Unaweza kufanya mapenzi siku za hatari na usipate mimba?

Mhhh aseee
Inamaana sperm ina uwezo wa kuiahi njee ya mwili wa binadam?kwa muda gani?
Sina uhakika sana ila nachojua sperm zikiwa ndani ya mwili wa mwanamke zinaweza kua active kwa muda wa siku tano ,mfano leo umefanya sex halafu kesho kutwa ndio ovulation ikatokea kuna possibility ya kupata mimba ,ila ni kwa mda gani sperm huwa hai nje ya mwili wa mwanadamu inategemea na mazingira yenyewe ,je ni makavu,au wet yana joto fulani etc
 
Naomben msaada wenu wanajamii forum inawezekana mtu ukafanya mapenzi siku za hatar na usipate mimba? Matuc ctak km huwez kunipa jbu sahihi unapita hivi!
Inategemea na mwanaume uliyekuna nae kama anauwezo wa kuzalisaha bas ni lazima upate mimba
 
Duuu basi sawaa
 
Inaonekana mapenzi unayajua Sana ww mtoto
@misschaga
 
Kama mpo kamili "Kibaiolojia" na neema za M\Mungu zimewashukia jiandae kuitwa mama
 
Kuna ushauri mzuri sana umetolewa hapa. Kazi kwa aliyeomba.
 
Kama ni za hatari.... Unaweza usipate endapo tu mumeo ana low sperm count au ww bahat mbaya huna uwezo wa kupata ujauzito
 
Naomben msaada wenu wanajamii forum inawezekana mtu ukafanya mapenzi siku za hatar na usipate mimba? Matuc ctak km huwez kunipa jbu sahihi unapita hivi!
Haiwezekani labda una matatizo ya kozazi ama utumie kondomu au Jamaa amwage nje otherwise unatatizo!
 
Naomben msaada wenu wanajamii forum inawezekana mtu ukafanya mapenzi siku za hatar na usipate mimba? Matuc ctak km huwez kunipa jbu sahihi unapita hivi!
Yawezekana kabisaaa kama utatumia kondomu au njia nyingine yoyote ya kuzuia mimba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…