Kumekuchaaaa
Mzee wa 9 secondsMi hata damu bado sana mbona sijafikia hatua ya kupenda hivo wakuu
Alooh weeehKumekuchaaaa
Ukimanisha nn mkuu π π π πMzee wa 9 seconds
EqualizerUkimanisha nn mkuu π π π π
Serious mkuu mybe bado sijajua mambo bado ila aaaaaaah mimi mambo ya kuanza kujitolea tolea haya hapana...Duu!
πππ Nipo mlangoni hapa na set time.....Equalizer
ππππππππ Kuna mambo mengine ni kipaji mkuuπ π π π π nimecheka
Daaah mkuu your genius ...Si mpaka zi match, za kwetu najua haziwezi ku match.