Si kweli madam. Ifike wakati tuheshimu tofauti za kimaumbile. Mfano mdogo tu, ni lini mara ya mwisho ulisikia mwanamume akilalamika kuwa mkewe hamkojozi? Kwamba hamfikishi? Ukitafakari hapo utagundua ni nani mhitaji wa hizo staili mbalimbali za mapenzi, na hapo ndipo tatizo linapoanzia.Ni kama wanaume tu
Basi tu wanawake wanakua judged differently
Basi bora wajiachie tuu.,utamu mnataka mpate wenyewe tu sio?Si kweli madam. Ifike wakati tuheshimu tofauti za kimaumbile. Mfano mdogo tu, ni lini mara ya mwisho ulisikia mwanamume akilalamika kuwa mkewe hamkojozi? Kwamba hamfikishi? Ukitafakari hapo utagundua ni nani mhitaji wa hizo staili mbalimbali za mapenzi, na hapo ndipo tatizo linapoanzia.
Kadri mwanamke anavyofanya mapenzi na waume wengi ndivyo anajipatia uzoefu tofauti wa kustarehe, jambo ambalo mwanamume wala halina umuhimu. Wanaume tunajifunza staili tofauti kwa sababu 1. Kuepuka aibu 2. Kumburudisha mwanamke. Vinginevyo starehe ya mwanamume na kukojoa tu.
Sent from my SM-A720F using Tapatalk
Salary SlipMheshimiwa Freeman Aikael Mbowe aliwahi kusema "sumu haionjwi kwa kulamba".
Hujanielewa madam. Mwanamke akiwq na mwanamume mmoja tu (wa kwanza) atajifunza kustarehe kwa staili yake tu. Atafurahia mapenzi kabisa. Shida ni pale anapoharibiwa kisaikolojia kwa kuangalia staili mpya kwenye picha za ngono ama kwa kufundishwa na wababe wengine anaikutana nao. Watampa ujuzi aina mbalimbali kiasi kwamba ni ngumu kwa mwanamume mmoja kumridhisha.Basi bora wajiachie tuu.,utamu mnataka mpate wenyewe tu sio?
Tofauti za kimaumbile ziheshimiwe kila mtu atafute utamu wake!
Shida ni pale mnapomuhimiza mwanamke atulie ila mwanaume haina shida...this vicious cycle will never end!Hujanielewa madam. Mwanamke akiwq na mwanamume mmoja tu (wa kwanza) atajifunza kustarehe kwa staili yake tu. Atafurahia mapenzi kabisa. Shida ni pale anapoharibiwa kisaikolojia kwa kuangalia staili mpya kwenye picha za ngono ama kwa kufundishwa na wababe wengine anaikutana nao. Watampa ujuzi aina mbalimbali kiasi kwamba ni ngumu kwa mwanamume mmoja kumridhisha.
Mfano mwingine tazama mwanamume ambaye amefundishwa kuwa kumwingilia mwanamke kinyume na maumbile ni starehe ya juu kabisa (mwanamke naye hudanganywa hivyo) matokeo yake atatamani kutekeleza hilo kwa sababu ameharibiwa kisaikolojia kiasi kwamba atajiina hafurahii mapenzi kwa njia ya kawaida. Lakini je, ni kweli kwamba raha ya mapenzi ipo nyuma? Ndivyo ilivyo madam, mwanamke anaharibiwa kisaikolojia na mafunzo ya pembeni (wakiwemo mashoga zake) kwa kumfundisha mambo yaliyo kinyume na taratibu.
Sent from my SM-A720F using Tapatalk
Mkuu, wote wanatakiwa watulie, lakini ikitokea hawajatulia basi madhara makubwa yako kwa mwanamke, hiyo ni fact. Hapo wa kulaumiwa ni muumbaShida ni pale mnapomuhimiza mwanamke atulie ila mwanaume haina shida...this vicious cycle will never end!
iyo tabia ni ngum kuach kam punyet tuMwanamke akifanya kazi bar anaweza kuwa mwaminifu? Unaweza kumuoa akawa mke mwema?
Vipi kuhusu yafuatayo
1.Kuendelea na tabia ya kuona kwamba ni jambo la kawaida kutoa penzi akapewa hela?
2.Kuwachukulia watu wote bila staha na akawaona kama wale walevi wa bar alokuwa anawahudumia?
3.Ulevi je?
Mkuu mtu analipwa mshahara elf 80 unategemea anaishije huyo?Kwani wanaofanya kazi wote bar ni malaya?? Mule si kuna wanaume pia kwani wale hawana wake zao nyumbani? Wakati mwingine umalaya nimtabia ya mtu, mbona wapo wenye kazi nzuri na ndoa zao lakini ni wazinzi wakubwa? Si wote wanaofanya kazi bar ni malaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
sa kauliza kama ni kubwa au ndogo au kutulia mzee...[emoji23][emoji23][emoji23]Never, yaan papuchi itakuwa imetanuka hatari
Mwanamke anayejitambua hawezi kufanya kazi hiyo. Hizo ngano za kuwa wapo wanaofanyabaa wenye tabia nzuri ni ndoto za alinacha. Kufanya kazi baa pekee ni tabia mbaya!! Kuwa na wenye tabia za umalaya ndani ya ndoa ama kwenye kazi nzuri hakuondoi ukweli kuwa sekta ya baa inahitaji usiwe na akili timamu. Hawa nao ni wale wale isipokuwa wamepata wenye akili mbovu kama wao wakaoana ama wamepata rehema ya kuwa na ajira tu.Kwani wanaofanya kazi wote bar ni malaya?? Mule si kuna wanaume pia kwani wale hawana wake zao nyumbani? Wakati mwingine umalaya nimtabia ya mtu, mbona wapo wenye kazi nzuri na ndoa zao lakini ni wazinzi wakubwa? Si wote wanaofanya kazi bar ni malaya.
Sent using Jamii Forums mobile app