya Yesu kufa. Kumbe hata sisi waafrica ni kati ya watu walioeneza wakovu sambamba na kina Paulo,silas, na wengineo.
Historia haijatuacha nyuma waafrica, tulikuwepo toka enzi za noah na tutaendelea kuwepo. Na dunia hii tumeshiriki katika kila hatua ya ujenzi na ubomozi. VIVA Afrika.
African bible schools should emphasiaze this,picha tunayojengewa toka utoto ni kuwa ukristo ni dini ya wazungu na uislam ni dini ya warabu,naupagani ni dini za waafrika.
Na baadhi ya watu wameanza kupromote upagani kama dini ya kiafrica ....back to roots movement..
 
Kumekuwepo na mitazamo kwamba biblia inazungumzia wazungu na sisi waafrica we had nothing to do with the bible na wokovu wa wanadamu (for believers), wala bible haitutaji.

Leo nakuletea watu weusi ( waafrica) wanaotajwa ndani ya bible, na walioshiriki kujenga historia ya Israel, ukristo na umuhimu wao

1. Cush- huyu ndo chimbuko hasa la waafrica, ni mtoto wa ham, na mjukuu wa noah. Inaaminika huyu ndo babaya waafrica wote. Ethiopia wanaamini kuwa wao ni direct descendant wa cush. (Genesis 10:8; 1 Chr. 1:10)

2. Zipporah, huyu alikuwa mke wa moses,ikumbukwe kuwa baada ya moses kumuoa watu walilalamika sana mpaka Mungu akataka kuwaadhibu, kisa tu alikuwa mwafrica. Moses wote tunajua umuhimu wake katika historiaya dunia hii. (Numbers12:1)

3. Shulammite, huyu alikuwa mke wa solomoni, na inaaminika wimbo ulio bora aliandikiwa yeye. Anasifika kwa uzuri wake na ngozi yeke nyeusi nyororo. Binti huyu katuwakilisha vizuri sana waafrika mpaka kaandikiwa wimbo mzuri namna ile. (Song of Solomon 1:5),

4. Queen of sheba, huyu ni malkia aliyemtembelea Solomon ili kuhakiki hekima yake. Malkia huyu alikuwa tajiri na mwenye ukwasi wa ajabu. Katika safari yake alibeba mabag ya manukato,dhahabu, uvumba, na vito mbalimbali. Hii inatudhihirishia kuwa Africa tulikuwa vizuri kitambo sana mafisadi tu ndo wametulostisha. Ukoo wa haile selasie wanaamini kuwa wao ni wajukuu wa mfalme solomoni baada ya kuzaa na bibi yaoqueen of sheba(1 Kings 10:1)

5. Ethiopian eunuch Acts8:37, huyu alikuwa ni mlinzi wa malkia wa Ethiopia ambaye ametajwa kuwa maraika walimtuma filipo amtokee jangwani ili amfafanulie kitabu cha isaya alichokuwa akisoma wakati akisafiri kutoka Israel. Hii inatwambia kuwa kumbe hata kabla ya wamisionary maandiko yalikuwepo Africa na tulikuwa tukiyasoma vizuri tu

6. Simeon a.k.a Niger ( Acts13:1), huyu alikuwa mwafrika tena mweusi kiasi cha watu kuacha kumuita simon tu ila wakampa a.k.a ya simon “niger”. Kwa wanaofahamu simeon ni kati ya watu wa kwanza kabisa kusambaza injili kwa mataifa na kuwa mkuu wa makanisa baada ya Yesu kufa. Kumbe hata sisi waafrica ni kati ya watu walioeneza wakovu sambamba na kina Paulo,silas, na wengineo.
Historia haijatuacha nyuma waafrica, tulikuwepo toka enzi za noah na tutaendelea kuwepo. Na dunia hii tumeshiriki katika kila hatua ya ujenzi na ubomozi. VIVA Afrika.

Nadhani hapa mkuu hebu tujue hii nchi iliyotajwa kwenye matendo 13:1 Antiokia iko bara gani?
 
WAFRIKA KITAMBO TULIKUWA VIZURI SANA HATA KABLA YA KUJA KWA MZUNGU BARANI AFRIKA....
MZUNGU ILI KUTUVURUGA NA KUTUYUMBISHA ILI AWEZE KUTUKAMATA "AKATULETEA BIASHARA YA UTUMWA"KITU AMBACHO MPAKA LEO IMETUATHIRI KISAKOLOJIA .....
YAWEZEKANA HATA HISTORIA TULIYOKUWA TUNASOMA MASHULENI ITS WRONG....

OVA
 
Back
Top Bottom