Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kumbe wewe siyo shida kabisa.Unavumilika.Na kweli, robo tu inatosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe wewe siyo shida kabisa.Unavumilika.Na kweli, robo tu inatosha.
Weeeeh acha uchoyooo, tutagawana hicho hicho....ukienda kwa mtu mda wa chakula, kama hamkuwa na miadi na unaona kabisa menu iliyopo haiwezi kukodhi wao na wewe, vunga tu, omba maji au juice.
Usije kwangu bila miadi, nitakunyima hadi maji ya kunywa.Weeeeh acha uchoyooo, tutagawana hicho hicho.
Kuna namna inakera.
Kwamba hata ukikaribishwa msosi kwa msisitizo wenye nia ya kweli utavunga unaangalia teevee kwa umakini mkubwa?😎...ukienda kwa mtu mda wa chakula, kama hamkuwa na miadi na unaona kabisa menu iliyopo haiwezi kukodhi wao na wewe, vunga tu, omba maji au juice.
Wengine wataweka msisitizo sana ukaribie mezani, ila kiuhalisia unachokiona hata hakiwatoshi, kuwa tu muumgwana uombe maji au juice.Kwamba hata ukikaribishwa msosi kwa msisitizo wenye nia ya kweli utavunga unaangalia teevee kwa umakini mkubwa?😎
Wanamsema lakini akiweka uzi wanajazana kusoma na kucomment juuWeeeh hapanaaa🤣🤣🤣
Hili ni tatizo kubwa sana kwa watanzania. Mnaambiwa mfike saa 2 asubuhi halafu uyo anaewafanyia interview anafika saa 5 na haoni kama ni tatizoUkiwa na miadi fika muda mliyoahidiana,hii huongeza heshima kwako,
Uchoyo tu.Usije kwangu bila miadi, nitakunyima hadi maji ya kunywa.
🤣🤣🤣🤣🤣Wanamsema lakini akiweka uzi wanajazana kusoma na kucomment juu
🤣🤣🤣🤣 Lazima lilikukuta jambo!Unapokuwa na safari ya kumtembelea mtu hakikisha umevua viatu mlangoni.
NB;Kwa wavaao soksi hakikisha una pairs nyingi,unabadilisha na ziwe safi hazijatobokatoboka.
Hilo nalo tatizo sasa, dawa yao ni kukata akipiga tena hupokei hadi siku ya pili au ya tatu😃Huyo mpaka hapo si muelewa ndiyo maana anaongea sana kwa mtu ambaye hataki maongezi hayo.
Ukipokea tu, stories tena masaa mawili 🤣🤣🤣Hilo nalo tatizo sasa, dawa yao ni kukata akipiga tena hupokei hadi siku ya pili au ya tatu😃
Ooooh😬😂 ,. Nashukuru sina watu wa namna hiyo kwenye contacts zangu uwiii😫Ukipokea tu, stories tena masaa mawili 🤣🤣🤣
Km Simu imejipiga uache mpaka Dakika ZOTE ziishe na kuishia3. Ukipigiwa simu baada ya maongezi, usikate simu... Acha akate aliyepiga.
Umeniudhi😎🤣🤣🤣🤣🤣
Mie niliamua kumignore ili nisione chochote anachopost
🤣🤣🤣🤣Umeniudhi😎
Hakikisha unashiriki katika shughuli za furaha pia kwa ndugu, jamaa na marafiki wengi wanatoa kipaumbele kwenye majanga tu1. Ukipewa simu kama unaoneshwa pengine picha, tazama kisha rudisha na sio kuendelea kutazama picha zingine.
2. Ukipiga simu kama haitopokelewa, tuma meseji na sio kupiga mara nyingi hususani kama jambo sio dharura.
3. Ukipigiwa simu baada ya maongezi, usikate simu... Acha akate aliyepiga.
4. Ukikopeshwa pesa, unaporudisha kama ni kwa njia ya simu hakikisha unaongeza na kiasi cha makato atayokatwa wakati anatoa au mpe cash.
5. Ongezea................