Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,656
- 6,886
Siwezi kufa kwaajili ya mtu mwingine, kila mtu afe kama ilivyopangwa kwa nafasi yake.
Mfano, nikifa kwaajili ya mama yangu mwenye miaka 80 halafu taarifa za kifo changu zikamuua kwa presha nitakuwa nimefanya nini? Mimi kijana wa mika 30 nitakiwa kuendeleza ukoo kwa kumletea wajukuu sio kujiua kwaajili yake.
Mfano, nikifa kwaajili ya mama yangu mwenye miaka 80 halafu taarifa za kifo changu zikamuua kwa presha nitakuwa nimefanya nini? Mimi kijana wa mika 30 nitakiwa kuendeleza ukoo kwa kumletea wajukuu sio kujiua kwaajili yake.