mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
huyo yupo lgbtqia+😳😳😳😹😹😹
mshamba_hachekwi umemsikia wizo lakini??!! 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo yupo lgbtqia+😳😳😳😹😹😹
mshamba_hachekwi umemsikia wizo lakini??!! 🤣🤣
Kuliko kupotea wote [Mana hiyo ni risk kwa wote] , Afadhali mmoja abaki atunze Familia [Me] 😄Jamani 😅Upendo wa kweli Hamna siku hizi
Huwezi kumpa figo mtu yoyote,ni mpaka kufanyike vipimo,kama figo yako inaendana na mgonjwa.Mwaweza kuzaliwa tumbo moja,lakini figo zisiendane,ikaendana na ya mtu baki.Ni kawaida katika Mahusiano kupeana ahadi nzuri sana, Mnapendana kuliko kawaida na kufanyiana mengi mazuri.
Ingawa katika Mahusiano kuna Changamoto kubwa na ndogo.
Changamoto nyingine zinaweza kutatulika nyingine zikashindwa kutatulika.
Lakini mwisho wa Siku Maisha lazima yaendelee.
Sasa Je unaweza kumtolea Figo Kipenzi chako?
Zingatia: Hii haihusiani ndugu.
Tunasaini mkataba akinigeuke ananilipa $250KIli awe Apone, kisha akuzalie
KeMeBICHWA KOMWE - huwaga ni jinsia gan mbon kuna uzi uliwaahid wat kifunipwa?
Hemu ngoja kwani, We unaweza ? 😄😅😅😅😅 acha uoga toa figo kwa Moyo
Sifa gani inafaa kuitwa Mshangazi 😄😄Kashangazi
😳😳😳😳Nampa figo kwa sharti anizalie mtoto Moja
Naomba mungu aniepushe kwanza...Ni kawaida katika Mahusiano kupeana ahadi nzuri sana, Mnapendana kuliko kawaida na kufanyiana mengi mazuri.
Ingawa katika Mahusiano kuna Changamoto kubwa na ndogo.
Changamoto nyingine zinaweza kutatulika nyingine zikashindwa kutatulika.
Lakini mwisho wa Siku Maisha lazima yaendelee.
Sasa Je unaweza kumtolea Figo Kipenzi chako?
Zingatia: Hii haihusiani ndugu.
Anhaa , Kumbe .Mojawapo ni ukubwa wa Mwili na pesa awe nayo
Yalimkuta joti hayo hayoUnamaanisha figo ile organ inayokaa ndani ya mwili ambapo kuiona tu ni mpaka wakupasue?
Au una maanisha Figo yule winga wa zamani aliyecheza Madrid na Barcelona?
Tuelewane kabiaa hapo..
Unawezaje kupokea oxygen katika mimea ambayo huimwagilii maji wala huna muda waiangalia?Ni kawaida katika Mahusiano kupeana ahadi nzuri sana, Mnapendana kuliko kawaida na kufanyiana mengi mazuri.
Ingawa katika Mahusiano kuna Changamoto kubwa na ndogo.
Changamoto nyingine zinaweza kutatulika nyingine zikashindwa kutatulika.
Lakini mwisho wa Siku Maisha lazima yaendelee.
Sasa Je unaweza kumtolea Figo Kipenzi chako?
Zingatia: Hii haihusiani ndugu.
Mmmh seriously mkuunaweza kumtolea mtu baki, sembuse mpenzi😅
sema nina vigezo vyangu vigumu sana
Mi siombi mtoto, yy anataka Figo mi nataka mtoto tukishindwana bas biashara itakua imefeli😳😳😳😳
Anakubali, ukishampa figo ndio nitolee hiyo!!
Halafu mtoto sio nguo uombe hivyo!!