nimepangiwa HGE lyamungo me hata sikuichagua first priority(lakin masomo yote9 nna c) nashangaa wamenipanga me nlitaka nisome PCM na topic nshakula za kutosha.malengo yangu kucoma comp science na lyamungo hamna PCM ningebadili comb.je kuna uwezekano wa kuhamia shule za jiran mosh tech or old mosh il npate iyo PCM na nkakubalwa kubadilisha?