Habari Kwa makazi nipo dar es salaam, Nina mtaji mdogo ambao Kwa upande wa frame ni changamoto Sasa Basi nataka kufanya biashara Kwa njia ya mtandao hasa kupitia WhatsApp
Kwanini nataka kutumia platform ya WhatsApp?
Kwasababu watu ambao nimesave namba zao wananijua na ninawajua vizuri kwaiyo ntakuwa Nina uhakika wa wateja ambao wananiamini Nina uaminifu nao.
Pia Nina kuwa Nina access ya kuwa karibu nao kupitia charting hivyo nitakuwa Nina Hamasa ya kuwashawishi wateja Wangu.
Sasa Nina Imani kupitia WhatsApp yako ili jambo Sio geni Kuna watu unawajua wanafanya biashara kupitia platform ya WhatsApp
Sasa nataka kupitia wewe uniambie kupitia platform yako ya WhatsApp unaona watu wanafanya biashara Gani ambayo unaona inatoka na ina movement kubwa
Nina maanisha niambie kupitia WhatsApp yako unaona wafanya biashara Gani uniambie hapa niishi nayo..
Kupitia hii Mimi na wewe tunaweza kupata wazo Zuri la biashara
Naomba unisaidie Kwa faida ya wengine tuweze kupata wazo Zuri la biashara
Ahsante
Kwanini nataka kutumia platform ya WhatsApp?
Kwasababu watu ambao nimesave namba zao wananijua na ninawajua vizuri kwaiyo ntakuwa Nina uhakika wa wateja ambao wananiamini Nina uaminifu nao.
Pia Nina kuwa Nina access ya kuwa karibu nao kupitia charting hivyo nitakuwa Nina Hamasa ya kuwashawishi wateja Wangu.
Sasa Nina Imani kupitia WhatsApp yako ili jambo Sio geni Kuna watu unawajua wanafanya biashara kupitia platform ya WhatsApp
Sasa nataka kupitia wewe uniambie kupitia platform yako ya WhatsApp unaona watu wanafanya biashara Gani ambayo unaona inatoka na ina movement kubwa
Nina maanisha niambie kupitia WhatsApp yako unaona wafanya biashara Gani uniambie hapa niishi nayo..
Kupitia hii Mimi na wewe tunaweza kupata wazo Zuri la biashara
Naomba unisaidie Kwa faida ya wengine tuweze kupata wazo Zuri la biashara
Ahsante