Unakuta mtu anapiga anapiga weeh,anapiga tu misscall 10,hapo we hupokei labda uko na Boss mnaongea mambo ya maana kikazi,
Unajiuliza huyu jamaa ananidai hapana.
Unamshtua boss nna udhuru ngoja nipokee nakuja.
Khee unapokea jitu linaanza kukufokea.
Mi napiga hupokei mara zote hizo.
Ongea unasemaje? linajichekesha eeh "nilikua nakusalimia tu"
Kubababandeki,malaka maleke,maluku🤢
Unatamani lingekua karibu ulizabue makofi aisee.
Unarudi bosi anauliza vp kuna tatizo.
Inabidi useme yah nishamaliza.
Kumbe tatizo ni matako mmoja anasumbua tu ili agongee umtoe.