Unaweza kuta wote tupo mbinguni tayari, halafu haya maisha yanayoendelea ni kumbukumbu ya kila mtu kwa maisha aliyo yaishi kipindi yupo duniani

Unaweza kuta wote tupo mbinguni tayari, halafu haya maisha yanayoendelea ni kumbukumbu ya kila mtu kwa maisha aliyo yaishi kipindi yupo duniani

Dini ya meditation inaamini kwamba binadamu tunaashi uongo wanadai hiki unachokiona ni uongo sio kweli. Wasema eti kuna dunia ya uhalisia hapahapa kwenye dunia ya uongo. Lazima utulize akili na kufuta kumbukumbu zako zote tangu ulipozaliwa mpaka sasa. Duhh. Hii noma Sana'a
 
BINADAMU WOTE TAYARI TULISHA KUFA, KWASASA TUNAONESHWA KILA MTU JINSI ALIVYO ISHI.

View attachment 1719547


Unaweza kuta wote tupo mbinguni tayari, halafu haya maisha yanayo endelea ni kumbukumbu ya kila mtu kwa maisha aliyo yaishi kipindi yupo duniani. mungu anakuonesha ulivyo ishi kumbukumbu ikiisha inaonekana kama umekufa lakini unakuwa umetolewa kwenye kumbukumbu na tunao ona kama umekufa, sisi tunakuwa bado tupo kwenye kumbukumbu zetu, ambazo na sisi zitaisha na tutaonekana kama tumekufa. ila mbinguni unakuwa ushajua kama utahukumiwaje kulingana na ulivyo yaona maisha haya unayo yaishi.

Haujiulizi kwanini hauwezi kubadilisha litakalo tokea kesho (future), kwakuwa haya maisha ni kumbukumbu tu na tukio la kesho yako limeshatokea tayari kwahiyo lazima litokee. Yaani kwa mfano kama kesho utaiba, Leo unakuwa haujui chochote anaye jua ni mungu tu kwahiyo lazima kesho ikifika lazima unatakiwa uibe kukamilisha namna ambavyo inatakiwa kuwa.

Siku zote kitu ambacho sikipatii majibu huwa ni njozi tu, japo kuna siku nitajaribu kuelezea jinsi ambavyo binafsi naichukulia njozi. leo wacha nisemee haya maisha.

Kwa ufupi haya maisha ni kama vile movie imeshaisha halafu umeianza upya, matukio yote lazima yawe kama ulivyo yaona mala ya kwanza.

Kwanini hakuna anaye weza kuijua kesho yake, kwanini kama utaiba kesho au kama utaua au kama utadanganya au kama utatenda dhambi yoyote hauna uwezo wa kubadilisha matukio yote ya kesho.

Sasa swali mungu ndo anaye ijua kesho yako, kwanini kama kesho utatenda dhambi yeye ashajua utafanya hivo na wewe huwez kujua, kwanini asikuzuie kufanya na anajua hauwezi kubadilisha kesho yako, akuache ufanye halafu akuhesabie dhambi. kuna mtu atahisi kuwaza haya ni kukufuru lakini hapana nikatika kuutafta ukweli wa haya maisha.

Yaani mungu ndiye anaye ujui kesho yako, kama kesho utatenda dhambi ukiwa bado upo ni leo haujajua kama kesho utakosea ila mungu ashaona na kujua kesho utamkosea, na mungu akishaona kesho yako wewe hauna uwezo kubadil tukio liwe tofauti na alivyo liona na kama utaweza kubadili mfano alikuona kesho unaiba halafu kesho usiibe basi unakuwa ni mwanzo labda wa mungu kuiona kesho yako ya uongo.

Kwahiyo lazima kama alivyo iona kesho yako ndiyo ikawe hivo hivo, swali ni kwanini mungu asikusaidie kukubadilishia kesho yako hiyo mbaya. Anakuacha ukakosee akijua hauna uwezo wa kubadilisha halafu anakuhesabia dhambi ?.

Na majibu ya maswali yangu yote yanakuwa huenda kabisa haya maisha ni kumbukumbu ya maisha yaliyo pita au tuliyo yaishi tayari.

Kwasababu mungu anatupenda hawezi ruhusu watu wake tumkosee Wakati ana uwezo wa kurekebisha makosa yaliyo nje ya uwezo wetu.

Kuna mwingine atasema, wapo watabili au wanao tokewa na njozi. Hilo sikatai swali ni je? Wanapo tabili tukio flani litatokea na likatokea si bado ni vile vile wameyaona matukio ya mbele na hayajabadilika. Uongo ni kwenye movie eti jamaa anatembelea future yake anajua atakavyo kufa halafu anataka siku ikifika akikwepe kifo [emoji23][emoji23].

Kwa maelezo hayo inatosha kabisa kuniaminisha kuwa huenda Haya maisha, tulishayaishi tayari na hizi ni kumbu kumbu ambazo hauwezi kujua wala kuwaza kuwa ni kumbukumbu kwasababu ni picha tu imewekwa hauwezi badilisha screenplay.

HII NI YA KUFIKIRIKA JAMANI, SIJASEMA NDIO UHARISIA NI NAMNA NAVYO WAZA [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Naitwa Donrugi Instagram na Twitter
Alafu wanao kufa sasa ndio wanazaliwa duniani
 
Da kama hizi ni kumbukumbu je kuna namana niache hiz kumbukukumbu maana si mchezo
 
Hatujafa sema haya maisha yote ni ndoto sio real.hizi ni ndpto tu
 
Sio kweli jamii forum ilikuwa haijaanzishwa,kwenye kumbukumbu isingekuwepo
We jamaa ni kilaza sana, yaan kitu kiwepo kwenye kumbukumbu halafu useme hakikuwepo..kisa usha assume miaka mingi tofauti wakati unaongelea the same dimension!
 
BINADAMU WOTE TAYARI TULISHA KUFA, KWASASA TUNAONESHWA KILA MTU JINSI ALIVYO ISHI.

View attachment 1719547


Unaweza kuta wote tupo mbinguni tayari, halafu haya maisha yanayo endelea ni kumbukumbu ya kila mtu kwa maisha aliyo yaishi kipindi yupo duniani. mungu anakuonesha ulivyo ishi kumbukumbu ikiisha inaonekana kama umekufa lakini unakuwa umetolewa kwenye kumbukumbu na tunao ona kama umekufa, sisi tunakuwa bado tupo kwenye kumbukumbu zetu, ambazo na sisi zitaisha na tutaonekana kama tumekufa. ila mbinguni unakuwa ushajua kama utahukumiwaje kulingana na ulivyo yaona maisha haya unayo yaishi.

Haujiulizi kwanini hauwezi kubadilisha litakalo tokea kesho (future), kwakuwa haya maisha ni kumbukumbu tu na tukio la kesho yako limeshatokea tayari kwahiyo lazima litokee. Yaani kwa mfano kama kesho utaiba, Leo unakuwa haujui chochote anaye jua ni mungu tu kwahiyo lazima kesho ikifika lazima unatakiwa uibe kukamilisha namna ambavyo inatakiwa kuwa.

Siku zote kitu ambacho sikipatii majibu huwa ni njozi tu, japo kuna siku nitajaribu kuelezea jinsi ambavyo binafsi naichukulia njozi. leo wacha nisemee haya maisha.

Kwa ufupi haya maisha ni kama vile movie imeshaisha halafu umeianza upya, matukio yote lazima yawe kama ulivyo yaona mala ya kwanza.

Kwanini hakuna anaye weza kuijua kesho yake, kwanini kama utaiba kesho au kama utaua au kama utadanganya au kama utatenda dhambi yoyote hauna uwezo wa kubadilisha matukio yote ya kesho.

Sasa swali mungu ndo anaye ijua kesho yako, kwanini kama kesho utatenda dhambi yeye ashajua utafanya hivo na wewe huwez kujua, kwanini asikuzuie kufanya na anajua hauwezi kubadilisha kesho yako, akuache ufanye halafu akuhesabie dhambi. kuna mtu atahisi kuwaza haya ni kukufuru lakini hapana nikatika kuutafta ukweli wa haya maisha.

Yaani mungu ndiye anaye ujui kesho yako, kama kesho utatenda dhambi ukiwa bado upo ni leo haujajua kama kesho utakosea ila mungu ashaona na kujua kesho utamkosea, na mungu akishaona kesho yako wewe hauna uwezo kubadil tukio liwe tofauti na alivyo liona na kama utaweza kubadili mfano alikuona kesho unaiba halafu kesho usiibe basi unakuwa ni mwanzo labda wa mungu kuiona kesho yako ya uongo.

Kwahiyo lazima kama alivyo iona kesho yako ndiyo ikawe hivo hivo, swali ni kwanini mungu asikusaidie kukubadilishia kesho yako hiyo mbaya. Anakuacha ukakosee akijua hauna uwezo wa kubadilisha halafu anakuhesabia dhambi ?.

Na majibu ya maswali yangu yote yanakuwa huenda kabisa haya maisha ni kumbukumbu ya maisha yaliyo pita au tuliyo yaishi tayari.

Kwasababu mungu anatupenda hawezi ruhusu watu wake tumkosee Wakati ana uwezo wa kurekebisha makosa yaliyo nje ya uwezo wetu.

Kuna mwingine atasema, wapo watabili au wanao tokewa na njozi. Hilo sikatai swali ni je? Wanapo tabili tukio flani litatokea na likatokea si bado ni vile vile wameyaona matukio ya mbele na hayajabadilika. Uongo ni kwenye movie eti jamaa anatembelea future yake anajua atakavyo kufa halafu anataka siku ikifika akikwepe kifo 😂😂.

Kwa maelezo hayo inatosha kabisa kuniaminisha kuwa huenda Haya maisha, tulishayaishi tayari na hizi ni kumbu kumbu ambazo hauwezi kujua wala kuwaza kuwa ni kumbukumbu kwasababu ni picha tu imewekwa hauwezi badilisha screenplay.

HII NI YA KUFIKIRIKA JAMANI, SIJASEMA NDIO UHARISIA NI NAMNA NAVYO WAZA 😀😀😀😀
Naitwa Donrugi Instagram na Twitter


You are just talking 🤣
 
Hivi TBS ndio wanaodili na standards za vinywaji tunavyotumia?
 
BINADAMU WOTE TAYARI TULISHA KUFA, KWASASA TUNAONESHWA KILA MTU JINSI ALIVYO ISHI.

View attachment 1719547


Unaweza kuta wote tupo mbinguni tayari, halafu haya maisha yanayo endelea ni kumbukumbu ya kila mtu kwa maisha aliyo yaishi kipindi yupo duniani. mungu anakuonesha ulivyo ishi kumbukumbu ikiisha inaonekana kama umekufa lakini unakuwa umetolewa kwenye kumbukumbu na tunao ona kama umekufa, sisi tunakuwa bado tupo kwenye kumbukumbu zetu, ambazo na sisi zitaisha na tutaonekana kama tumekufa. ila mbinguni unakuwa ushajua kama utahukumiwaje kulingana na ulivyo yaona maisha haya unayo yaishi.

Haujiulizi kwanini hauwezi kubadilisha litakalo tokea kesho (future), kwakuwa haya maisha ni kumbukumbu tu na tukio la kesho yako limeshatokea tayari kwahiyo lazima litokee. Yaani kwa mfano kama kesho utaiba, Leo unakuwa haujui chochote anaye jua ni mungu tu kwahiyo lazima kesho ikifika lazima unatakiwa uibe kukamilisha namna ambavyo inatakiwa kuwa.

Siku zote kitu ambacho sikipatii majibu huwa ni njozi tu, japo kuna siku nitajaribu kuelezea jinsi ambavyo binafsi naichukulia njozi. leo wacha nisemee haya maisha.

Kwa ufupi haya maisha ni kama vile movie imeshaisha halafu umeianza upya, matukio yote lazima yawe kama ulivyo yaona mala ya kwanza.

Kwanini hakuna anaye weza kuijua kesho yake, kwanini kama utaiba kesho au kama utaua au kama utadanganya au kama utatenda dhambi yoyote hauna uwezo wa kubadilisha matukio yote ya kesho.

Sasa swali mungu ndo anaye ijua kesho yako, kwanini kama kesho utatenda dhambi yeye ashajua utafanya hivo na wewe huwez kujua, kwanini asikuzuie kufanya na anajua hauwezi kubadilisha kesho yako, akuache ufanye halafu akuhesabie dhambi. kuna mtu atahisi kuwaza haya ni kukufuru lakini hapana nikatika kuutafta ukweli wa haya maisha.

Yaani mungu ndiye anaye ujui kesho yako, kama kesho utatenda dhambi ukiwa bado upo ni leo haujajua kama kesho utakosea ila mungu ashaona na kujua kesho utamkosea, na mungu akishaona kesho yako wewe hauna uwezo kubadil tukio liwe tofauti na alivyo liona na kama utaweza kubadili mfano alikuona kesho unaiba halafu kesho usiibe basi unakuwa ni mwanzo labda wa mungu kuiona kesho yako ya uongo.

Kwahiyo lazima kama alivyo iona kesho yako ndiyo ikawe hivo hivo, swali ni kwanini mungu asikusaidie kukubadilishia kesho yako hiyo mbaya. Anakuacha ukakosee akijua hauna uwezo wa kubadilisha halafu anakuhesabia dhambi ?.

Na majibu ya maswali yangu yote yanakuwa huenda kabisa haya maisha ni kumbukumbu ya maisha yaliyo pita au tuliyo yaishi tayari.

Kwasababu mungu anatupenda hawezi ruhusu watu wake tumkosee Wakati ana uwezo wa kurekebisha makosa yaliyo nje ya uwezo wetu.

Kuna mwingine atasema, wapo watabili au wanao tokewa na njozi. Hilo sikatai swali ni je? Wanapo tabili tukio flani litatokea na likatokea si bado ni vile vile wameyaona matukio ya mbele na hayajabadilika. Uongo ni kwenye movie eti jamaa anatembelea future yake anajua atakavyo kufa halafu anataka siku ikifika akikwepe kifo 😂😂.

Kwa maelezo hayo inatosha kabisa kuniaminisha kuwa huenda Haya maisha, tulishayaishi tayari na hizi ni kumbu kumbu ambazo hauwezi kujua wala kuwaza kuwa ni kumbukumbu kwasababu ni picha tu imewekwa hauwezi badilisha screenplay.

HII NI YA KUFIKIRIKA JAMANI, SIJASEMA NDIO UHARISIA NI NAMNA NAVYO WAZA 😀😀😀😀
Naitwa Donrugi Instagram na Twitter
Hongera kwa fikira zenye uhai,ukiwa hai na afya mujaarabu ya ubongo kuwaza hakukwepeki.
• Kuhusu kwamba saivi tuko mbinguni kwa jinsi nionavyo Mimi siyo kweli kwa sababu zifuatazo.....
1.Mbinguni kuna mwenye enzi ambaye ndiye Mungu, lakini saivi tuko katika ongozi na tawala mbalimbali za dunia hii,ambapo utawala mmoja unaenda kupigana na utawala mwingine.
2. Kwa mujibu wa maandiko,baada ya kupaishwa mbinguni tutavaa miili mipya ambayo haitaona kiu wala njaa.
3.Imeandikwa mwanadamu atakula kwa jasho lake,kwa maana lazima tufanye kazi ili tupate kula,mbinguni kuna kazi ya kumsifu Mungu pamoja na kuabudu.

=> Nakumbuka maandiko ya mwanafalsafa mmoja alisema..."Mungu aliziumba roho nyingi kwa wakati mmoja,na huwa kila roho anaishusha duniani kwa nyakati na kusudi maalumu kupitia kuzaliana kwa wanadamu"
Hivyo napenda kukukumbusha ndugu yangu uliyeandika Uzi huu bado tuko duniani,unapoona kuna matukio ya magonjwa kama covid,ambayo hayana tiba yanayousumbua ulimwengu mzima,na kupelekea kujifungia majumbani bila kutoka,uyaonapo haya jua bado tuko sayarini,lakini tujue ujio wa mwenye enzi umekaribia.
 
Hongera kwa fikira zenye uhai,ukiwa hai na afya mujaarabu ya ubongo kuwaza hakukwepeki.
• Kuhusu kwamba saivi tuko mbinguni kwa jinsi nionavyo Mimi siyo kweli kwa sababu zifuatazo.....
1.Mbinguni kuna mwenye enzi ambaye ndiye Mungu, lakini saivi tuko katika ongozi na tawala mbalimbali za dunia hii,ambapo utawala mmoja unaenda kupigana na utawala mwingine.
2. Kwa mujibu wa maandiko,baada ya kupaishwa mbinguni tutavaa miili mipya ambayo haitaona kiu wala njaa.
3.Imeandikwa mwanadamu atakula kwa jasho lake,kwa maana lazima tufanye kazi ili tupate kula,mbinguni kuna kazi ya kumsifu Mungu pamoja na kuabudu.

=> Nakumbuka maandiko ya mwanafalsafa mmoja alisema..."Mungu aliziumba roho nyingi kwa wakati mmoja,na huwa kila roho anaishusha duniani kwa nyakati na kusudi maalumu kupitia kuzaliana kwa wanadamu"
Hivyo napenda kukukumbusha ndugu yangu uliyeandika Uzi huu bado tuko duniani,unapoona kuna matukio ya magonjwa kama covid,ambayo hayana tiba yanayousumbua ulimwengu mzima,na kupelekea kujifungia majumbani bila kutoka,uyaonapo haya jua bado tuko sayarini,lakini tujue ujio wa mwenye enzi umekaribia.
We ushaambiwa tunaangalia display ya picha iliyo pita, sasa utavaje mwili mpya kwenye kumbukumbu ya zamani..ina maana unataka u-edit ndoto?
 
Back
Top Bottom