Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba 4 hiyo naifanya sana.1. Ukipewa simu kama unaoneshwa pengine picha, tazama kisha rudisha na sio kuendelea kutazama picha zingine.
2. Ukipiga simu kama haitopokelewa, tuma meseji na sio kupiga mara nyingi hususani kama jambo sio dharura.
3. Ukipigiwa simu baada ya maongezi, usikate simu... Acha akate aliyepiga.
4. Ukikopeshwa pesa, unaporudisha kama ni kwa njia ya simu hakikisha unaongeza na kiasi cha makato atayokatwa wakati anatoa au mpe cash.
5. Ongezea................
Ukiubakisha itaashiria chakula kibaya au hakijaiva vizuri.Ukiwa ugenini ukiletewa msosi hata kama ni mdogo usiufute wote
Cc Mpwayungu Villageukifungua uzi humu hakikisha hauishii njiani
Ccm watapingaUkipigiwa kura ukaziona ni chache kubali ndio ulizozipata usiibe za aliekuzidi
Uhafidhina huuNilikuwa na girlfriend unakuta mie ndio napiga simu tummemaliza maongezi halafu yy anakata.kuna siku alikata nilikaa bila kupiga akawa anapiga yy tu mpaka siku akaniuliza kulikoni napiga mm tu nikamwambia mm siwezi kukupigia simu halafu ukate ww as if ww ndio umekata.
Hili la kutunza muda, safari bado ni ndefu.Ukiwa na miadi fika muda mliyoahidiana,hii huongeza heshima kwako,
Ukiahidi jambo kwa mtu,litimize,kama huwezi kulitimiza,mjulishe uliyemuahidi.
The change starts with you,Hili la kutunza muda, safari bado ni ndefu.
Hii hapana 🤣🤣 apite hivi 🏃♂️Ukimaliza kumgegeda mwanamke hakikisha unamvalisha chupi yake
huu ndio uungwana1. Ukipewa simu kama unaoneshwa pengine picha, tazama kisha rudisha na sio kuendelea kutazama picha zingine.
2. Ukipiga simu kama haitopokelewa, tuma meseji na sio kupiga mara nyingi hususani kama jambo sio dharura.
3. Ukipigiwa simu baada ya maongezi, usikate simu... Acha akate aliyepiga.
4. Ukikopeshwa pesa, unaporudisha kama ni kwa njia ya simu hakikisha unaongeza na kiasi cha makato atayokatwa wakati anatoa au mpe cash.
5. Ongezea................
Hii siwezi yaani nishazoea ku hang up mapema3. Ukipigiwa simu baada ya maongezi, usikate simu... Acha akate aliyepiga.
Hii huku kwetu watakutoa roho siku likikukuta jambo kama hilo hawatakulaUkienda kwenye msiba wa jirani yako,usisubiri mpaka ule chakula,wape pole kisha sepa,
Wapo kwenye majonzi usiwaongezee gharama.