Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Usipende kujitazama na kujitengeneza kwenye vioo vya madirisha yaliyo tinted. Utakuja kutia aibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I like this.Ukienda kwenye msiba wa jirani yako,usisubiri mpaka ule chakula,wape pole kisha sepa,
Wapo kwenye majonzi usiwaongezee gharama.
Mkuu,1. Ukipewa simu kama unaoneshwa pengine picha, tazama kisha rudisha na sio kuendelea kutazama picha zingine.
2. Ukipiga simu kama haitopokelewa, tuma meseji na sio kupiga mara nyingi hususani kama jambo sio dharura.
3. Ukipigiwa simu baada ya maongezi, usikate simu... Acha akate aliyepiga.
4. Ukikopeshwa pesa, unaporudisha kama ni kwa njia ya simu hakikisha unaongeza na kiasi cha makato atayokatwa wakati anatoa au mpe cash.
5. Ongezea................
Hahahahahaukikaribishwa let say nyama choma usimalizie zile za mwisho.
Umenena vyemalets say umepewa lift kwenye paso, kaa kwa kutulia, usianza kusifia ma cruiser au vogue mnazopishana nazo.
Usianze kuweka vimaneno maneno "ddh ile gar inakimbia ile, umeona alivyotupita KAMA TUMESIMAMA VILE"
😂😂
sio vizuri
😂😂😂😂Watu wanavyotiririka pointi humu utasema sio wao ambao ukiwakopesha fedha, hawarudishi hadi wanakuzimia na simu kabisa ama kukublock🙌
Mtu anakuja nyumbani kwako bila taarifa, anakukuta unakula zako, nawe unazuga kumkaribisha chakula naye anakuja kula hadi chakula kinaisha chote mnaishia kunywa Maji Lita 1 Moja ili kujaza tumbo 😅 🙌
Watanzania sio Waungwana kabisa
😃Sa ingine unakuta ni kitu kinachekesha anaona unajichekea anauliza unacheka nini unamwonyesha anataka aangalie kwa karibu unampa simu huyo anazama kuangalia galleri.
Nilimpokonya nikamkoromea sana.
Anyway hashiki mtu simu yangu siku hizi.
Akiuliza natuma link tu.
😅😅😅😂😂😂😂
Unakata tu mkuu, akipiga tena kuuliza unamwambia labda ilikata mtandaoMkuu,
Shukurani kwa mafunzo.
Namba 3 hapo vipi kama aliyekupigia hamalizi maongezi anaweza kuongea zaidi ya masaa mawili mambo ambayo unaona hayana tija?
Hili nalo la msingiUlikutana na mtulioachana siku nyingi, usipige simu kimya kimya kwa marafiki wenu wa zamani na kumpa simu ongea na huyu hapa bila kumwambia ni nani.
Aliyekaribisha ndo aongeze maana ni kiherehere chake kukaribisha kitu ambacho hana. Angekaa kimya nisingekaribiaMkiwa bar au hotel,Ukikaribishwa na ukaona msos haitoshi, muite muhudumu oangeze order
Huku kwetu ambapo chakula ni chekwa,ukienda msibani na usipokula,unatafuta kesi ya jinai.Unawekwa kundi la wenye dharau sana.Jiandae kufanyiwa kisasi likitokea tukio kwako.I like this.
😅😅Ukihitajika utaitwa