eeeh
Hao wangetakiwa wawe walimu,kwa mazingira ya africaNawakumbuka Vipanga Kina NGAIMISI ,Sunday,Luse,Emily wa Mzumbe wote walipiga A 9 IV na A 3 VI..........Wanafunzi Wangu hao.
Mafinga nilikuwa form 1 2003Vipanga orijinale walikuaga Mzumbe secondary jamani!na Mafinga seminary!umpe hesabu gan dent wa mafinga seminary ashindweπ !dah
Tabora Boys dogo, Tabora Boys!Vipanga orijinale walikuaga Mzumbe secondary jamani!na Mafinga seminary!umpe hesabu gan dent wa mafinga seminary ashindwe[emoji28]!dah
Amewataja waliokuwa karibu na yeyeTabora Boys dogo, Tabora Boys!
Unawajua wewe au unawasikia ???
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
We ulisoma wapiVipanga orijinale walikuaga Mzumbe secondary jamani!na Mafinga seminary!umpe hesabu gan dent wa mafinga seminary ashindwe[emoji28]!dah
Sikubahatika kusoma mkuu!
Sie hao..Tabora Boys dogo, Tabora Boys!
Unawajua wewe au unawasikia ???
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wewe vipanga wa Tabora Boys ulikuwa unawafahamu ???Sie hao..
[emoji23][emoji23] mbona we unajiita Lumumba hatukushangai sasa unashangaa nini mtu kujiita Mishil? Mimi Tabora boys hata sikuwa naijuaMishil ???Lady Mishil huyu huyu ???
JF hii bwanaaa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aniwei bwana! Tabora Boys was universal
Kila mtu alikuwa anaijua, hata mzumbe na kibaha wanaifahamu vizuri Tabora Boys.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]