Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni zaidi ya udhalilishaji mkuuHuu niudharirishaji wa kijinsia
Nahisi imekutana jamii ya walevi hapo. Sidhani watu wenye akili zao timamu wanaweza fanya upuuzi huo.Hii nchi inavijana wa hovyo sana, huu upumbavu sinto weza kujaribu hadi nakufa.
Alafu kwanza mbona wanaongea kama walevi flani vile....🤨
Hakuna kosa lolote linaloweza kuhalalisha udhalilishaji huo.inategemea na kosa labda alimtongoza
Ka mama mkwe kenyewe hata hakana mvuto😂labda k-vant zilimzidi akaanza kumshika mama mke manyonyo inaonekana tukio limetokea hapo kwa hapo
Tena hao ni wachaga wameshiba mbege jamaa itakuwa kuna kitu alijichanganya na kitakuwa kinahusu milaHakuna kosa lolote linaloweza kuhalalisha udhalilishaji huo.
Hapo ingelikuwa ni mwanamke kafanyiwa hivyo, feminist wangejaa kulalamikia na kutaka jambo hili lichukuliwe hatua.Hii ni zaidi ya udhalilishaji mkuu
chezea k-vant +mbegeKa mama mkwe kenyewe hata hakana mvuto😂
Kabila gani hawa ?
Ila inawezekana. Baada ya kupiga mavitu akamuona mama mkwe pisikali akaanza kubambia😂😂😂😂😂chezea k-vant +mbege
Hii ipo sana maeneo mengi ya kaskaziniIla inawezekana. Baada ya kupiga mavitu akamuona mama mkwe pisikali akaanza kubambia😂😂😂😂😂