Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,713
- 6,121
Habari za wakati
Kufikiria sio kazi rahisi,ni kazi ambayo ina ugumu wake.
Je unafikri unaweza kuzalisha ajira kwa ajili ya vijana 5 wa Kitanzania katika eneo ulipo?Je ajira utakayowapatia itakuwa na sifa gani,utawalipa kiasi gani,itakuwa na faida gani kwa jamii inayokuzunguka?
Zingatia kwamba
Tatizo la ajira ni kweli lipo na linahitaji suluhu mapema sana.
Karibu Tujadili
Kufikiria sio kazi rahisi,ni kazi ambayo ina ugumu wake.
Je unafikri unaweza kuzalisha ajira kwa ajili ya vijana 5 wa Kitanzania katika eneo ulipo?Je ajira utakayowapatia itakuwa na sifa gani,utawalipa kiasi gani,itakuwa na faida gani kwa jamii inayokuzunguka?
Zingatia kwamba
Tatizo la ajira ni kweli lipo na linahitaji suluhu mapema sana.
Karibu Tujadili