Kumbe hawa kina Tlaatlaah ni nyumbu tuππππππKama tunavyowaona Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah Wana working hard bila hardworking katika uchawa.
Wakati kina Mwijaku Wana hardworking kwenye uchawa bila working hard
M pare kula makande tu boss wanguπ π πTunaona wajinga hapa kumbe wenzetu Ramani Yao ya vita inaonyesha uchawa ndio mbinu pekee ya kimedani kushinda vita yao
unaelewa Neema na Baraka za Mungu ni kitu ina nguvu mno kwenye mambo haya. Na kwakweli binafsi nabarikiwa sana, na isingekua hiyo, nadhani nisingekua katika nafasi hii muhimu sana ndani na nje ya jukwaa hili muhimu na la heshima sana.Kama tunavyowaona Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah Wana working hard bila hardworking katika uchawa.
Wakati kina Mwijaku Wana hardworking kwenye uchawa bila working hard
Swali zuri,nami nangojea jibuMjinga ni mtu wa aina gani?
Huyo mbwiga mtamuonea wivu nyie mkuuπ π π π
Gentleman,Tlaatlaah unazingua kinouma mkuu
unaelewa Neema na Baraka za Mungu ni kitu ina nguvu mno kwenye mambo haya. Na kwakweli binafsi nabarikiwa sana, na isingekua hiyo, nadhani nisingekua katika nafasi hii muhimu sana ndani na nje ya jukwaa hili muhimu na la heshima sana.
na usipokua na siha njema na akili kali utazubaa na kupumbazwa na dhana sisizo na athariri zozote katika siasa au maisha ya kawaida.
nadhani najiskia fahari sana kua mTanzania mzalendo na msema ukweli wakati wote, ndani na nje ya jukwaa hili.
binafsi daima nitang'ang'ana na hawa wananchi wa chini, na furaha yangu ni hawa ninaowaongoza wapate maendeleo kisiasa, kiuchumi na kijamii,
hayo mengine si muhimu hata kidogo kwangu
Huyo mbwiga mtamuonea wivu nyie mkuuπ π π π
Gentleman mtu kama mimi nyie kuninunua nizaidi ya thamani ya wanasisiemi 10000 huko twitter Γ π wekeni pesa mezani bwashee.genteman,
hizo ni dhana zisizo na athari za kuwapumbaza vijana hasa wasio na maono,
stuka achana na kubabaika na huo ushirikina
Mkuu hakuna mtanzania anaweza kuwa raisi wangu iwa sasaπππUnashangaa anakuwa Rais wako.
Utaishia kulewa Bar kwa kihoroππ
gentleman,
For my Experience, Hardworking is Good kama ni Self employed but kama ni private/Government Employed Mhh Nowadays people don't care my furendi even your Boss don't care wakati wewe ukiendelea kuichosha akili na mwili kwa Expectations za kuwa promoted/salary increments utaishia tu kupewa vijisifa visivyo na manufaa huku wale wenye low IQ wakijaribu kukuroga π kama si kukuua alafu wenzako Clever mind wanatusua kimya kimya so Bora kuwa normal na kujifanya ignorant kwenye mamlaka za watu instead be wise & Hardworking kwenye territory Yako.
Gentleman,
sia haja wala sababu hata moja kumzingua mTanzania mwananchi mwenzangu hata kidogo,
ninaheshimu maoni na mitazamo ya kila moja hata kama ni maoni machachu kiasia gani,
kwasababu natambua wajibu wa kiongozi licha ya kwamba ni kuonyesha njia lakini pia ni jalala,
inahitaji ustahimilivu na subra ya kiwango cha juu sana,
labda tatizo langu ni kusema ukweli bila mihemko wala woga,
na kama ni hivyo basi, kweli hapo
Gentleman nakubali jinsi unavyo pambana ndio maana kati ya chawa wote wewe sijakuweka ignore list pekee πgentleman,
kusema ukweli ni muhimu sana kumshukuru mungu kwa kila jambo,
nilenda kugombea ubunge nikiwa na laki5 cash mfukoni,
niakaambiwa ati nimechanganyikiwa
sasa leo nikienda kushoto niko na wananchi wananifuata, nikienda kulia wananifuata pamoja na wale walioniita nimechanganikiwa, dah aise
haya mambo ni kuthubutu tu,
kwa mawazo, kwa mamneno na matendo.
kumbuka kutunza siri na nguvu za ufalme wako kabla hujamaliza kazi na kabla ya kufanikiwa.
Mungu ni mwema sana kwa kila mtu atakufanikisha, haachagi wala kumpendelea mtu.