1.Nunua government bonds.Eti wataalamu unawezaje kufanya hivyo? Maana kama una ukiba halafu ikatokea inflation labda ya 10%, basi asilimia kumi ya ukwasi wako inapotea. Mtu anawezaje kujilinda?
2.Nunua hati fungani,vipande vya U.T.T
3.Nunua madini,gold,diamonds.
4.Nunua U.S stocks.
5.Nunua cryptocurrencies zenye market cap kubwa,kama Bitcoin,Etherium,Ripple,Cardano,Terra etc
6.Nunua Ardhi