Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Hawa ni magaidi waliouteka ubalozi wa japani nchi Peru miaka ya katikati ya 90. Waliwashikilia watu zaidi ya 100 kwa miezi kadhaa. Utekaji uliisha kwa shambulizi la makomandoo wa kiperu baada ya kushindwa majadiliano.
Nini kilikuwa chanzo cha utekaji huu.? Nini yaliyokuwa madai ya watekaji?
Karibu tujadili.
Nini kilikuwa chanzo cha utekaji huu.? Nini yaliyokuwa madai ya watekaji?
Karibu tujadili.