Unawakumbuka wale vipanga?

J I T U

Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
14
Reaction score
13
Aise leo nimekumbuka mbali kidogo miaka ya 2003 enzi hizo naanza form one shule fulani. Enzi hizo ilikuwa shule ya serikali lakini ya vipaji; aisee hapa nilikutana na vipanga humo darasani mpaka naona kero, maana ilikuwa too much

Lakini nilijivunia sana kuwa pale maana nilijifunza mengi ikiwamo kujibidisha katika kusoma kwa vile wote walikuwa vipanga hatari, achana na hawa viazi wa Siku hizi .πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Amewataja waliokuwa karibu na yeye

Sent using Jamii Forums mobile app

Mishil ???Lady Mishil huyu huyu ???
JF hii bwanaaa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Aniwei bwana! Tabora Boys was universal
Kila mtu alikuwa anaijua, hata mzumbe na kibaha wanaifahamu vizuri Tabora Boys.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji23][emoji23] mbona we unajiita Lumumba hatukushangai sasa unashangaa nini mtu kujiita Mishil? Mimi Tabora boys hata sikuwa naijua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…