Unawakumbuka ndugu, rafiki na wote waliokusaidia au kuchangia mafanikio yako?

Unawakumbuka ndugu, rafiki na wote waliokusaidia au kuchangia mafanikio yako?

musicarlito

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2020
Posts
368
Reaction score
556
Wengi mpaka hapa tulipo leo kwenye maofisi yaliyo kwenye floor ya ngapi sijui nini tower...kuna watu a tulishirikiana au walitusaidia kama si fedha basi hata ule mchango wa mawazo lakini na kampani kiaina kuwa na amani

Wengine ilivyompendeza Mungu ni tumewaacha vijijini...wengine bado wamepigika mtaani ...je! huwa tukikutana nao tuna wa-avoid/kimbia au tunahisi ni watu wa kututia aibu?

Wengine hutusogelea karibu hata kutoka safari za mbali kutoka vijijini kuja kutusalimia...ndio ..bado wanauthamini muda wa thamani tuliokua nao ambao haukuwekewa madaraja ya elimu kama digrii au dini na ustaarabu wa kigeni...lakini wakitukaribia ama maofisini au majumbani kwetu hudhani wamefuata pesa au fahari zetu...kwa ujinga huwa hatuwapi muda huo...si ajabu ukasikia mtu anampeleka ndugu yake toka kijijini au anamtafutia kampani ya kiduka cha jirani kuwa akihitaji chochote kwa maana ya kinywaji au pesa achukue hapo...na yeye kuzuga kuwa yuko busy na shughuli za kiofisi au kibiashara ...hali anamsema vibaya huyo ndugu au mshikaji kwenye vijiwe anavyodhani kuwa ni levo yako

Ustaarabu ni kuthamini Utu...madaraja kama elimu,madaraka au hadhi fulani ni mpango wa Mungu tuu kuratibisha ulimwengu wetu na kuufanya uwe mahali petu pazuri pa kuishi...lakini kiukweli hayamaanishi chochote katika kuwako madaraja ya Utu...binadamu wote ni sawa.


 
Daaa! hapa nita kaa sana hapa!!!.....iko hivi ''kuna watu/hasa wanandugu wanalazimisha kutoa misaada kwako. kutokana na hadhi na status ya Wazazi/familia unayotoka.......

ili na wao waonekane wamo ktk kuchangia kwa kutoa misaaada ya maendeleo ktk familia yenu!...mara nyingi hao wakijua unacho taka watakifanya kwa moyo wooote ili na wao wapate pa kusemea!

Hao sasa ukifanikiwa bana weee!! wanakuja kwa nguvu kama zooote kudai kuwa na wao wamechangia maendeleo yako!! wkt ki ukweli walikuwa wanajilazimisha tu vihela! halafu wana sikilizia!

hawa kwa mfano! wakiona umemaliza mwaka wa kwanza na wapili vizuri!!! weeeee!! wanajua huyu dogo atakuwa na maisha huyu! basi hapo utaanza kupigiwa simu za lazima....

utalazimishwa ticket za ndege mpaka ukome! wkt wewe kiuhalisia unatamani upewe hizo hela za ndege cash! ukajilie vihepe chuoni kidogo kidogo!!.......sasa pata kazi nzuri uone watakuja na povu hao si la Dunia hii!!

Utasikia ...... '''yule!! nimemsaidia sana nisingekuwa mimi yuleeee''!!...wakti watoto wake hawafanyii ivo, na babayako ana mipesa na maisha kuliko yeye!! ...lengo lao waji associate tu!

Hiyo ni moja na nyingine ya pili ni ili wakuharibie maisha tu! hasa ndugu na hii itatokea km umepiga kwa kishindo kupita marengo tarajiwa maweee!!! mFano walidhania utapata kazi ndogo tu!!

ya kujikimu lkn weye umeenda umepitiliza , mpaka international level!..........hapa mkuu jichunge '' ukijua wachawi ndg!!..... huyo huyo aliye kusaidia ndo atakurudisha chini, si mke/mme si ndugu!

Sababu kubwa watakayo sema wao ni kuwa una jiskia/unaringa/unawadharau wkt wao ndo wamekupa tickets za ndege ambayo hukuwahi panda hiyo lazima tuuu wakuseme ivo!!

hata ujiweke chini vipi!! na hata km ukikosa kazi hao hao!! watakwambia umelaaniwa wewe! mbona hupati kazi?? kazi yako hiyo hiyo watapeleka watoto wao! chuo km chako!

utakaaa weee ukitafuta kazi ukipata tuuuu!! haoooo!! ni sisi tulikusaia kuwa hapa ulipo!!.......ukiikosa umelaaniwa yaaani watu km hao uwafanyeje sasa km siyo kuweka mipakaaaa????

Fikiria tu mtu kakudhamini kasafari kamoja ka ndege tena ''go'' .....basi ataongea huyooooo...mpaka mate yamkauke........ndg kazijulia kwangu
 
Daaa! hapa nita kaa sana hapa!!!.....iko hivi ''kuna watu/hasa wanandugu wanalazimisha kutoa misaada kwako. kutokana na hadhi na status ya Wazazi/familia unayotoka.......

ili na wao waonekane wamo ktk kuchangia kwa kutoa misaaada ya maendeleo ktk familia yenu!...mara nyingi hao wakijua unacho taka watakifanya kwa moyo wooote ili na wao wapate pa kusemea!

Hao sasa ukifanikiwa bana weee!! wanakuja kwa nguvu kama zooote kudai kuwa na wao wamechangia maendeleo yako!! wkt ki ukweli walikuwa wanajilazimisha tu vihela! halafu wana sikilizia!

hawa kwa mfano! wakiona umemaliza mwaka wa kwanza na wapili vizuri!!! weeeee!! wanajua huyu dogo atakuwa na maisha huyu! basi hapo utaanza kupigiwa simu za lazima....

utalazimishwa ticket za ndege mpaka ukome! wkt wewe kiuhalisia unatamani upewe hizo hela za ndege cash! ukajilie vihepe chuoni kidogo kidogo!!.......sasa pata kazi nzuri uone watakuja na povu hao si la Dunia hii!!

Utasikia ...... '''yule!! nimemsaidia sana nisingekuwa mimi yuleeee''!!...wakti watoto wake hawafanyii ivo, na babayako ana mipesa na maisha kuliko yeye!! ...lengo lao waji associate tu!

Hiyo ni moja na nyingine ya pili ni ili wakuharibie maisha tu! hasa ndugu na hii itatokea km umepiga kwa kishindo kupita marengo tarajiwa maweee!!! mFano walidhania utapata kazi ndogo tu!!

ya kujikimu lkn weye umeenda umepitiliza , mpaka international level!..........hapa mkuu jichunge '' ukijua wachawi ndg!!..... huyo huyo aliye kusaidia ndo atakurudisha chini, si mke/mme si ndugu!

Sababu kubwa watakayo sema wao ni kuwa una jiskia/unaringa/unawadharau wkt wao ndo wamekupa tickets za ndege ambayo hukuwahi panda hiyo lazima tuuu wakuseme ivo!!

hata ujiweke chini vipi!! na hata km ukikosa kazi hao hao!! watakwambia umelaaniwa wewe! mbona hupati kazi?? kazi yako hiyo hiyo watapeleka watoto wao! chuo km chako!

utakaaa weee ukitafuta kazi ukipata tuuuu!! haoooo!! ni sisi tulikusaia kuwa hapa ulipo!!.......ukiikosa umelaaniwa yaaani watu km hao uwafanyeje sasa km siyo kuweka mipakaaaa????

Fikiria tu mtu kakudhamini kasafari kamoja ka ndege tena ''go'' .....basi ataongea huyooooo...mpaka mate yamkauke........ndg kazijulia kwangu
Ulikuwa unaandika au unaongea?
 
Dawa yao ni kufunga viooo tu...ndo hao hao wachawi waende zao huko na wewe toa misaada kwingine!
 
Dawa yao ni kufunga viooo tu...ndo hao hao wachawi waende zao huko na wewe toa misaada kwingine!

Mmh hata kama mtu alikupa kwa ajilu ya sifa kumbuka hao ulotaka wakupe ambao hawana sifa hawakuwepo..
So mshukuru hata huyo alokupa kwa sifa
 
Mmh hata kama mtu alikupa kwa ajilu ya sifa kumbuka hao ulotaka wakupe ambao hawana sifa hawakuwepo..
So mshukuru hata huyo alokupa kwa sifa
Aliyekupa kwa sifa!! jua hana imani km utatoboa!...kwa imani yako hiyo atakuumiza vizuri tu! na wala kamwe hutamdhania!.....kumbuka kuna kamsemo kana sema ''Mchawi ndugu, paka katumwa tu''

wahenga waliosema hivi mkuu walikuwa hawatanii!!..kuliko kukaa nae Blindly, nakushauri usimuamini kiviile! ishi nao kimachale utajua kitu!........wale wanakusaidia lkn usiwe juu zaidi yao!

Mfano, wamekupa ukasomee diploma wewe mzee ukaruka na Masters faster, kuliko wao hapo sasa ndo utajua mbivu na mbichi!.... mie naona usiamini kiviile mtu tu, kwakuwa kakupa Nauri ya kupanda juu kimaisha!

japo siyo woote lkn chunguza kwanza, Mfano hai Kambona na Mchonga walikuwa damu damu wa kufa na kupona lkn unajua nini kilitokea, JK Nyerere akapona

kam haitoshi P. Lumumba wa DRC alifanya km weye ivo unavo fikiri na kutenda kilicho mkuta kilisikitisha Dunia mpka leo, hayo yooote hutaki kujifunza tuuu???? La mwisho sasa nakomesha ni hili.

unajua Yuda mwana wa Iskariote Na Yesu walikuwa damu damu kuliko woote kumi na wawili lkn angalia alicho mfanyia Yesu!!...

hata yeye mwenyewe yuda, kwa nafsi yake! alijuta zaidi ya kujuta , mpaka akaona ni bora ajifie tu!!. si akafa!! mazimaaa mpaka leo alizikwa Makaburi ya AKELDAMA,

Sasa huyo alitembea na Yesu!! sembuse Mwana damu mtoa msaada wa mashaka??..sasa weye komaa nao uwe km P.Lumumba! KUANDIKA TUNAANDIKA TUNAWASHAURI MSIKIE!

Think again!!!
 
Daaa! hapa nita kaa sana hapa!!!.....iko hivi ''kuna watu/hasa wanandugu wanalazimisha kutoa misaada kwako. kutokana na hadhi na status ya Wazazi/familia unayotoka.......

ili na wao waonekane wamo ktk kuchangia kwa kutoa misaaada ya maendeleo ktk familia yenu!...mara nyingi hao wakijua unacho taka watakifanya kwa moyo wooote ili na wao wapate pa kusemea!

Hao sasa ukifanikiwa bana weee!! wanakuja kwa nguvu kama zooote kudai kuwa na wao wamechangia maendeleo yako!! wkt ki ukweli walikuwa wanajilazimisha tu vihela! halafu wana sikilizia!

hawa kwa mfano! wakiona umemaliza mwaka wa kwanza na wapili vizuri!!! weeeee!! wanajua huyu dogo atakuwa na maisha huyu! basi hapo utaanza kupigiwa simu za lazima....

utalazimishwa ticket za ndege mpaka ukome! wkt wewe kiuhalisia unatamani upewe hizo hela za ndege cash! ukajilie vihepe chuoni kidogo kidogo!!.......sasa pata kazi nzuri uone watakuja na povu hao si la Dunia hii!!

Utasikia ...... '''yule!! nimemsaidia sana nisingekuwa mimi yuleeee''!!...wakti watoto wake hawafanyii ivo, na babayako ana mipesa na maisha kuliko yeye!! ...lengo lao waji associate tu!

Hiyo ni moja na nyingine ya pili ni ili wakuharibie maisha tu! hasa ndugu na hii itatokea km umepiga kwa kishindo kupita marengo tarajiwa maweee!!! mFano walidhania utapata kazi ndogo tu!!

ya kujikimu lkn weye umeenda umepitiliza , mpaka international level!..........hapa mkuu jichunge '' ukijua wachawi ndg!!..... huyo huyo aliye kusaidia ndo atakurudisha chini, si mke/mme si ndugu!

Sababu kubwa watakayo sema wao ni kuwa una jiskia/unaringa/unawadharau wkt wao ndo wamekupa tickets za ndege ambayo hukuwahi panda hiyo lazima tuuu wakuseme ivo!!

hata ujiweke chini vipi!! na hata km ukikosa kazi hao hao!! watakwambia umelaaniwa wewe! mbona hupati kazi?? kazi yako hiyo hiyo watapeleka watoto wao! chuo km chako!

utakaaa weee ukitafuta kazi ukipata tuuuu!! haoooo!! ni sisi tulikusaia kuwa hapa ulipo!!.......ukiikosa umelaaniwa yaaani watu km hao uwafanyeje sasa km siyo kuweka mipakaaaa????

Fikiria tu mtu kakudhamini kasafari kamoja ka ndege tena ''go'' .....basi ataongea huyooooo...mpaka mate yamkauke........ndg kazijulia kwangu


Niliwahi sema Jambo kama hili
👉👉Hivi kwanini Watanzania tunapenda kulazimisha Undugu?
 
Daaa! hapa nita kaa sana hapa!!!.....iko hivi ''kuna watu/hasa wanandugu wanalazimisha kutoa misaada kwako. kutokana na hadhi na status ya Wazazi/familia unayotoka.......

ili na wao waonekane wamo ktk kuchangia kwa kutoa misaaada ya maendeleo ktk familia yenu!...mara nyingi hao wakijua unacho taka watakifanya kwa moyo wooote ili na wao wapate pa kusemea!

Hao sasa ukifanikiwa bana weee!! wanakuja kwa nguvu kama zooote kudai kuwa na wao wamechangia maendeleo yako!! wkt ki ukweli walikuwa wanajilazimisha tu vihela! halafu wana sikilizia!

hawa kwa mfano! wakiona umemaliza mwaka wa kwanza na wapili vizuri!!! weeeee!! wanajua huyu dogo atakuwa na maisha huyu! basi hapo utaanza kupigiwa simu za lazima....

utalazimishwa ticket za ndege mpaka ukome! wkt wewe kiuhalisia unatamani upewe hizo hela za ndege cash! ukajilie vihepe chuoni kidogo kidogo!!.......sasa pata kazi nzuri uone watakuja na povu hao si la Dunia hii!!

Utasikia ...... '''yule!! nimemsaidia sana nisingekuwa mimi yuleeee''!!...wakti watoto wake hawafanyii ivo, na babayako ana mipesa na maisha kuliko yeye!! ...lengo lao waji associate tu!

Hiyo ni moja na nyingine ya pili ni ili wakuharibie maisha tu! hasa ndugu na hii itatokea km umepiga kwa kishindo kupita marengo tarajiwa maweee!!! mFano walidhania utapata kazi ndogo tu!!

ya kujikimu lkn weye umeenda umepitiliza , mpaka international level!..........hapa mkuu jichunge '' ukijua wachawi ndg!!..... huyo huyo aliye kusaidia ndo atakurudisha chini, si mke/mme si ndugu!

Sababu kubwa watakayo sema wao ni kuwa una jiskia/unaringa/unawadharau wkt wao ndo wamekupa tickets za ndege ambayo hukuwahi panda hiyo lazima tuuu wakuseme ivo!!

hata ujiweke chini vipi!! na hata km ukikosa kazi hao hao!! watakwambia umelaaniwa wewe! mbona hupati kazi?? kazi yako hiyo hiyo watapeleka watoto wao! chuo km chako!

utakaaa weee ukitafuta kazi ukipata tuuuu!! haoooo!! ni sisi tulikusaia kuwa hapa ulipo!!.......ukiikosa umelaaniwa yaaani watu km hao uwafanyeje sasa km siyo kuweka mipakaaaa????

Fikiria tu mtu kakudhamini kasafari kamoja ka ndege tena ''go'' .....basi ataongea huyooooo...mpaka mate yamkauke........ndg kazijulia kwangu
Lakini vipi washkaji mli" hustle nao"[emoji120][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi mpaka hapa tulipo leo kwenye maofisi yaliyo kwenye floor ya ngapi sijui nini tower...kuna watu a tulishirikiana au walitusaidia kama si fedha basi hata ule mchango wa mawazo lakini na kampani kiaina kuwa na amani

Wengine ilivyompendeza Mungu ni tumewaacha vijijini...wengine bado wamepigika mtaani ...je! huwa tukikutana nao tuna wa-avoid/kimbia au tunahisi ni watu wa kututia aibu?

Wengine hutusogelea karibu hata kutoka safari za mbali kutoka vijijini kuja kutusalimia...ndio ..bado wanauthamini muda wa thamani tuliokua nao ambao haukuwekewa madaraja ya elimu kama digrii au dini na ustaarabu wa kigeni...lakini wakitukaribia ama maofisini au majumbani kwetu hudhani wamefuata pesa au fahari zetu...kwa ujinga huwa hatuwapi muda huo...si ajabu ukasikia mtu anampeleka ndugu yake toka kijijini au anamtafutia kampani ya kiduka cha jirani kuwa akihitaji chochote kwa maana ya kinywaji au pesa achukue hapo...na yeye kuzuga kuwa yuko busy na shughuli za kiofisi au kibiashara ...hali anamsema vibaya huyo ndugu au mshikaji kwenye vijiwe anavyodhani kuwa ni levo yako

Ustaarabu ni kuthamini Utu...madaraja kama elimu,madaraka au hadhi fulani ni mpango wa Mungu tuu kuratibisha ulimwengu wetu na kuufanya uwe mahali petu pazuri pa kuishi...lakini kiukweli hayamaanishi chochote katika kuwako madaraja ya Utu...binadamu wote ni sawa.

All these years mwaka huu ndio nime realize maana halisi ya kulipa FADHILA
tujifunze kulipa FADHILA
 
Lakini vipi washkaji mli" hustle nao"[emoji120][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wapo makundi mawili........
1.wapo wale wazembe! au tuseme si wepesi kujiongeza au wameridhika au kimavi natural! wanao penda weye ubaki nao ktk kundi moja nao!!

km ikitokea ukichomoka tu ukawa juu zaidi yao!! wanakutenga au wanatafuta mbinu za kukushusha!! na mara nyingi hawanaga furaha! ni watu wa kukutangazia ubaya usio kuwa nia kichwa wala miguu!

Utasikia ''Sasa bado Muscarlito, anajidai ana fedha hapa atakuja tu kwa Magoti'' au hivi....anajidai kwa vile ana hela, na mie ndo nilimsaidia''.....basi pata tatizo uone watasema mpaka mate yawakauke''

Hawa ni pamoja na ndugu zako kabisaa wa damu wanaweza kuwa kundi hili!! hawajifichi, vichuki vya wazi tu, mfano kuna baadhi yao hao ndugu, weye ndo mkubwa lkn hawatakupa ile nafasi ya ukaka!!

hawa hata shikamoo hupewi! utasikia ''habari ya saa hizi!!.....Sasa nikwambie kitu ''hawa kuwakomesha ikubali tu hiyo salamu yao!...nzuri'' jishushe km watakavyo! kamwe usionyeshe ukali kisaikolojia!

jipe ujinga kwa muda ili wafurahi wao! mradi uko juu haikupi shida lkn pia jua kwamba hii ya kuitikia , itawasumbua sana huko mbele!.......

mfano siku wakikaa sawa watakupa tena ''shikamoo kaka'' yao mbele ya kadamnasi!! kwa kuwakomoa weye wape ''habari ya saa hizi ilee ya mwanzo!'' hapo pata zua majadala kutoka kwa wasikilizaji! toboa sasa dharau zao!

2. wapo wale ndugu, lkn hasa rafiki ambao wako fair sana, tena hawa watakupa na hints; za maisha kabisaa! ili ujiongeze! au watakufuata na kukuuliza jinsi ulivyo fanya ukapenya! hao wape deal tu!!

hata wao watakupa deals huko mbele! wana myoyo mizuri komaa nao!....na mara nyingi wanakuwaga watu baki!.....hasa me kwa mademu...na mademu wanasaidiaga sana me!....

ukiona demu anambania sana jamaa asitoboe, basi jua kabisa hao wamesha kulana! kitambo!.......ivo kuna harufu ya kubwagana! ke haaminiga!
 
Hawa wapo makundi mawili........
1.wapo wale wazembe! au tuseme si wepesi kujiongeza au wameridhika au kimavi natural! wanao penda weye ubaki nao ktk kundi moja nao!!

km ikitokea ukichomoka tu ukawa juu zaidi yao!! wanakutenga au wanatafuta mbinu za kukushusha!! na mara nyingi hawanaga furaha! ni watu wa kukutangazia ubaya usio kuwa nia kichwa wala miguu!

Utasikia ''Sasa bado Muscarlito, anajidai ana fedha hapa atakuja tu kwa Magoti'' au hivi....anajidai kwa vile ana hela, na mie ndo nilimsaidia''.....basi pata tatizo uone watasema mpaka mate yawakauke''

Hawa ni pamoja na ndugu zako kabisaa wa damu wanaweza kuwa kundi hili!! hawajifichi, vichuki vya wazi tu, mfano kuna baadhi yao hao ndugu, weye ndo mkubwa lkn hawatakupa ile nafasi ya ukaka!!

hawa hata shikamoo hupewi! utasikia ''habari ya saa hizi!!.....Sasa nikwambie kitu ''hawa kuwakomesha ikubali tu hiyo salamu yao!...nzuri'' jishushe km watakavyo! kamwe usionyeshe ukali kisaikolojia!

jipe ujinga kwa muda ili wafurahi wao! mradi uko juu haikupi shida lkn pia jua kwamba hii ya kuitikia , itawasumbua sana huko mbele!.......

mfano siku wakikaa sawa watakupa tena ''shikamoo kaka'' yao mbele ya kadamnasi!! kwa kuwakomoa weye wape ''habari ya saa hizi ilee ya mwanzo!'' hapo pata zua majadala kutoka kwa wasikilizaji! toboa sasa dharau zao!

2. wapo wale ndugu, lkn hasa rafiki ambao wako fair sana, tena hawa watakupa na hints; za maisha kabisaa! ili ujiongeze! au watakufuata na kukuuliza jinsi ulivyo fanya ukapenya! hao wape deal tu!!

hata wao watakupa deals huko mbele! wana myoyo mizuri komaa nao!....na mara nyingi wanakuwaga watu baki!.....hasa me kwa mademu...na mademu wanasaidiaga sana me!....

ukiona demu anambania sana jamaa asitoboe, basi jua kabisa hao wamesha kulana! kitambo!.......ivo kuna harufu ya kubwagana! ke haaminiga!
HAHAHAHAH ke haaminiki daaah
 
HAHAHAHAH ke haaminiki daaah
kutoamini kwao kuna ambatana na wivu wa mapenzi ya kweli, mnooo!!....ke akikupenda amependa vizuri tu! sasa eti ukasome!! huko ukutane na vodosho wengine wakali km Jje's' hata km ni weeye utakubali??

Lbda mwende wote km nyie kazi yenu moja mfano ni Drs haya nendeni! hapo sawa lkn......labda umtoroke km njagure!...huyu alifanya mitihani kimyaa akaenda kimyaaa! lkn pia cha moto alikipata!
 
kutoamini kwao kuna ambatana na wivu wa mapenzi ya kweli, mnooo!!....ke akikupenda amependa vizuri tu! sasa eti ukasome!! huko ukutane na vodosho wengine wakali km Jje's' hata km ni weeye utakubali??

Lbda mwende wote km nyie kazi yenu moja mfano ni Drs haya nendeni! hapo sawa lkn......labda umtoroke km njagure!...huyu alifanya mitihani kimyaa akaenda kimyaaa! lkn pia cha moto alikipata!
Ila kweli mwanamke akipenda amependa kweli, ila kuna ile kupenda ya kimchongo ndo huwa na shida.
 
Back
Top Bottom