LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
Kwenye bufee usijaze sahani pomoni na usifike mwisho wa vyakula, chagua vyakula usivyovila mara kwa mara. Chukua chupa moja ya kinywaji inatosha. Usijioneshe unajua kula sana. Umekuta meza ina vinywaji vingi usinywe tani yako acha wenyewe watachukua vinywaji vyao. Usirudie kuongeza chakula hata kama hujashiba utaaibika na kuonekana una njaa kali na huwa huli kwako