Na unajisifia kabisa huoni hta aibu
Ndo ivo unaeza ukajiona mjanja ukamwacha Alie kumbe mtoto anaumwa au kina kitu hakipo saw ndo mana analia mwishowe uje kumpoteza mtoto kisa uzembe na ujinga tu,[emoji35]Hivi unaanzaje kumpuuzia mtoto akiwa analia??? Kuna muda analia kwa uchungu mpk wewe mtu mzima unahisi maumivu rohoni