Unaweza kudhibiti hasira mtu akifanya usichopenda?

Unaweza kudhibiti hasira mtu akifanya usichopenda?

Sio kila anaekasirika ana kinyongo,au hawezi kusamehe,hasira ni hisia inayokuja auotomatically baada ya kuudhiwa,kitu ambacho huwezi kujizuia,cha muhimu hapa ni kuto kukaa na hiyo hasira kwa muda mrefu,kwani mwisho wa siku itakusababisha uwe na chuki,itakayokufanya sasa uwe na kinyongo na hapa sasa ndio utahitajika kusamehe, maana kumuweka moyoni mtu aliyekuudhi kwa muda mrefu itakuletea madhara ya kimwili na kiroho...
Naelewa ni swala la kuhakikisha unashukuru kwa kila Jambo liwe baya au zuri so Mimi akinikwaza huwa namshukuru hapo hapo namwambia nashukuru ubarikiwe sana hii imepelekea kuwa mbali na maadui wa kimwili na kiroho kabla mtu ajanifanyia ubaya lazima Apate hisia za kuona i'm innocent so MAARIFA ni utajiri


The power of Gratitude hii kitu inanguvu sana
 
Salaam!nakumbuka kuna msemo unasema usifanye au chukua maamuzi katika hali 3.hasira,furaha na huzuni.Juzi ilinitokea moja ya tukio ambalo limenifanya niwe na hasira hadi hivi leo.,naomba nijue unawezaje kufanya maamuzi ukiwa katika furaha au huzuni?unaweza kujizuia?
unavuta pumzi ndeffu kwa ndani alaf unaziachia taratibu,,then usimjibu chochote{acha uonekane fala kwa muda huo} alaf ondoka haraka,,,ukishaondoka tu!! waliomzunguka ndo wanamwona yeye kilaza
 
Back
Top Bottom