Unaweza kufanya mapenzi siku za hatari na usipate mimba?

Unaweza kufanya mapenzi siku za hatari na usipate mimba?

Mhhh aseee
Inamaana sperm ina uwezo wa kuiahi njee ya mwili wa binadam?kwa muda gani?
Sina uhakika sana ila nachojua sperm zikiwa ndani ya mwili wa mwanamke zinaweza kua active kwa muda wa siku tano ,mfano leo umefanya sex halafu kesho kutwa ndio ovulation ikatokea kuna possibility ya kupata mimba ,ila ni kwa mda gani sperm huwa hai nje ya mwili wa mwanadamu inategemea na mazingira yenyewe ,je ni makavu,au wet yana joto fulani etc
 
Naomben msaada wenu wanajamii forum inawezekana mtu ukafanya mapenzi siku za hatar na usipate mimba? Matuc ctak km huwez kunipa jbu sahihi unapita hivi!
Inategemea na mwanaume uliyekuna nae kama anauwezo wa kuzalisaha bas ni lazima upate mimba
 
Sina uhakika sana ila nachojua sperm zikiwa ndani ya mwili wa mwanamke zinaweza kua active kwa muda wa siku tano ,mfano leo umefanya sex halafu kesho kutwa ndio ovulation ikatokea kuna possibility ya kupata mimba ,ila ni kwa mda gani sperm huwa hai nje ya mwili wa mwanadamu inategemea na mazingira yenyewe ,je ni makavu,au wet yana joto fulani etc
Duuu basi sawaa
 
unaweza fanya hizo siku usipate mimba ,... mimba ni mjumuiko wa mambo mengi mwenzio anaweza kutoa mbegu hazina nguvu ya kutungisha kiumbe au wewe mayai yako yakawa hayajapevuka vyema kuweza kuruhusu utungaji wa mimba,,... jambo jingine position ya kufanya hilo tendo kuna style nyingine zinafanya mbegu zisiweze kufikia yai kwa wakati na wakati mwingine kufika mbegu zimechoka hoi zikaishia kufa tu.....
kinywaji hasa na vyakula utavyotumia vinaweza sababbisha hata kama mimba imetungwa ikaharibika in early stage bila ya wewe kujua ,.. wanawake wengi wanapata tatizo hili la mimba kutoka mapema bila ya wao kujua... madaktari wanweza elezea hili swala la mimba kuharibika ndani ya siku tatu hadi wiki mbili bilawatu kujua ...
MUHIMU: tumia kifo cha mende kama unahitaji mimba huku mkifanyana kimahaba na pole pole ...
usitumie vinywaji vichungu sana, wengine hutumia sprite baridi sana au coca baridi au dawa za minyoo au baadhiya dawa baada ya tendo baadhi ya mabinti huwa wanasababisha mimba isitungwe....
Inaonekana mapenzi unayajua Sana ww mtoto
@misschaga
 
Kama mpo kamili "Kibaiolojia" na neema za M\Mungu zimewashukia jiandae kuitwa mama
 
Kuna ushauri mzuri sana umetolewa hapa. Kazi kwa aliyeomba.
 
Kama ni za hatari.... Unaweza usipate endapo tu mumeo ana low sperm count au ww bahat mbaya huna uwezo wa kupata ujauzito
 
Naomben msaada wenu wanajamii forum inawezekana mtu ukafanya mapenzi siku za hatar na usipate mimba? Matuc ctak km huwez kunipa jbu sahihi unapita hivi!
Haiwezekani labda una matatizo ya kozazi ama utumie kondomu au Jamaa amwage nje otherwise unatatizo!
 
Naomben msaada wenu wanajamii forum inawezekana mtu ukafanya mapenzi siku za hatar na usipate mimba? Matuc ctak km huwez kunipa jbu sahihi unapita hivi!
Yawezekana kabisaaa kama utatumia kondomu au njia nyingine yoyote ya kuzuia mimba
 
Back
Top Bottom