Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,656
- 6,886
[emoji23][emoji23]aiseeSiwezi kufa kwaajili ya mtu mwingine, kila mtu afe kama ilivyopangwa kwa nafasi yake.
Mfano, nikifa kwaajili ya mama yangu mwenye miaka 80 halafu taarifa za kifo changu zikamuua kwa presha nitakuwa nimefanya nini? Mimi kijana wa mika 30 nitakiwa kuendeleza ukoo kwa kumletea wajukuu sio kujiua kwaajili yake.
Anaanza kusema 'yule angetaka nimove on'[emoji23]Ukishakufa baada ya wiki anampenda mwingine [emoji3][emoji3][emoji3]
🤣🤣🤣🤣Tena anapata sababu ya kulia na kuhurumiwa Kwa mpenz mpya sabbu amefiwa🤣🤣🤣🤣Anaanza kusema 'yule angetaka nimove on'[emoji23]
Imeandikwa katika Biblia.Nimekua nikiangalia sana muvi na kizungu na nimeona sehemu nyingi mtu anajitoa kufa kwa ajili ya anayempenda(kupigwa risasi badala ya mwingine n.k)
Sasa natafakari sipati majibu kwasababu tunajua kwamba binadamu unaishi mara moja tu, hivo hamna cha muhimu zaidi ya uhai wako binafsi.....
Lakini nikifikiria wale ninaowapenda haswa mama yangu mzazi, ambaye kiukweli amejitoa sana kwa ajili yangu, naona kama sielewielewi[emoji23]
Tuambizane je uko tayari kufa kwa ajili ya umpendae? Sio lazima mpenzi, hata wazazi, ndugu au marafiki wa karibu....
Km za mbussu zinaendelea kusoma[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tena anapata sababu ya kulia na kuhurumiwa Kwa mpenz mpya sabbu amefiwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
au sio unakagua post za zamani😂Big NO.
[emoji23][emoji23][emoji23] [emoji125][emoji125]au sio unakagua post za zamani[emoji23]
umeanza kuniona wa hovyo sio😂[emoji23][emoji23][emoji23] [emoji125][emoji125]
[emoji23]Wala hata. Mdogo wangu nakupenda mno ukizingua ama nikizingua tunarekebisha maisha yanasonga.umeanza kuniona wa hovyo sio[emoji23]
Hahaha[emoji23]Wala hata. Mdogo wangu nakupenda mno ukizingua ama nikizingua tunarekebisha maisha yanasonga.