Hapana kwa kweli ye atangulie tu huko jehanam ama mbinguni...at least nibaki mimi niangalie watoto..same to yeye hata nikiwa mimi naumwa asitoe abaki yeye kucheki familiaMadaktari ndio watakaothibitisha na sio wewe π
Mwanasheria wangu umesema basi siongezi neno , hivyo hivyo km wewe ππKwanini baba ake mzazi asimpe hiyo FIGO?
Mwili wangu ni mtukufu, siwezi kuchomoa figo langu nilibandike kwa kipusa ambaye tumekutana tu bar nikamtandika hogo akaanza kujiita MAMA KOMWE!
Siku atakayoniomba figo ntamcharaza kweli kweli ntampa kichapo cha GOVINDA au VAN DEO, namsawazisha meno yote ya mbele. EBOO!! FAMCHEZO!
Cc: Lamomy Extrovert Poor Brain Yohimbe bark dronedrake Maghayo
Nimeshaangali youtube watu wanawayolea wapenzu wao figo lakini wanakuja kuachwa.Ni kawaida katika Mahusiano kupeana ahadi nzuri sana, Mnapendana kuliko kawaida na kufanyiana mengi mazuri.
Ingawa katika Mahusiano kuna Changamoto kubwa na ndogo.
Changamoto nyingine zinaweza kutatulika nyingine zikashindwa kutatulika.
Lakini mwisho wa Siku Maisha lazima yaendelee.
Sasa Je unaweza kumtolea Figo Kipenzi chako?
Zingatia: Hii haihusiani ndugu.
Una golden heart.. πΉπΉnaweza kumtolea mtu baki, sembuse mpenziπ
sema nina vigezo vyangu vigumu sana
kabisa yaani, ukipendwa na mshamba utaenjoyUna golden heart.. πΉπΉ
Siku unamkuta mtu uliyempa figo anazagamuliwa na linjemba lingine ALOOOOHH, ntamrarua tumbo nichukue figo yangu.Nimeshaangali youtube watu wanawayolea wapenzu wao figo lakini wanakuja kuachwa.
Mbona umewahi kwenye hela? ππkabisa yaani, ukipendwa na mshamba utaenjoy
shida tu mshamba hanaga hela
Nimejikuta tu nimependa hilo vazi ππ π π π ukoje lakini