Unaweza kuwa mchapakazi lakini usiwe hardworking

Unaweza kuwa mchapakazi lakini usiwe hardworking

Kama tunavyowaona Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah Wana working hard bila hardworking katika uchawa.

Wakati kina Mwijaku Wana hardworking kwenye uchawa bila working hard
unaelewa Neema na Baraka za Mungu ni kitu ina nguvu mno kwenye mambo haya. Na kwakweli binafsi nabarikiwa sana, na isingekua hiyo, nadhani nisingekua katika nafasi hii muhimu sana ndani na nje ya jukwaa hili muhimu na la heshima sana.

na usipokua na siha njema na akili kali utazubaa na kupumbazwa na dhana sisizo na athariri zozote katika siasa au maisha ya kawaida.

nadhani najiskia fahari sana kua mTanzania mzalendo na msema ukweli wakati wote, ndani na nje ya jukwaa hili.

binafsi daima nitang'ang'ana na hawa wananchi wa chini, na furaha yangu ni hawa ninaowaongoza wapate maendeleo kisiasa, kiuchumi na kijamii,

hayo mengine si muhimu hata kidogo kwangu :BASED:
 
Tlaatlaah unazingua kinouma mkuu
Gentleman,
sia haja wala sababu hata moja kumzingua mTanzania mwananchi mwenzangu hata kidogo,
ninaheshimu maoni na mitazamo ya kila moja hata kama ni maoni machachu kiasia gani,
kwasababu natambua wajibu wa kiongozi licha ya kwamba ni kuonyesha njia lakini pia ni jalala,
inahitaji ustahimilivu na subra ya kiwango cha juu sana,

labda tatizo langu ni kusema ukweli bila mihemko wala woga,

na kama ni hivyo basi, kweli hapo inawezekana nazingua :BASED:
 
unaelewa Neema na Baraka za Mungu ni kitu ina nguvu mno kwenye mambo haya. Na kwakweli binafsi nabarikiwa sana, na isingekua hiyo, nadhani nisingekua katika nafasi hii muhimu sana ndani na nje ya jukwaa hili muhimu na la heshima sana.

na usipokua na siha njema na akili kali utazubaa na kupumbazwa na dhana sisizo na athariri zozote katika siasa au maisha ya kawaida.

nadhani najiskia fahari sana kua mTanzania mzalendo na msema ukweli wakati wote, ndani na nje ya jukwaa hili.

binafsi daima nitang'ang'ana na hawa wananchi wa chini, na furaha yangu ni hawa ninaowaongoza wapate maendeleo kisiasa, kiuchumi na kijamii,

hayo mengine si muhimu hata kidogo kwangu :BASED:

Wewe sio Msema kweli.
Labda mchagua ukweli usioumiza
 
For my Experience, Hardworking is Good kama ni Self employed but kama ni private/Government Employed Mhh Nowadays people don't care my furendi even your Boss don't care wakati wewe ukiendelea kuichosha akili na mwili kwa Expectations za kuwa promoted/salary increments utaishia tu kupewa vijisifa visivyo na manufaa huku wale wenye low IQ wakijaribu kukuroga ๐Ÿ˜† kama si kukuua alafu wenzako Clever mind wanatusua kimya kimya so Bora kuwa normal na kujifanya ignorant kwenye mamlaka za watu instead be wise & Hardworking kwenye territory Yako.
 
genteman,
hizo ni dhana zisizo na athari za kuwapumbaza vijana hasa wasio na maono,

stuka achana na kubabaika na huo ushirikina :pedroP:
Gentleman mtu kama mimi nyie kuninunua nizaidi ya thamani ya wanasisiemi 10000 huko twitter ร— ๐Ÿ’ wekeni pesa mezani bwashee.
 
Siku sio nyingi tutaanza kumwonea wivu Tlaatlaah baada ya ku-hit target.

Acha nipashe makande tuu
gentleman,
kusema ukweli ni muhimu sana kumshukuru mungu kwa kila jambo,

nilenda kugombea ubunge nikiwa na laki5 cash mfukoni,
niakaambiwa ati nimechanganyikiwa :pedroP:

sasa leo nikienda kushoto niko na wananchi wananifuata, nikienda kulia wananifuata pamoja na wale walioniita nimechanganikiwa, dah aise:pedroP:

haya mambo ni kuthubutu tu,
kwa mawazo, kwa mamneno na matendo.
kumbuka kutunza siri na nguvu za ufalme wako kabla hujamaliza kazi na kabla ya kufanikiwa.

Mungu ni mwema sana kwa kila mtu atakufanikisha, haachagi wala kumpendelea mtu.
 
For my Experience, Hardworking is Good kama ni Self employed but kama ni private/Government Employed Mhh Nowadays people don't care my furendi even your Boss don't care wakati wewe ukiendelea kuichosha akili na mwili kwa Expectations za kuwa promoted/salary increments utaishia tu kupewa vijisifa visivyo na manufaa huku wale wenye low IQ wakijaribu kukuroga ๐Ÿ˜† kama si kukuua alafu wenzako Clever mind wanatusua kimya kimya so Bora kuwa normal na kujifanya ignorant kwenye mamlaka za watu instead be wise & Hardworking kwenye territory Yako.

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Gentleman,
sia haja wala sababu hata moja kumzingua mTanzania mwananchi mwenzangu hata kidogo,
ninaheshimu maoni na mitazamo ya kila moja hata kama ni maoni machachu kiasia gani,
kwasababu natambua wajibu wa kiongozi licha ya kwamba ni kuonyesha njia lakini pia ni jalala,
inahitaji ustahimilivu na subra ya kiwango cha juu sana,

labda tatizo langu ni kusema ukweli bila mihemko wala woga,

na kama ni hivyo basi, kweli hapo
gentleman,
kusema ukweli ni muhimu sana kumshukuru mungu kwa kila jambo,

nilenda kugombea ubunge nikiwa na laki5 cash mfukoni,
niakaambiwa ati nimechanganyikiwa :pedroP:

sasa leo nikienda kushoto niko na wananchi wananifuata, nikienda kulia wananifuata pamoja na wale walioniita nimechanganikiwa, dah aise:pedroP:

haya mambo ni kuthubutu tu,
kwa mawazo, kwa mamneno na matendo.
kumbuka kutunza siri na nguvu za ufalme wako kabla hujamaliza kazi na kabla ya kufanikiwa.

Mungu ni mwema sana kwa kila mtu atakufanikisha, haachagi wala kumpendelea mtu.
Gentleman nakubali jinsi unavyo pambana ndio maana kati ya chawa wote wewe sijakuweka ignore list pekee ๐Ÿ’
 
Mafanikio huwa ni kile kitu MTU anafanya pasipo watu kumpa attention .

Mfano ukitaka kuwa mwanariadha bora (Athletic) lazima utumie muda mwingi katika mazoezi binafsi self-training na wakati wa hayo mazoezi hakuna ambaye atakuwa anakutazama wala kujali kuhusu wewe.

Hivyo siku ya mashindano kuna uwezako ukawa best runner Ila sio rahisi watu kujua ulifanyaje hadi kuwa best runner.

Formula hii ina -apply katika sehemu tofauti. tofauti za maisha.

Tukija katika hard working =nothing but kinachohitajika ni work smart and not hard working.


Hivyo dhana ya kuamka Ahsubui na mapema kwenda kuutafuta ugali imeshapitwa na wakati Kwa sasa ikiwa hauwezi kuutafuta ugali pasipo kuamka Ahsubui na mapema means bado haujafika sehemu inayotakiwa.


Na mwisho most of people are very busy but not productive.

Watu wengi wapo busy au occupied for nothing and not for something big .

Ukiwa productive inakuhitaji masaa machache Kwa siku kufanya Kazi zako na kupata decent income or amount .


Mfano kuna watu wakialikwa kwenye harusi hawaendi maana hawana muda na pia hawachangii maana hawana PESA. Hivyo hawa wapo busy but not productive. Hawana muda pia hawana pesa , mfano walimu , Askari police ,vibarua mbalinbali n.k
 
Back
Top Bottom