Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Nimeshuhudia kwa makomredi.Palikuwa hapatoshi.Mimi napenda usafi hadi unaweza kunichukia.🤣🤣🤣🤣 Lazima lilikukuta jambo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshuhudia kwa makomredi.Palikuwa hapatoshi.Mimi napenda usafi hadi unaweza kunichukia.🤣🤣🤣🤣 Lazima lilikukuta jambo!
Safi sana.Mimi napenda usafi hadi unaweza kunichukia.
Hahaha kijani ni kilimo njano ni madini😂 😂 😂
Hii font colour ina maana gani?
Hahaha ni coincidence tu mkuuSio rangi ya Chama Tawala?
Nakazialets say umepewa lift kwenye paso, kaa kwa kutulia, usianza kusifia ma cruiser au vogue mnazopishana nazo.
Usianze kuweka vimaneno maneno "ddh ile gar inakimbia ile, umeona alivyotupita KAMA TUMESIMAMA VILE"
[emoji23][emoji23]
sio vizuri
huku kwetu sio uswahilini,,ila ukijifanya huli chakula wanakaa kimya,,sasa siku likukute utajuta,,yaani wanapika misosi kama kawaida wanaenda kuzika,wakitoka apo ni nyumbani wanakuacha na masufuria yako apo.Kuna baadhi ya sehemu usipokula chakula cha msibani unaonekana una dharau na wako radhi kwenye msiba wa nyumbani kwako wote wakufanyie hivyo (wasile na kuondoka). Uswahilini kuna mambo mengi sana
Hahaha umeliongea Kwa uchungu sana hili mkuu, nahisi limekutokea mda mfupi tokea sasa .Unakuta mtu anapiga anapiga weeh,anapiga tu misscall 10,hapo we hupokei labda uko na Boss mnaongea mambo ya maana kikazi,
Unajiuliza huyu jamaa ananidai hapana.
Unamshtua boss nna udhuru ngoja nipokee nakuja.
Khee unapokea jitu linaanza kukufokea.
Mi napiga hupokei mara zote hizo.
Ongea unasemaje? linajichekesha eeh "nilikua nakusalimia tu"
Kubababandeki,malaka maleke,maluku🤢
Unatamani lingekua karibu ulizabue makofi aisee.
Unarudi bosi anauliza vp kuna tatizo.
Inabidi useme yah nishamaliza.
Kumbe tatizo ni matako mmoja anasumbua tu ili agongee umtoe.
NaamUkihitajika utaitwa
😀😀😀😀Ukipigiwa kura ukaziona ni chache kubali ndio ulizozipata usiibe za aliekuzidi