Ukipata mwenye biology?unakaa mda gani?Miezi 6, wakati mwengine mpaka mwaka kama sijapata mtu ambae tuna chemistry
Kwa hiyo vibonge havigegedi/havigegedwi?πππππHizo mambo za kukaa bila kugegeda ni huko mbinguni, ila kwa hapa duniani migegedo ni tiba mbadala ukiikosa unakuwa kibonge milele yote ππ
Haya njoo pm mtumishi[emoji4]Wewe naweza kukuombea mm wala huna haja ya kwenda kwa mwamposa, nipe tu location nitakuja kukuombea bure na nitakupaka mafuta buree kabisa.
Nipo serious.
NdiyoKwa hiyo vibonge havigegedi/havigegedwi?πππππ
AmenHaya njoo pm mtumishi[emoji4]
Npo serious.tunajadili vifungu vya bible tu huko
Ila ukizipata?Kama sina hela, hisia huwa zinakimbia kabisa
Nikizipata, kichwa huwa kinaenda resi sanaIla ukizipata?
Inategemea utazikosa kwa mda gani si ndio.
Maamuzi tuWhy?
akikujibu nitag tafadhali.... we ke mwenzake anaeza funguka mimi kaniambia ametokea parokianiWhy?
Are you single lady?Mie naelekea 7 years
Kama unapenda sana uhuru si vema kujihusisha na mahusiano..Nahisi naweza kukaa maisha yote bila mpenzi wa kuwa nae kwa sababu.
1.Napenda kuwa huru, niweze kujumuika na yeyote bila kuumumiza mtu mwingine,maana Kuna wapenzi ukiwa nawo atakuganda mpaka basi,muda wa kufanya mambo Yako binafsi anauchukuwa yeye.
Kurudi home muda nnaotaka,ukiwa na mpenzi muda wa kurudi lazima akupangie.
Yes sirAre you single lady?
Sio chai ya mchana hiyo ni Al kasusi ya maziwa na tangawizi na limao ππππππchai mchana mchana sio poaπ
Tarehe 25 June, lakini mwanao tumempa homework afanye. ππππHibi shule zitafunguliwa lini [emoji35][emoji35][emoji35]
Nikwa muda usiopungua miezi mitatu naweza kaa bila mpenzi ama kujihusisha na mapenzi.Ni kwa muda mrefu kiasi gani unaweza kukaa bila mpenzi ama kutojihusihsa na mapenzi?
Unafanya nini kistahimili mda mrefu?