Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tupo,hiyo ni ya wakulungwa wahenga tu.vijana tuwaache na mitusi yao😆Kwa hili neno kubabandeki nimejua kuwa wewe ni mhenga mwenzangu .
Salama mkuu wangu ?
Sahihi.never outshine your master
Maana yake nini?never outshine your master
KweliNi hivi ukituma maombi ya kazi hata kama mwenye ofisi anakujua usimsumbue kwa kumpigia simu kwani ukihitajika utaitwa, usilete kujuana kwenye kazi
Ukisema niambie na ukaambiwa utakubali utajibuje?Ukituma msg mambo
Poa mzima
Mzima
Niambie
Nkuambie nini wakati ni wewe umenianza...
Go straight to the point
maswali ya mapya mambo mengine ya nini wakati una smartphone ni suala la kuwasha data ucheki mapya mtandaoni
Ukisema niambie na ukaambiwa utakubali utajibuje?
Namaanisha mwenye aloanza kunitumia ujumbe baada ya salamu Akanambia niambie..Ukisema niambie na ukaambiwa utakubali utajibuje?
kuna shangaz yangu alinipaga shillingi 2000 mwaka 2007. mpaka leo nakumbkaga.Ukienda ugenini,wakati unaondoka,wape watoto hela kama zawadi,licha tu ya wao kufurahi bali huwajengea memory nzuri kwako wakisha kua wakubwa.
Hiki kichekesho cha mgeni mzinguaji nakitafuta sana, nimekisahau. Kipo humuhumu JF. Anayeweza kukitafuta chote full akiweke hapa.Ukienda ugenini ukaulizwa tukupe Soda au Chai?
Waambie wakupe Soda kwanza wakati ukisubiri chai ichemke.
😀 😀
Ukiishi nyumba ya kupanga hakikisha unawatafuna mabinti wa mwenye nyumba pamoja na mkewe...hii itakuongezea kitu kwenye maisha yako.1. Ukipewa simu kama unaoneshwa pengine picha, tazama kisha rudisha na sio kuendelea kutazama picha zingine.
2. Ukipiga simu kama haitopokelewa, tuma meseji na sio kupiga mara nyingi hususani kama jambo sio dharura.
3. Ukipigiwa simu baada ya maongezi, usikate simu... Acha akate aliyepiga.
4. Ukikopeshwa pesa, unaporudisha kama ni kwa njia ya simu hakikisha unaongeza na kiasi cha makato atayokatwa wakati anatoa au mpe cash.
5. Ongezea................
Ukiwa na miadi na demu hakikisha kabla ya show upige nyeto kwanza...hii itakusaidia kuongeza stamina(sio yule mwenzake na Roma)1. Ukipewa simu kama unaoneshwa pengine picha, tazama kisha rudisha na sio kuendelea kutazama picha zingine.
2. Ukipiga simu kama haitopokelewa, tuma meseji na sio kupiga mara nyingi hususani kama jambo sio dharura.
3. Ukipigiwa simu baada ya maongezi, usikate simu... Acha akate aliyepiga.
4. Ukikopeshwa pesa, unaporudisha kama ni kwa njia ya simu hakikisha unaongeza na kiasi cha makato atayokatwa wakati anatoa au mpe cash.
5. Ongezea................
1. Ukipewa simu kama unaoneshwa pengine picha, tazama kisha rudisha na sio kuendelea kutazama picha zingine.
2. Ukipiga simu kama haitopokelewa, tuma meseji na sio kupiga mara nyingi hususani kama jambo sio dharura.
3. Ukipigiwa simu baada ya maongezi, usikate simu... Acha akate aliyepiga.
4. Ukikopeshwa pesa, unaporudisha kama ni kwa njia ya simu hakikisha unaongeza na kiasi cha makato atayokatwa wakati anatoa au mpe cash.
5. Ongezea................
Hii imekaa vizuriMkiamua kuwa wapenzi basi peaneni mapenzi. Kama mmoja anaona anatakiwa kupewa hela basi aseme mapema kwamba anajiuza ili mkubaliane bei kila mnapokutana.