pcm ila nashangaa wamenpangia HGE lyamungo
Mimi mwenyewe yamenikumba hayo hayo sikuchagua ata 1 ya art ila wamenipanga sijielewi home rwanda huku naishi apartment sina mtu wakuniguide kwenye masuala ya uhamisho ila nasoma huku mbaya zaidi hata iyo HGL nina D science nimepata vizuri sana.nifanyeje ndugu zangu.
we ndo jembe Abubaro umeona yani me hta wakikataa kuniamisha nashit.naenda chuo diploma.lkn namuomba mungu nikubaliwe kuhamishwa.na mzee ndo kaanza leo izo mishe za kunihamishal thanks xana brooo