Em tuache 😂😂ukifungua uzi humu hakikisha hauishii njiani
Tehhh tehhhh dahukikaribishwa let say nyama choma usimalizie zile za mwisho.
Ukiona mtu anasema ukweli usilete utaniEm tuache 😂😂
Tena ukiona zimebaki chache jikataeTehhh tehhhh dah
Uswazi hajui hii, bila msosi wanaona huo sio msibaUkienda kwenye msiba wa jirani yako,usisubiri mpaka ule chakula,wape pole kisha sepa,
Wapo kwenye majonzi usiwaongezee gharama.