Unaweza usiambiwe, ila sio vizuri kufanya mambo haya

Unaweza usiambiwe, ila sio vizuri kufanya mambo haya

Ni hivi ukituma maombi ya kazi hata kama mwenye ofisi anakujua usimsumbue kwa kumpigia simu kwani ukihitajika utaitwa, usilete kujuana kwenye kazi
 
Ukituma msg mambo
Poa mzima
Mzima
Niambie
Nkuambie nini wakati ni wewe umenianza...
Go straight to the point
maswali ya mapya mambo mengine ya nini wakati una smartphone ni suala la kuwasha data ucheki mapya mtandaoni
 
Ukituma msg mambo
Poa mzima
Mzima
Niambie
Nkuambie nini wakati ni wewe umenianza...
Go straight to the point
maswali ya mapya mambo mengine ya nini wakati una smartphone ni suala la kuwasha data ucheki mapya mtandaoni
Ukisema niambie na ukaambiwa utakubali utajibuje?
 
Mdada unapoitwa au kusimamishwa itika wito sio uanze kulingalinga sio Kila anayekuita au kukusimamisha anakutaka kingono wengine wanawaza maisha sio ngono kwani ngono niuchafu au kupeana mikosi
 
Ukiagiza supu hakikisha unaagiza na chapati mbili tuu ,
Ukishikwa shikamana
 
Ukienda ugenini,wakati unaondoka,wape watoto hela kama zawadi,licha tu ya wao kufurahi bali huwajengea memory nzuri kwako wakisha kua wakubwa.
kuna shangaz yangu alinipaga shillingi 2000 mwaka 2007. mpaka leo nakumbkaga.

ila ubaya wa kutoa pesa n kwamba watataka kila ukija uwape pesa.
 
1. Ukipewa simu kama unaoneshwa pengine picha, tazama kisha rudisha na sio kuendelea kutazama picha zingine.

2. Ukipiga simu kama haitopokelewa, tuma meseji na sio kupiga mara nyingi hususani kama jambo sio dharura.

3. Ukipigiwa simu baada ya maongezi, usikate simu... Acha akate aliyepiga.

4. Ukikopeshwa pesa, unaporudisha kama ni kwa njia ya simu hakikisha unaongeza na kiasi cha makato atayokatwa wakati anatoa au mpe cash.

5. Ongezea................
Ukiishi nyumba ya kupanga hakikisha unawatafuna mabinti wa mwenye nyumba pamoja na mkewe...hii itakuongezea kitu kwenye maisha yako.
 
1. Ukipewa simu kama unaoneshwa pengine picha, tazama kisha rudisha na sio kuendelea kutazama picha zingine.

2. Ukipiga simu kama haitopokelewa, tuma meseji na sio kupiga mara nyingi hususani kama jambo sio dharura.

3. Ukipigiwa simu baada ya maongezi, usikate simu... Acha akate aliyepiga.

4. Ukikopeshwa pesa, unaporudisha kama ni kwa njia ya simu hakikisha unaongeza na kiasi cha makato atayokatwa wakati anatoa au mpe cash.

5. Ongezea................
Ukiwa na miadi na demu hakikisha kabla ya show upige nyeto kwanza...hii itakusaidia kuongeza stamina(sio yule mwenzake na Roma)
 
1. Ukipewa simu kama unaoneshwa pengine picha, tazama kisha rudisha na sio kuendelea kutazama picha zingine.

2. Ukipiga simu kama haitopokelewa, tuma meseji na sio kupiga mara nyingi hususani kama jambo sio dharura.

3. Ukipigiwa simu baada ya maongezi, usikate simu... Acha akate aliyepiga.

4. Ukikopeshwa pesa, unaporudisha kama ni kwa njia ya simu hakikisha unaongeza na kiasi cha makato atayokatwa wakati anatoa au mpe cash.

5. Ongezea................

Ukiazima gari la rafiki yako hakikisha umesoma gauge ya mafuta iko wapi ili ukiirudisha angalau isomeke juu ya pale ulipoikuta
 
Back
Top Bottom