Unaweza kufa kwa ajili ya umpendae

Unaweza kufa kwa ajili ya umpendae

Siwezi kufa kwaajili ya mtu mwingine, kila mtu afe kama ilivyopangwa kwa nafasi yake.
Mfano, nikifa kwaajili ya mama yangu mwenye miaka 80 halafu taarifa za kifo changu zikamuua kwa presha nitakuwa nimefanya nini? Mimi kijana wa mika 30 nitakiwa kuendeleza ukoo kwa kumletea wajukuu sio kujiua kwaajili yake.
 
Siwezi kufa kwaajili ya mtu mwingine, kila mtu afe kama ilivyopangwa kwa nafasi yake.
Mfano, nikifa kwaajili ya mama yangu mwenye miaka 80 halafu taarifa za kifo changu zikamuua kwa presha nitakuwa nimefanya nini? Mimi kijana wa mika 30 nitakiwa kuendeleza ukoo kwa kumletea wajukuu sio kujiua kwaajili yake.
[emoji23][emoji23]aisee
 
Ukishakufa baada ya wiki anampenda mwingine 😀😀😀
 
Nimekua nikiangalia sana muvi na kizungu na nimeona sehemu nyingi mtu anajitoa kufa kwa ajili ya anayempenda(kupigwa risasi badala ya mwingine n.k)

Sasa natafakari sipati majibu kwasababu tunajua kwamba binadamu unaishi mara moja tu, hivo hamna cha muhimu zaidi ya uhai wako binafsi.....

Lakini nikifikiria wale ninaowapenda haswa mama yangu mzazi, ambaye kiukweli amejitoa sana kwa ajili yangu, naona kama sielewielewi[emoji23]

Tuambizane je uko tayari kufa kwa ajili ya umpendae? Sio lazima mpenzi, hata wazazi, ndugu au marafiki wa karibu....
Imeandikwa katika Biblia.
Yn 15:13
Hakuna aliye na upendo mwingi kuliko huu, wa mtu kuutoa uhai wake kwa ajili ya rafiki zake.
 
Me have i do anything for you
But if nah to die
am no go die for you
Coz dis is reality am sorry
Song : Reality
By: Rudeboy
 
Nilishasema katika maisha yangu, niko hapa kwa sababu na nitaishi kwa ajili ya dhumuni.
👉Kuhusu kufa kwa ajili ya mtu, hapana.
👉Labda niwa pambanie watu wangu muhimu kwa nguvu na utashi wangu💪
 
Hapana hatuishi mara moja, tunaishi kila siku. Ila tunakufa mara moja
 
Back
Top Bottom