Unaweza usiambiwe, ila sio vizuri kufanya mambo haya

Unaweza usiambiwe, ila sio vizuri kufanya mambo haya

Kuna wale wanajaza wali, hua nashangaa sana kwan makwao hua hawali?
Kwenye sherehe hua nachukua kitu ambacho kwa mazingira yangu hua n vigumu kupata mfano labla samaki na hasahasa bites na sio kujaza wali.
ndivyo inavyotakiwa
 
Unakuta mtu anapiga anapiga weeh,anapiga tu misscall 10,hapo we hupokei labda uko na Boss mnaongea mambo ya maana kikazi,
Unajiuliza huyu jamaa ananidai hapana.
Unamshtua boss nna udhuru ngoja nipokee nakuja.
Khee unapokea jitu linaanza kukufokea.
Mi napiga hupokei mara zote hizo.
Ongea unasemaje? linajichekesha eeh "nilikua nakusalimia tu"
Kubababandeki,malaka maleke,maluku🤢
Unatamani lingekua karibu ulizabue makofi aisee.
Unarudi bosi anauliza vp kuna tatizo.
Inabidi useme yah nishamaliza.
Kumbe tatizo ni matako mmoja anasumbua tu ili agongee umtoe.
Kwa hili neno kubabandeki nimejua kuwa wewe ni mhenga mwenzangu .

Salama mkuu wangu ?
 
Kuna watu hukera hana hata cha kuongea cha maana anapiga simu back to back
 
1. Ukipewa simu kama unaoneshwa pengine picha, tazama kisha rudisha na sio kuendelea kutazama picha zingine.

2. Ukipiga simu kama haitopokelewa, tuma meseji na sio kupiga mara nyingi hususani kama jambo sio dharura.

3. Ukipigiwa simu baada ya maongezi, usikate simu... Acha akate aliyepiga.

4. Ukikopeshwa pesa, unaporudisha kama ni kwa njia ya simu hakikisha unaongeza na kiasi cha makato atayokatwa wakati anatoa au mpe cash.

5. Ongezea................
Umenena vyema. Mambo ya msingi kabisa
 
Hii ni kweli kabisa..
Nashangaa kuna mijitu kama haina akili yaani tuseme ni elimu au shida nini.

Kuna mmoja nilimtumia kiasi flan.. et nae akarudisha hvo hvo..
Wakati mimi nilitoa cash kwenda kwa wakala
 
1. Ukipewa simu kama unaoneshwa pengine picha, tazama kisha rudisha na sio kuendelea kutazama picha zingine.

2. Ukipiga simu kama haitopokelewa, tuma meseji na sio kupiga mara nyingi hususani kama jambo sio dharura.

3. Ukipigiwa simu baada ya maongezi, usikate simu... Acha akate aliyepiga.

4. Ukikopeshwa pesa, unaporudisha kama ni kwa njia ya simu hakikisha unaongeza na kiasi cha makato atayokatwa wakati anatoa au mpe cash.

5. Ongezea................
Ogopa utapeli..
Akikubali kutumiwa nauli, NENDA
 
Back
Top Bottom