Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
😅😅😅Ukifika kwenye ukumbi wakati wa harusi acha ku"focus" na suti ya bwana harusi wala gauni la bibi harusi, wazia chakula tu. Hii inasaidia kukuepusha na umbea usio na maana 🤓
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅Ukifika kwenye ukumbi wakati wa harusi acha ku"focus" na suti ya bwana harusi wala gauni la bibi harusi, wazia chakula tu. Hii inasaidia kukuepusha na umbea usio na maana 🤓
Ilishahawahi tokea mtaa fulani jijini yule Mzee alikuwa hana tabia ya kula kwenye misiba ya majirani kisa ni Mfanyakazi Wizara ya Afya kuna siku alifiwa kwake kapika misosi mingi tena ya maana. Watu hawakula mpaka vijana wa mtaani walikatazwa na Wazee ilikuwa aibu na fedheha sanaHuku kwetu ambapo chakula ni chekwa,ukienda msibani na usipokula,unatafuta kesi ya jinai.Unawekwa kundi la wenye dharau sana.Jiandae kufanyiwa kisasi likitokea tukio kwako.
Sasa hapo huoni kwamba hujamaliza tatizo, mwenzako ndiyo kwanza ataanza kuunga stories masaa nawili mengine.Unakata tu mkuu, akipiga tena kuuliza unamwambia labda ilikata mtandao
Kuishi na jamii kunahitaji akili zaidi kuliko ubwana mkubwa na ufahari.Ilishahawahi tokea mtaa fulani jijini yule Mzee alikuwa hana tabia ya kula kwenye misiba ya majirani kisa ni Mfanyakazi Wizara ya Afya kuna siku alifiwa kwake kapika misosi mingi tena ya maana. Watu hawakula mpaka vijana wa mtaani walikatazwa na Wazee ilikuwa aibu na fedheha sana
Na kama unajiona huwezi kusukuma dkk 90 bc mpakie mkongo mana ni bora uharibu game zinazofuata kuliko kuharibu game la kwanza.Ukitunukiwa mbususu na mrembo igonge kisawasawa.
Kama muelewa atajua kwanini,. Ila kama ndio walewale kazi ipoSasa hapo huoni kwamba hujamaliza tatizo, mwenzako ndiyo kwanza ataanza kuunga stories masaa nawili mengine.
😂😂Usikosoe in public vitu ambavyo ni starehe kwa wengine mfano kitimoto, kununua malayer, kutumia bange na Shisha .....kama ww huvitumii bas havijaletwa kwa ajili yako we endelea kunywa chai ya rangi saa saba mchana
Weeeeh!! Hii hapana 🤣🤣ukikaribishwa let say nyama choma usimalizie zile za mwisho.
Kwani wewe siyo ras jah rastafarai?😂Weeeeh!! Hii hapana 🤣🤣
Mtanisamehe kwakweliukikaribishwa let say nyama choma usimalizie zile za mwisho.
Hahahaha 😃Mtanisamehe kwakweli
Privacy muhimu ila wabongo wanapenda umbea tena aje alafu akukute upo na mgeni jinsia tofauti basi ndio atakaa wee..! Basi hadi athibitishe anachokiwaza!ukienda kumuona mtu muone halafu ondoka usikae sana mpaka akushtue
Weeeh hapanaaa🤣🤣🤣Kwani wewe siyo ras jah rastafarai?😂
Sasa,nyama zenyewe unaweza kula?Kiasi gani?Nusu kilo,kilo moja au?Maana kuna watu wana uchu tu wa nyama ila hawana uwezo wa kula kiasi kingi cha nyama yenyewe.Weeeh hapanaaa🤣🤣🤣
Na kweli, robo tu inatosha.Sasa,nyama zenyewe unaweza kula?Kiasi gani?Nusu kilo,kilo moja au?Maana kuna watu wana uchu tu wa nyama ila hawana uwezo wa kula kiasi kingi cha nyama yenyewe.
Huyo mpaka hapo si muelewa ndiyo maana anaongea sana kwa mtu ambaye hataki maongezi hayo.Kama muelewa atajua kwanini,. Ila kama ndio walewale kazi ipo