Unaweza kuiua timu yako kwa kuwa unaamini uwezo wa timu pinzani?

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Mechi kali kama ya leo ya Simba na Yanga huwa na vimbwanga vingi kila shabiki akizungumzia umaridadi wa timu yake.

Mbali na hilo, kuna suala la hela. Je, unaweza kuiua timu yako kwa kuwa anaamini uwezo wa timu nyingine?

Kama unaweza, kwa nini usihamie timu hiyo ambayo unaamini uwezo wake?
 
Simba wanaizarau yanga wakati kwenye takwimu yanga sio mchovu. Nafasi ya pili, wamefungea mechi mbili tu tangu ligi ianze.
 
Simba wanaizarau yanga wakati kwenye takwimu yanga sio mchovu. Nafasi ya pili, wamefungea mechi mbili tu tangu ligi ianze.
Sasa kama ni hivyo kwanini Yanga mlikimbia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…