Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Akikupiga ngumi ya uso, mgeuzie na shavu lingine apige ya pili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
5.Ukienda ukweni nenda na hela.1. Ukipewa simu kama unaoneshwa pengine picha, tazama kisha rudisha na sio kuendelea kutazama picha zingine.
2. Ukipiga simu kama haitopokelewa, tuma meseji na sio kupiga mara nyingi hususani kama jambo sio dharura.
3. Ukipigiwa simu baada ya maongezi, usikate simu... Acha akate aliyepiga.
4. Ukikopeshwa pesa, unaporudisha kama ni kwa njia ya simu hakikisha unaongeza na kiasi cha makato atayokatwa wakati anatoa au mpe cash.
5. Ongezea................
NakaziaUkimkiribisha hakikisha ni za kutosha.
Dah haya banaHuna hela kaa kwako.
😎
Kama kiuhalisia sio masikini,ukiona nyama zinaisha agiza zingine kwa hela zako uongezee kabla hazijaisha zote.Nitaonekana maskini lakini kiuhalisia sio masikini. Hilo si tatizo langu ni la huyo aliyefikiria hivyo.
Basi kuwa mstaarabu usile mpaka mwisho, unaweza usiambiwe lakini jitahid kufanya hiviKukaribishwa chakula haimaanishi umeshindwa kujinunulia chakula
4. Ukikopeshwa pesa, unaporudisha kama ni kwa njia ya simu hakikisha unaongeza na kiasi cha makato atayokatwa wakati anatoa au mpe cash.
Sa ingine unakuta ni kitu kinachekesha anaona unajichekea anauliza unacheka nini unamwonyesha anataka aangalie kwa karibu unampa simu huyo anazama kuangalia galleri.Kwanza unamuonesha wa nini, muelezee kwa maneno tu 🤓
Bado litakuwa ni tatizo lake na akili yake. Sio mimi niliyeshiba.Basi kuwa mstaarabu usile mpaka mwisho, unaweza usiambiwe lakini jitahid kufanya hivi
Mi nasemaga " Kama jasho la mtu laliwa karibu tule" uamue mwenyewe.Bado litakuwa ni tatizo lake na akili yake. Sio mimi niliyeshiba.
Ukikaribisha mtu chakula hakikisha kipo cha kutosha wote mle mridhike.
Mkiwa bar au hotel,Ukikaribishwa na ukaona msos haitoshi, muite muhudumu oangeze orderBado litakuwa ni tatizo lake na akili yake. Sio mimi niliyeshiba.
Ukikaribisha mtu chakula hakikisha kipo cha kutosha wote mle mridhike.