Unaweza kuwa mchapakazi lakini usiwe hardworking

Unaweza kuwa mchapakazi lakini usiwe hardworking

Gentleman nakubali jinsi unavyo pambana ndio maana kati ya chawa wote wewe sijakuweka ignore list pekee 🐒
gentleman,
sasa hebu fikiria humu jf tu Tlaatlaah yupo hivi, huko field kwa wananchi unadhani atakuaje? :pedroP:

mimi ni mbobevu katika siasa na diplomasia,
na kikanuni mwanadipolmasia hafai kua na waoga lakini pia hafai kushindwa kuchangamana na yeyote yule.
Infact kwa case ya Tanzania, wanasiasa wote kwangu ni ndugu, marafiki na wengine ni wachumba zangu..

sijawahi kuona kama kuna sababu hata moja kumuignore yeyote hata aniporomoshee kebehi, dhihaka au matusi mazitomazito tena kwa mpangilio maalumu,

sitishikagi kabisa,
hata kuana wengine walikuaja pm ati wanamtisha mbobevu nikwambie pelekeni ushirikina wenu huko na pm yangu iko wazi mara chachechache tunachati na kusaidiana na wangwangwa kadiri ya nafasi iliyopo

so,
mimi ni kiongozi kijana sana na inafaa kua wa mfano katika kuonyesha njia, mimi ni zao la uthubutu na sio kushikwa mkono:BASED:
 
gentleman,
sasa hebu fikiria humu jf tu Tlaatlaah yupo hivi, huko field kwa wananchi unadhani atakuaje? :pedroP:

mimi ni mbobevu katika siasa na diplomasia,
na kikanuni mwanadipolmasia hafai kua na waoga lakini pia hafai kushindwa kuchangamana na yeyote yule.
Infact kwa case ya Tanzania, wanasiasa wote kwangu ni ndugu, marafiki na wengine ni wachumba zangu..

sijawahi kuona kama kuna sababu hata moja kumuignore yeyote hata aniporomoshee kebehi, dhihaka au matusi mazitomazito tena kwa mpangilio maalumu,

sitishikagi kabisa,
hata kuana wengine walikuaja pm ati wanamtisha mbobevu nikwambie pelekeni ushirikina wenu huko na pm yangu iko wazi mara chachechache tunachati na kusaidiana na wangwangwa kadiri ya nafasi iliyopo

so,
mimi ni kiongozi kijana sana na inafaa kua wa mfano katika kuonyesha njia, mimi ni zao la uthubutu na sio kushikwa mkono:BASED:
Kabisa mkuu nakuunga mkono bro.
 
Kwema Wakuu!

Kwenye jamii kuna Ile dhab potofu kuwa kufanya Kazi ngumu, au kuteseka au kwenda kazini kila siku ndio hardworking Jambo ambalo sio sahihi.

Hardworking labda kwa Kiswahili ungeita juhudi au bidii. Tunaita kufanya Kazi kwa Bidii au juhudi.

Unaweza ukawa mchapakazi lakini usiwe na bidii. Yaani usiwe hardworking.

Bidii inahusu mambo yafuatayo;
1. Kupenda unachofanya.
Jambo lolote usilolipenda huwezi kulifanya kwa bidii. Yaani huwezi kuwa hardworking kwa kitu usichokipenda
Hapa utahusisha kufanya Kazi kwa ubora na uangalifu unaotakiwa.

2. Uthabiti (Consistency )
Hardworking inahusisha uthabiti wa ubora katika matokeo. Yaani mtu anatoa huduma au kufanya kitu kizuri au Bora vilevile au kuzidi tangu siku ya Kwanza Mpaka ya mwisho.
Huo unaitwa uthabiti.

Ukiambiwa mtu ni hardworking wanamrejelea mtu ambaye ni thabiti katika shughuli anayoifanya.

3. Ubunifu. (Creativity)
Kitu unachokifanya ukikipenda automatically utakuwa mbunifu.
Ubunifu ni sehemu ya mambo yanayoongeza thamani shughuli au huduma, pia ubunifu husaidia kukabiliana na ushindani katika soko.

Mtu yeyote asiyembunifu huwekwa hawekwi kundi la wafanyakazi wenye bidii ila atawekwa kwenye kundi la wachapakazi ila wasio na bidii.

4. Ukamilifu na utilimifu.
Perfectionism na Completionism
Kufanya kwa bidii kunahusu kufanya Jambo kwa ukamilifu likamilike(timilike).

Acha nipumzike sasa.

Karibuni Makande.
Nakukubali Taikuni Hii leo Umenikuna Ubongo wangu
 
Mafanikio huwa ni kile kitu MTU anafanya pasipo watu kumpa attention .

Mfano ukitaka kuwa mwanariadha bora (Athletic) lazima utumie muda mwingi katika mazoezi binafsi self-training na wakati wa hayo mazoezi hakuna ambaye atakuwa anakutazama wala kujali kuhusu wewe.

Hivyo siku ya mashindano kuna uwezako ukawa best runner Ila sio rahisi watu kujua ulifanyaje hadi kuwa best runner.

Formula hii ina -apply katika sehemu tofauti. tofauti za maisha.

Tukija katika hard working =nothing but kinachohitajika ni work smart and not hard working.


Hivyo dhana ya kuamka Ahsubui na mapema kwenda kuutafuta ugali imeshapitwa na wakati Kwa sasa ikiwa hauwezi kuutafuta ugali pasipo kuamka Ahsubui na mapema means bado haujafika sehemu inayotakiwa.


Na mwisho most of people are very busy but not productive.

Watu wengi wapo busy au occupied for nothing and not for something big .

Ukiwa productive inakuhitaji masaa machache Kwa siku kufanya Kazi zako na kupata decent income or amount .


Mfano kuna watu wakialikwa kwenye harusi hawaendi maana hawana muda na pia hawachangii maana hawana PESA. Hivyo hawa wapo busy but not productive. Hawana muda pia hawana pesa , mfano walimu , Askari police ,vibarua mbalinbali n.k
Umemwaga madini tupu, nipo nakaa nyumba ya kupanga wapangaji saa kumi wameamka wanaenda mishe wanarudi saa 4 usiku wamechoka Mimi naamka saa 2 naenda mishe saa4 Asubuh Hadi saa12 jion nimerudi, ila nimewapiga gape kwa maendeleo na Bado wananiambiaga kuwa Mimi mvivu coz naamka saa2
 
Back
Top Bottom