welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 2,151
- 4,681
akaona ana bonge la msambwata yaan hilo tukio limetokea hapo hapo wala litakuwa haliusian na kuwa na hela!Ila inawezekana. Baada ya kupiga mavitu akamuona mama mkwe pisikali akaanza kubambia๐๐๐๐๐
ndizo zinakimbiza moto wa kuwapumbaza vijana wa tanganyikaMila na Desturi nishazikataa, hazina msaada
Hata kwa mwanaume kukubali kufanyiwa hivyo lazima kuna mambo makuu mawili yalihusika ambayo ni ufukara ama uleviHapo ingelikuwa ni mwanamke kafanyiwa hivyo, feminist wangejaa kulalamikia na kutaka jambo hili lichukuliwe hatua.
Hii yote ni kwa sababu umasikini. Kama angekua na uwezo asingefanyiwa hivyo. Tutafute helaHata kwa mwanaume kukubali kufanyiwa hivyo lazima kuna mambo makuu mawili yalihusika ambayo ni ufukara ama ulevi
halafu ukute anaekucharaza fimbo ni mchepuko wa mkeo๐Bora hio ndoa ife tu.
Hapo wanakuona boya sanahalafu ukute anaekucharaza fimbo ni mchepuko wa mkeo๐