Nauliza kama hili linawezekana nijilipue naona usingle utanifanya maisha niyaone magumu zaidi with ziro sms, call zaidi ya huduma kwa wateja
Ni hivi wakati nasoma miaka hiyo nipo kidato cha pili kuna kijana alihamia shuleni kwetu tukazoeana alikuwa kabila moja na mama yangu hivyo nikamchukulia kama ndugu,, yeye ni mkubwa kwangu kwa miaka 3 so now yupo na 28
Sasa yule kaka alinitongoza kipindi hicho hata sielewi mambo ya dunia kiufupi nikamkataa so akabaki rafiki tu..Tumeenda mpk kidato cha 3 kuna binti akahamia tukawa marafiki basi huyo kijana tumwite G akamtongoza rafiki yangu akaja kuniambia nikamwambia tu amkubali maana alishawahi kunitongoza ila nilimkataa basi wakakubaliana wakaanza mahusiano, tulipoingia kidato cha 4 wakaachana kila mtu akawa na mahusiano yake mengine
Sasa ni miaka 8 imepita huyo kijana G tumekutana tena kwa namna tofauti kila mtu ana maisha yake,, alienda moja kwa moja kuwa ananihitaji ikiwezekana tuanzishe famillia[emoji846]
Nawaza hapa inawezekana kweli maana alidate na rafiki yangu ( japo hawakukulana hii alinambia rafiki yangu mwenyewe zamani na hata G mwenyewe nilimuuliza akasema hakuwai kulala nae maana ulikuwa ni utoto tu sina uhakika na hili)
Huyu rafiki yangu navowaambia ni mabest mpk sasa tumesoma wote shule zote mpk chuo tumemaliza chuo kimoja, kwa sasa yeye alishazalishwa na mwanaume mwingine ndio yupo nae
Ni rafiki yangu tunaambiana mambo mengi japo kwa sasa mawasiliano sio sana kwa vile tumeshakuwa na maisha tofauti yeye ana mtoto mimi sina kwaiyo sio kama zamani tukiwa wote bilabila
Vipi kama atagundua nina mahusiano na ex wake haitoleta chuki kweli??
Je kuna ubaya wowote nikifanya maamuzi ya kuwa na G
Naomba ushauri kwa wale waliowahi kuwa na mahusiano
Na ex za rafiki zao na wengineo
Ni hivi wakati nasoma miaka hiyo nipo kidato cha pili kuna kijana alihamia shuleni kwetu tukazoeana alikuwa kabila moja na mama yangu hivyo nikamchukulia kama ndugu,, yeye ni mkubwa kwangu kwa miaka 3 so now yupo na 28
Sasa yule kaka alinitongoza kipindi hicho hata sielewi mambo ya dunia kiufupi nikamkataa so akabaki rafiki tu..Tumeenda mpk kidato cha 3 kuna binti akahamia tukawa marafiki basi huyo kijana tumwite G akamtongoza rafiki yangu akaja kuniambia nikamwambia tu amkubali maana alishawahi kunitongoza ila nilimkataa basi wakakubaliana wakaanza mahusiano, tulipoingia kidato cha 4 wakaachana kila mtu akawa na mahusiano yake mengine
Sasa ni miaka 8 imepita huyo kijana G tumekutana tena kwa namna tofauti kila mtu ana maisha yake,, alienda moja kwa moja kuwa ananihitaji ikiwezekana tuanzishe famillia[emoji846]
Nawaza hapa inawezekana kweli maana alidate na rafiki yangu ( japo hawakukulana hii alinambia rafiki yangu mwenyewe zamani na hata G mwenyewe nilimuuliza akasema hakuwai kulala nae maana ulikuwa ni utoto tu sina uhakika na hili)
Huyu rafiki yangu navowaambia ni mabest mpk sasa tumesoma wote shule zote mpk chuo tumemaliza chuo kimoja, kwa sasa yeye alishazalishwa na mwanaume mwingine ndio yupo nae
Ni rafiki yangu tunaambiana mambo mengi japo kwa sasa mawasiliano sio sana kwa vile tumeshakuwa na maisha tofauti yeye ana mtoto mimi sina kwaiyo sio kama zamani tukiwa wote bilabila
Vipi kama atagundua nina mahusiano na ex wake haitoleta chuki kweli??
Je kuna ubaya wowote nikifanya maamuzi ya kuwa na G
Naomba ushauri kwa wale waliowahi kuwa na mahusiano
Na ex za rafiki zao na wengineo