Unawakumbuka ndugu, rafiki na wote waliokusaidia au kuchangia mafanikio yako?

Unawakumbuka ndugu, rafiki na wote waliokusaidia au kuchangia mafanikio yako?

Daaa! hapa nita kaa sana hapa!!!.....iko hivi ''kuna watu/hasa wanandugu wanalazimisha kutoa misaada kwako. kutokana na hadhi na status ya Wazazi/familia unayotoka.......

ili na wao waonekane wamo ktk kuchangia kwa kutoa misaaada ya maendeleo ktk familia yenu!...mara nyingi hao wakijua unacho taka watakifanya kwa moyo wooote ili na wao wapate pa kusemea!

Hao sasa ukifanikiwa bana weee!! wanakuja kwa nguvu kama zooote kudai kuwa na wao wamechangia maendeleo yako!! wkt ki ukweli walikuwa wanajilazimisha tu vihela! halafu wana sikilizia!

hawa kwa mfano! wakiona umemaliza mwaka wa kwanza na wapili vizuri!!! weeeee!! wanajua huyu dogo atakuwa na maisha huyu! basi hapo utaanza kupigiwa simu za lazima....

utalazimishwa ticket za ndege mpaka ukome! wkt wewe kiuhalisia unatamani upewe hizo hela za ndege cash! ukajilie vihepe chuoni kidogo kidogo!!.......sasa pata kazi nzuri uone watakuja na povu hao si la Dunia hii!!

Utasikia ...... '''yule!! nimemsaidia sana nisingekuwa mimi yuleeee''!!...wakti watoto wake hawafanyii ivo, na babayako ana mipesa na maisha kuliko yeye!! ...lengo lao waji associate tu!

Hiyo ni moja na nyingine ya pili ni ili wakuharibie maisha tu! hasa ndugu na hii itatokea km umepiga kwa kishindo kupita marengo tarajiwa maweee!!! mFano walidhania utapata kazi ndogo tu!!

ya kujikimu lkn weye umeenda umepitiliza , mpaka international level!..........hapa mkuu jichunge '' ukijua wachawi ndg!!..... huyo huyo aliye kusaidia ndo atakurudisha chini, si mke/mme si ndugu!

Sababu kubwa watakayo sema wao ni kuwa una jiskia/unaringa/unawadharau wkt wao ndo wamekupa tickets za ndege ambayo hukuwahi panda hiyo lazima tuuu wakuseme ivo!!

hata ujiweke chini vipi!! na hata km ukikosa kazi hao hao!! watakwambia umelaaniwa wewe! mbona hupati kazi?? kazi yako hiyo hiyo watapeleka watoto wao! chuo km chako!

utakaaa weee ukitafuta kazi ukipata tuuuu!! haoooo!! ni sisi tulikusaia kuwa hapa ulipo!!.......ukiikosa umelaaniwa yaaani watu km hao uwafanyeje sasa km siyo kuweka mipakaaaa????

Fikiria tu mtu kakudhamini kasafari kamoja ka ndege tena ''go'' .....basi ataongea huyooooo...mpaka mate yamkauke........ndg kazijulia kwangu
Utawasikia wakisema mafanikio yake kuna nguvu zetu pale, ila sasa hivi katusahau.
 
Utawasikia wakisema mafanikio yake kuna nguvu zetu pale, ila sasa hivi katusahau.
Yaaani Ivoo! ivo bin mule!! mule!! km ulikuwepo vile!..hasa km ulikuwa na tabia nzuri na mchapa kazi, maji unachota unapiga deki nyumba nzima bila kujali!! unapalilia maua! bila kinyongo weeeee!

ukipata kidogo mnagawana, siyo mlevi, siyo Malaya, siyo mvivu, tuition kidogo unatoa kwa wanae kifupi hujatoka na kasoro pale kwenye hiyo nyumba,....nenda mazima! ukirudi tu wanakutafuta kasoro sasa!

Zile za lazima! lazima! La kwanza utakalo twishwa ni kuwa ... ''unajidai una hela!....lingine alimtongoza Binti yangu/mke wangu!.......hatoi hela ni mkono wabirika! haya yoote ytakufanya uwe mlevi!

wengine wanaenda mbali zaidi km ni me/ke! Endapo hutarogwa utalengeshwa kwenye Mpenzi mwenye ukimwi! ili utoke nae na hao hao ndo watakuwa wa kwanza kukutangaza kuwa una Ukimwi!

USHAURI WANGU; Tambaa!!! kabisaaa!! usiangalie nyuma!! hao watoa! toa! misaada, huku wanaangalia nyuma! ...na kumbukumbu nyingiii ....kuna kitu kibaya walisahau kukufanyia!

au waambie kabisaa tena wazi wazi bila kumungunya Maneno!! ''anaye toa kwa moyo hasemiiii....na huta mjua'''.............wote walio kusaidia hawawezi kuwa na roho sawa!....

kuna rijamaa rimoja hilo hata kusalimia kwa watoa misaada wake wa awali tena misaada waliyo mpa ni ya hali na Mali lkn jamaa halitaki! hata kuwaona.ukiliita litakuja lkn no ushirikiano!

yaani linajifanya haliwajui kabisaaaa!! basi na wewe kuwa km huyo!...nawashauri na nyie mkitoa toeni kwa moyo then sahauni kabisaaaa!! km Marehemu Mengi alivyo kuwa! ...

Yule mzee alikuwa akikupa msaada ni kweli kakupa , mbali na kutaka msaada wako hakukumbuki milele, na utamkumbusha milele! tena milele!!..na atakuajili hapo hapo, lkn hakujui!
 
Yaaani Ivoo! ivo bin mule!! mule!! km ulikuwepo vile!..hasa km ulikuwa na tabia nzuri na mchapa kazi, maji unachota unapiga deki nyumba nzima bila kujali!! unapalilia maua! bila kinyongo weeeee!

ukipata kidogo mnagawana, siyo mlevi, siyo Malaya, siyo mvivu, tuition kidogo unatoa kwa wanae kifupi hujatoka na kasoro pale kwenye hiyo nyumba,....nenda mazima! ukirudi tu wanakutafuta kasoro sasa!

Zile za lazima! lazima! La kwanza utakalo twishwa ni kuwa ... ''unajidai una hela!....lingine alimtongoza Binti yangu/mke wangu!.......hatoi hela ni mkono wabirika! haya yoote ytakufanya uwe mlevi!

wengine wanaenda mbali zaidi km ni me/ke! Endapo hutarogwa utalengeshwa kwenye Mpenzi mwenye ukimwi! ili utoke nae na hao hao ndo watakuwa wa kwanza kukutangaza kuwa una Ukimwi!

USHAURI WANGU; Tambaa!!! kabisaaa!! usiangalie nyuma!! hao watoa! toa! misaada, huku wanaangalia nyuma! ...na kumbukumbu nyingiii ....kuna kitu kibaya walisahau kukufanyia!

au waambie kabisaa tena wazi wazi bila kumungunya Maneno!! ''anaye toa kwa moyo hasemiiii....na huta mjua'''.............wote walio kusaidia hawawezi kuwa na roho sawa!....

kuna rijamaa rimoja hilo hata kusalimia kwa watoa misaada wake wa awali tena misaada waliyo mpa ni ya hali na Mali lkn jamaa halitaki! hata kuwaona.ukiliita litakuja lkn no ushirikiano!

yaani linajifanya haliwajui kabisaaaa!! basi na wewe kuwa km huyo!...nawashauri na nyie mkitoa toeni kwa moyo then sahauni kabisaaaa!! km Marehemu Mengi alivyo kuwa! ...

Yule mzee alikuwa akikupa msaada ni kweli kakupa , mbali na kutaka msaada wako hakukumbuki milele, na utamkumbusha milele! tena milele!!..na atakuajili hapo hapo, lkn hakujui!
Umeongea ukweli mtupu na kilichokuwa akilini mwangu. Sina cha kuongeza. Ushauri wako uzingatiwe.
 
Back
Top Bottom