Unaweza kumtolea Figo Mpenzi wako, Mke au Mume wako?

Unaweza kumtolea Figo Mpenzi wako, Mke au Mume wako?

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
Ni kawaida katika Mahusiano kupeana ahadi nzuri sana, Mnapendana kuliko kawaida na kufanyiana mengi mazuri.
Ingawa katika Mahusiano kuna Changamoto kubwa na ndogo.
Changamoto nyingine zinaweza kutatulika nyingine zikashindwa kutatulika.
Lakini mwisho wa Siku Maisha lazima yaendelee.
Sasa Je unaweza kumtolea Figo Kipenzi chako?

Zingatia: Hii haihusiani ndugu.
 
Kwanini baba ake mzazi asimpe hiyo FIGO?

Mwili wangu ni mtukufu, siwezi kuchomoa figo langu nilibandike kwa kipusa ambaye tumekutana tu bar nikamtandika hogo akaanza kujiita MAMA KOMWE!

Siku atakayoniomba figo ntamcharaza kweli kweli ntampa kichapo cha GOVINDA au VAN DEO, namsawazisha meno yote ya mbele. EBOO!! FAMCHEZO!

Cc: Lamomy Extrovert Poor Brain Yohimbe bark dronedrake Maghayo
 
Kwanini baba ake mzazi asimpe hiyo FIGO?

Mwili wangu ni mtukufu, siwezi kuchomoa figo langu nilibandike kwa kipusa ambaye tumekutana tu bar nikamtandika hogo akaanza kujiita MAMA KOMWE!

Siku atakayoniomba figo ntamcharaza kweli kweli ntampa kichapo cha GOVINDA au VAN DEO, namsawazisha meno yote ya mbele. EBOO!! FAMCHEZO!

Cc: Lamomy Extrovert Poor Brain Yohimbe bark dronedrake Maghayo
Mwanasheria wangu umesema basi siongezi neno , hivyo hivyo km wewe 😂😂
 
Ni kawaida katika Mahusiano kupeana ahadi nzuri sana, Mnapendana kuliko kawaida na kufanyiana mengi mazuri.
Ingawa katika Mahusiano kuna Changamoto kubwa na ndogo.
Changamoto nyingine zinaweza kutatulika nyingine zikashindwa kutatulika.
Lakini mwisho wa Siku Maisha lazima yaendelee.
Sasa Je unaweza kumtolea Figo Kipenzi chako?

Zingatia: Hii haihusiani ndugu.
Nimeshaangali youtube watu wanawayolea wapenzu wao figo lakini wanakuja kuachwa.
 
Nimeshaangali youtube watu wanawayolea wapenzu wao figo lakini wanakuja kuachwa.
Siku unamkuta mtu uliyempa figo anazagamuliwa na linjemba lingine ALOOOOHH, ntamrarua tumbo nichukue figo yangu.

Nafurumua utumbo nje utumbo ndani, huwezi kutombwer kwa kutumia figo yangu.

Ntageuka kuwa DOKTA UCHWARA kwa muda, ni kuchimba tumbo kwa kutumia mikasi ya kunyolea ndevu.

Cc: Extrovert DR Mambo Jambo
 
Back
Top Bottom