ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Sikatai hivyo vitu Kwa sehemu kubwa vimeajiri watu wengi na ni matumain ya kila mmoja kuona vinakuwa kwani vina mchango pia ila why vimeshika kasi mno kipindi hiki cha uchaguzi huku tukiwa tumechezea majanga ya asili ya kutosha.
Sijasikia wabunifu wa sayansi na teknolojia kuitwa ikulu au kwenye hafla kuonyesha vipaji vyao yaani viongozi Wana beng sana na wasanii kiasi kwamba inafanya wasomi nao watamani tu kuwa content creators maana wanaona ndo njia ya kupiga hela ya uhakika huku at the same time unakula na Bata.
Uwe hata mdudu au uwe hata chawa kuliko kuwa mbunifu wa injini mbalimbali maana utapoteza sana muda na ni kama unabet unaweza kufanikiwa au usifanikiwe kwenye sayansi ila usanii ukishikwa tu mkono hela yake chap unaipata unatoka.
Sijasikia wabunifu wa sayansi na teknolojia kuitwa ikulu au kwenye hafla kuonyesha vipaji vyao yaani viongozi Wana beng sana na wasanii kiasi kwamba inafanya wasomi nao watamani tu kuwa content creators maana wanaona ndo njia ya kupiga hela ya uhakika huku at the same time unakula na Bata.
Uwe hata mdudu au uwe hata chawa kuliko kuwa mbunifu wa injini mbalimbali maana utapoteza sana muda na ni kama unabet unaweza kufanikiwa au usifanikiwe kwenye sayansi ila usanii ukishikwa tu mkono hela yake chap unaipata unatoka.